Sinza, Dar: La Chaaz Bar yateketea kwa moto

Sinza, Dar: La Chaaz Bar yateketea kwa moto

Mipango baba..na ubahili...kiingilio elf10 ndugu yangu unashindwa?...unaingia unaagiza red label kachupa kadogo kale .unamwambia weita akuletee na kvant tayar keshaiweka kwenye li glas likubwa achanganye huko huko na tonic aweke ndimu inakuja pale kama cocktail...na chuoa ndogo ya red label unaonekana mtashaaaa...unaagiza vichips kadhaa na tumishkak..umevaa umependeza ni shades za hatar...unaweka funguo mezan ...watoto wanapita unanukia perfume moja ya hatar....watoto wanajileta tuu.hao bongo muv na wasanii tunapishana nao tu wanakodoa macho wanataman uwanunulie pombe.kumbe wew una budget yako ya elf 50 tuh hapo mbwembwe zote hzo......mtu akikuchek anajua jamaa liko vzurr hili.hahahaha..kumbe mipango tu...unafanya hvyo mara1 a week....huku ukisave pesa nyingne unawekeza kwenye magoli yako ....mjin mipango..hakikisha una source za income nying mzee baba...

Dah maisha ya kuigiza haya mimi mbona yamenishinda [emoji848]
 
Mipango baba..na ubahili...kiingilio elf10 ndugu yangu unashindwa?...unaingia unaagiza red label kachupa kadogo kale .unamwambia weita akuletee na kvant tayar keshaiweka kwenye li glas likubwa achanganye huko huko na tonic aweke ndimu inakuja pale kama cocktail...na chuoa ndogo ya red label unaonekana mtashaaaa...unaagiza vichips kadhaa na tumishkak..umevaa umependeza ni shades za hatar...unaweka funguo mezan ...watoto wanapita unanukia perfume moja ya hatar....watoto wanajileta tuu.hao bongo muv na wasanii tunapishana nao tu wanakodoa macho wanataman uwanunulie pombe.kumbe wew una budget yako ya elf 50 tuh hapo mbwembwe zote hzo......mtu akikuchek anajua jamaa liko vzurr hili.hahahaha..kumbe mipango tu...unafanya hvyo mara1 a week....huku ukisave pesa nyingne unawekeza kwenye magoli yako ....mjin mipango..hakikisha una source za income nying mzee baba...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila fresh tu. Acha watu wafurahi. Wayaishi waliyoyachagua tuu ila tusisiskie malalamiko.
 
Kuna rahisi na toka lini mtu aka invest hela yake kwenye biashara kama hiyo??aspend 1 Billion kama watu wanavyosema humu ndani??watu tunaongea hali halisi kutokana na experience na sio tunaropoka....Nyumba ambayo nataka kupangisha ambayo sitoishi alafu nika invest mabillion ya hela wakati me nipo kibiashara zaidi.....
Ha ha ha 1b kwenye bar?! La Chaz! Bilioni moja....hivi hawa vijana wanajua jengo la bilioni moja?!! Inhiiiiiii kwa sauti ya Chato!
 
Davie amepata hasara kweli kweli..
imeungua club,ukumbi mkali kabisa wa kisasa,night club mpya kabisamaana aliikarabati,bar and classic lounge majiko yote supermarket na carwash

moto umeanzia club sasa ile soundproof ndo iliharibu mambo maana ni magodoro flani hivi...ila ukumbi umenisikitisha mno

alikopa hela akarenovate heavy investment...sijui ila kama sio mafekeche ya town...kama ni really atakua kwenye hali mbaya sana...

ukiwa mwanaume.halafu unafanya biashara..its very dangerous...marejesho ni tatizo kubwa sana kwenye uchumi huu
Kwa akili zako kidogo tu ulizonazo, unaamini kwamba heavy investment kama hiyo haikuwa na bima ya moto? Unafahamu kwamba wapo wanaochoma magari na majengo yao kwa makusudi ili walipwe fedha nyingi mara 5 ya thamani ya kilichoungua? Na hii michezo wanashirikiana na maafisa wa Fire, bima na mwenye mali, wote wanagawana mgao
 
Ha ha ha 1b kwenye bar?! La Chaz! Bilioni moja....hivi hawa vijana wanajua jengo la bilioni moja?!! Inhiiiiiii kwa sauti ya Chato!
Mkuu ndio vijana wa sasa hawa sijui kama wanaijuwa hiyo amount maana hiyo hela ni bajeti ya wizara fulani wenyewe wanasema mtu ka invest kwenye bar...
 
Dah maisha ya kuigiza haya mimi mbona yamenishinda [emoji848]
Kwa sisi watoto wa mjin ni kawaida kipind hiki cha magu enz zetu tulikua hatuigiz. Ila kwasasaa ukijifanya mjuaj utapotea kwenye raman...tuliozoea hayo maisha inabid tuigize tuu hakuna namna...
Na tunawekeza vile vile,....yanin nitumie laki mbili akat hyo laki mbili naweza enda paka rangi mpya magoli yangu yakangaa na kuendelea ita wateja zaid na zaid mkuu
 
Ukinywa hiyo maison ya 12 million, inakuwaje ikuwaje ? Ulevi wake upo tofauti na Balimi Extra ?
mambo ya kawaida tu mkuu

20210306_151459.jpg
 
Watu wanahisi 100M ni hela ya kutisha, zama hizi hio ni hela ya kawaida sana. Enzi za Mchonga ndio ilikuwa ni kufuru ila kwa sasa wananchi wengi wenye zaidi ya miaka 10 katika biashara zinazolipa wana hio hela kwenye account zao.
 
Shida zote hizo ili uonekane mtu wa aina fulani?! What's wrong with being who you are?! Kweli nishazeeka.

Nahisi tumezeeka wote maana na mimi haya maigizo siyawezi
Kama sina natulia tu,sina ninae shindana nae au wa kumu impress,nakimbizana na malengo yangu tu....
Ndio maana nawaogopa wakaka wa mjini huwa hata siwatazami mara mbili mbili[emoji1430]
 
Back
Top Bottom