Sio kosa Mara mojamoja kumpakia Mkeo Mundende au Vumbi La kongo

Sio kosa Mara mojamoja kumpakia Mkeo Mundende au Vumbi La kongo

Sawa kungwi ila nataka nikukumbushe hata Samson alijua nguvu zake zinafanya kazi kwa Delila ila si uliona kilichomkuta.?? 😂
Adam je?? Mliambiwa muishi na sisi kwa akili sababu Mungu alijua nyie kwetu hamtoboi sisi tuko mbele ya muda.!!
Tunaweza kukupa toto sio lako na ukalea bila tatizo 🤣🤣🤣
Ndo maana dawa yenu ni kuwapakia tu mkongo iwe home au away maana hakuna namna 😂
 
Back
Top Bottom