Sinza kuna mtu anaitwa Wambura, naye hutishia watu bastola hadharani

Sheria ya kumiliki silaha iangaliwe upya... chini ya miaka 40 ni tatizo kubwa...

Sasa mnaona jamaa katuachia mkewe - tufanyeje ssa sisi majirani?
Tumsaidie kukuza masikio
Alex Korosso wachaga wamemkana. Huyu ni MNYAKYUSA wa Mbeya. Wachaga wakiua huwa hawajiui na wao. Ukiona mtu kajiua ujue ni mhehe au mnyakyusa.
Mnyakyusa gani anaenda kuzikwa Moshi?
 
Hii mbinu naitumia long time kichizi, bar sio sehemu salama kabisaaaaaaaa
 
One of the very few humble men i know in town - mrangi .
 
Huyu naye ni wa hapa hapa Sinza kwa Remi, ana bastola lakini ana akili kama za yule aliyeua, msijesema hatukuwaambia, enyi polisi, huyu hutoa silaha hadharani na kutishia.
Acha Kutusingizia Wakurya Mkuu. Huwa hatutishii Mtu kwa 'Bastola' bali ni kwa 'Mapanga' na huwa 'tunachinja' kweli pale tu 'ukituzingua' na hatutanii.
 
Huyo mtoto wa Mungai ana pesa kweli, au anatengeneza propaganda ili aonekane anazo nyingi? Kwa sababu mzee wake kuwa waziri sio kipimo cha yeye kuwa na pesa ndefu. Nafikiri anajaribu kuwatia watu hofu ili aonekane anazo, na aogopwe.
 
Bongo muhuni akiwa na bastola anatishia na kuua kweli aisee...zipo sehemu una bastola yako watu wanaiona kama simu tuu na wakiamua kukuchukulia wanakuchulia tuu na wanajua bastola unayo vile vile...
 
Tukimkamata na hiyo bastola lazima tumchape nayo matakoni!!
Hawezi kutishia watu kama vile hii nchi ni Mali ya mume wake !
 
Nimemshuhudia huyu jamaa mara nyingi in short kwa Remi Kuna wavuta bangi wenye silaha kitu ambacho ni hatari
Kabisa..... Nadhani Polisi walikosea kumpa bastola, sinza kwa remi baa zote wanamjua, hata chenji ikipungua anatoa bomba, ubishi kidogo anatoa bastola
 
Huyu kila siku yuko kwenye vile vi gosari vya CCM opposite na ilipokua baa ya Bob's, ni kweli huyu jamaa ni boya sana na mpenda misifa
Naaam, umepiga mulemule, watu was hivi wanyanganywe bomba, mtu anapewa bastola wakati shughuli zake hazisababishi maisha yake yawe hatarini
 
muda huu wambura yupo kwenye fuso anarudi mara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…