MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 5,736
- 18,648
Kwamba
Maelezo yako hapo juu.Kwamba
Aisee.Sometimes unakufa nyumba ikiwa inasubiri finishing, na ulijibana.
Ukifa mwanao atarithi ambaye wakati uko hai alikua anatumia pesa yako.Sometimes unakufa nyumba ikiwa inasubiri finishing, na ulijibana.
Je kama huna mtoto?Ukifa mwanao atarithi ambaye wakati uko hai alikua anatumia pesa yako.
Sasa jiroge kula bata halafu mungu anakupa miaka 80 ya kuishi.
Hujui ulisemaloMaliza chuo kwanza
Upo unakula boom unaona mambo rahisi