Torque vs HP
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,769
- 5,084
Hio hadithi tu nawe umeamini?Toa connection tutakuja kukupa kampani maana biashara ndio ilivyo mkuu mwanzo unakuwaga mgumu kidogo sio rahisi kabisaa hata kidogo...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hio hadithi tu nawe umeamini?Toa connection tutakuja kukupa kampani maana biashara ndio ilivyo mkuu mwanzo unakuwaga mgumu kidogo sio rahisi kabisaa hata kidogo...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sinza hakuna sehemu yenye hadhi hata ya nyota tatu kwa yale makele ya bodaboda na maduka ya nguo feki.
Tukisema wanasemaa tuna dharau[emoji23]Sinza hakuna sehemu yenye hadhi hata ya nyota tatu kwa yale makele ya bodaboda na maduka ya nguo feki.
Huenda eneo hilo maovu yalizidi sana.
Hiyo 50k ukienda nayo manzese uswazi huko we ni king lkn ukija nayo Hyatt hata mlinzi hawezi kukuruhusu kupita getini.....Unaweza kujikuta unateketeza kimtaji kwa kwenda sehemu za gharama sana
Hio 50k naweza kuspend sehemu nyingine bila stress na nikaenjoy pamoja na kujichanganya na watu
Watu waanza mbali mpaka mtu unaamini😀😀😀Hio hadithi tu nawe umeamini?
Sijui ni kwa nini kuna siku niliingia na hela ya kutosha ila ilivyoisha sikuelewa elewa ikabidi nitoke pale nje opposite kuna MPESA mpaka asubuhi nikaenda kutoa za kutosha tena nikazama ndani asubuhi nimetoka saa 2 mziki bado unapigwa ndani naangalia mfukoni naona zimepungua.....Pale hatari....Nasikia hicho kiwanja ukienda na hell ilikuwa lazima utoke mkavu huna pesa
Hahah kuna watu kwa saundi wako njema kishenzi mkuu.Watu waanza mbali mpaka mtu unaamini[emoji3][emoji3][emoji3]
Ipo wapi tuje tupige mitungiHiv lachalz palivyo pachafu vile bado mnajadili tu ..mi nilidhan nilihitimisha tokea asubuh.kumbe bado watu mnachonga....hiv mkija goba au mkaenda mbezi beach .bahar beach zile bar za kule si mtasema ni bill20...
Dah sema nin vijana weng bado wanaijua pesa kwa kusikia...
Mi mwenyew ka pub kangu ngoja niseme ni ka mil60....akat hata mil8 hakajafika..na nimekatia mbao za pelet style ya skuhi kama lachalz na zingnezo..na kana flat mbili.mzik..counter nzur tu.sema hakana wateja nataka kahamisha location[emoji16]
Oh sawa ! Bac agiza ata maji mm nitalipa ...nakumbukia enzi nipo la chazSitumii hivyo vitu. Sorry
Billion moja haifikii. Mil 150-250 inaweza fika. Haya mambo mtuulize sisi tunaojua. Habari za kupandisha gharama watu hupenda kujisifu. But pale mil 500 haifik. Mimi ni mteja la chaazUnajua mimi nashangaa wanakataa nini. Renovations zinakula hela balaa. Mbaya zaidi inatoka tu na haiingii. Tuyaache. Tusilazimishe mtu kuamini aisee
Hata mm nimebaki kuwashangaa, kwa kipya gani pale na thamani ya 1B, sehemu ya kwaida sanaBillion moja haifikii. Mil 150-250 inaweza fika. Haya mambo mtuulize sisi tunaojua. Habari za kupandisha gharama watu hupenda kujisifu. But pale mil 500 haifik. Mimi ni mteja la chaaz
Eti hapa 1b imeteketea[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]...mi niko na jamaa mmiliki hapa hana hata presha, anajua ukweliNyumbu wengi mno ile bar haina hata hadhi ya Nyota 4[emoji1787] Bongo ukituliza kichwa ukawa na hela yako aah unapasua anga
Aaah we sikuwezi[emoji119][emoji119]Itabdi utupe tour ya viwanja [emoji23][emoji23][emoji23]
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Akitaja unitag[emoji16][emoji16]Taja code. Tupeane support.
Ha ha ha usinichekeshe best[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah, ukute ni sababu ya ubahili wako, wateja wanakimbia sehemu hiyo, ukute haina hadhi ya kuwa pub lol
Ha ha ha[emoji16][emoji16][emoji1787]Hio hadithi tu nawe umeamini?
Hii ni kweli kabisa..mimi muhangaNasikia hicho kiwanja ukienda na hell ilikuwa lazima utoke mkavu huna pesa
Hiv lachalz palivyo pachafu vile bado mnajadili tu ..mi nilidhan nilihitimisha tokea asubuh.kumbe bado watu mnachonga....hiv mkija goba au mkaenda mbezi beach .bahar beach zile bar za kule si mtasema ni bill20...
Dah sema nin vijana weng bado wanaijua pesa kwa kusikia...
Mi mwenyew ka pub kangu ngoja niseme ni ka mil60....akat hata mil8 hakajafika..na nimekatia mbao za pelet style ya skuhi kama lachalz na zingnezo..na kana flat mbili.mzik..counter nzur tu.sema hakana wateja nataka kahamisha location[emoji16]