Sio kila hela kubwa unayopata ujengee au ufanyie biashara nyingine kula Bata ila kumbuka kununua mashamba bado utaonekana mjanja tu

Sio kila hela kubwa unayopata ujengee au ufanyie biashara nyingine kula Bata ila kumbuka kununua mashamba bado utaonekana mjanja tu

🤣🤣
 

Attachments

  • FB_IMG_1711866189445.jpg
    FB_IMG_1711866189445.jpg
    50.6 KB · Views: 6
Acheni kila mtu afanye anachopenda.

Kwenye maisha hatuwezi kuwa na vipaumbele sawa.

Acheni watu wajenge ili nyinyi msiopenda kujenga mkapange kwa waliojenga.

Mkikataa watu wasijenge mtaishi wapi?
 
Maliza chuo kwanza

Upo unakula boom unaona mambo rahisi
 
Back
Top Bottom