Sio kosa Mara mojamoja kumpakia Mkeo Mundende au Vumbi La kongo

Sio kosa Mara mojamoja kumpakia Mkeo Mundende au Vumbi La kongo

Wanaume wanawajua wanawake sema tunawazuga hatuwajui ili tuwape Zigo la misumari.
Kumbe bado hujaijua hii mbinu
Nyie mtujue sisi tuliowaacha bustanini mmezubaa, sisi tuko chobingo tunateta na (nyoka) sheta.!!! 🤣🤣🤣🤣🤣
Siku mkianza kutujua mjue mko dakika za mwisho kuuona uso wa dunia
 
Oooh!! Pole sana baba, Mungu azidi kukutia nguvu afya iimarike mzee wangu..!!
Tunakutegemea wanao kwa ushauri na muongozo wa kimaisha 🙏
nashukuru..
uzuri kijana hapa nyumbani ananisaidia sana habari za kutoa mbuzi juani na mambo ya garden
 
Kule kwetu Ethiopia wanawake ndo wana uelewa mpana wa haya mambo ya dust ya kivu japo Kwa kule sio vumbi inakua ni mizizi ko mwanamke wako akishaona performance yako ipo below fifte anakuwekea mizizi kwenye msos we unashangaaa performance ipo 100%
 
Kule kwetu Ethiopia wanawake ndo wana uelewa mpana wa haya mambo ya dust ya kivu japo Kwa kule sio vumbi inakua ni mizizi ko mwanamke wako akishaona performance yako ipo below fifte anakuwekea mizizi kwenye msos we unashangaaa performance ipo 100%

Bora hawa kuliko wanaochepuka ati kisa mume anapiga chini ya kiwango
 
Back
Top Bottom