Sio kuhukumu au kunyanyapaa: aina ya wanawake ambao mwanaume inabidi awaepuke maana katika mahusiano probability ya mambo kwenda kombo ni kubwa

Sio kuhukumu au kunyanyapaa: aina ya wanawake ambao mwanaume inabidi awaepuke maana katika mahusiano probability ya mambo kwenda kombo ni kubwa

Tusilishane matango pori hapa, hii fomula umeitoa wapi kwamba hawa hawafai? Huo utafiti umeutoa wapi?
Kama unataka kuoa/Kuolewa au kuanzisha mahusiano tafuta/angalia MTU MWEMA ANAYEENDANA NA ANAYEKUFAA WEWE haIjalishi kama yeye ni Single Mothers, Mtu Aliyelewa na Single Mother au Bibi, Hana Kazi+ Mwanamke wa Miaka 30+, Mwanamke Uliyekutana Naye Club, Baa, au Mama Ntilie, HAIJALISHI. Kuna watu wengi wake/waume waliotajwa hapo ambao ni WEMA SANA. Kuna watu wengi wenye umri chini ya miaka 30 HAWAFAI KABISA. Tusikariri mambo tafuta MTU MWEMA.
 
Ukiitilia mkazo mitandao utapandwa kichaa uokote makopo.
Hakuna mtandao wanaume wanajua kuponda na kujadili wanawake kama jamiiforum
Lakini ukitaka uhalisia wa Maisha ingia mtaani utauona.
Kila kukicha single mothers wanaolewa.lakini ukiingia humu wanasemwa utadhani single mothers wote ni matatizo tupu

Mtu Hana kazi ndo umkatae?
Mpe connection za nafasi za kazi akaombe kesho akipata Maisha yanasonga.nyie mtajiskiaje mwanamke akikukataa kisa huna kazi?

Mtu hata ukutane nae baa ni baamedi bado ni mke mwema.huwezo jua Nini kimemkita Maishani mpaka kajikuta hapo,na wengine ukiwapa nafasi ya kubadilika wanabadilika.

MWENZA MZURI UMTAKAE MBADILISHE MTENGENEZE VILE UTAKAVUO,NAE KAMA NI MUELEWA ATABADILIKA.WATU HAWAFANANI
Siyo kila mtu anaweza kubadilisha boga kuwa nanasi
 
Tusilishane matango pori hapa, hii fomula umeitoa wapi kwamba hawa hawafai?
Sijasema hawafai, nimesema Kuna uwezekano ukakutana na sintofahamu na disappointments kwenye mahusiano
 
Ukiitilia mkazo mitandao utapandwa kichaa uokote makopo.
Hakuna mtandao wanaume wanajua kuponda na kujadili wanawake kama jamiiforum
Lakini ukitaka uhalisia wa Maisha ingia mtaani utauona.
Kila kukicha single mothers wanaolewa.lakini ukiingia humu wanasemwa utadhani single mothers wote ni matatizo tupu

Mtu Hana kazi ndo umkatae?
Mpe connection za nafasi za kazi akaombe kesho akipata Maisha yanasonga.nyie mtajiskiaje mwanamke akikukataa kisa huna kazi?

Mtu hata ukutane nae baa ni baamedi bado ni mke mwema.huwezo jua Nini kimemkita Maishani mpaka kajikuta hapo,na wengine ukiwapa nafasi ya kubadilika wanabadilika.

MWENZA MZURI UMTAKAE MBADILISHE MTENGENEZE VILE UTAKAVUO,NAE KAMA NI MUELEWA ATABADILIKA.WATU HAWAFANANI
Ww unasema hivyo kwa sababu ni mwanamke hivyo ni lazima ulalie upande wa jinsia yako siwezi kukulaumu.
Lakini kiuhalisia na kiukweli sio sifa nzuri kwa mwanamke kuzalia nyumbani hichi kitu huwa kinawafedhehesha sana wazazi na ndugu sema huwa hawana jinsi.
Mm nina baadhi ya ndugu ambao ni singo mother lakini hilo haliwezi kunifanya niwatetee,hii kampeni ni kuwaponda masingo mother ina manufaa kwa jamii iwapo itachukuliwa kwa mtazamo chanya.
Kuhusu singo mother kuolewa labda kwa mikoa ya pwani ambapo usingo mother huwa sio ishu sana kihivyo ambapo unakuta mwanamke ameshaolewa hata mara5,lakini kwa mikoa ya bara tuache kudanganyana huo uhalisia wa singo mother kuolewa sana hata sisi hatuuoni huku mitaani labda ww kama unaishi dunia yako.
Mm kwenye ukoo wetu kuna masingo mother zaidi ya kumi lakini walio olewa ni wawili tu na wenyewe wameolewa na watu wazima hali yakuwa wao bado ni mabinti wadogo.
Mm nadhani badala ya kuchukulia hii kampeni ya kataa singo mother kwa mtazamo hasi tunatakuwa kuichukulia kama furusa ya kuwaonya mabinti zetu juu ya kujihadhari na huo usingo mather maana sio sifa nzuri kabisa.

Na kama binti umesha amuwa kufanya umalaya basi fanya umalaya wa faida uwachune wanaume ujiinue kiuchumi,ili hata hata ukija kuzaa uwe na uwezo wa kulea hao watoto unao wazaa bila ya uwepo wa baba.
Sio unafanya umalaya wa kunyeshwa bia na mishikaki alafu unakuja kuwabebesha mizigo wazazi wako kukulelea watoto.
 
Mpaka apate hiyo kazi inaweza kuchukua miaka, huo muda wote ujue kwenye mahusiano ni sawasawa na unalea mtoto mchanga; utagharamia Pedi (Pampers?) na mambo mengine yote ...... Kwa usawa wa Sasa haya maisha hayapo realistic
Tutafute pesa jamani kwani Pedi bei gani mpaka imuumize kichwa mwanaume?
 
Ww unasema hivyo kwa sababu ni mwanamke hivyo ni lazima ulalie upande wa jinsia yako siwezi kukulaumu.
Lakini kiuhalisia na kiukweli sio sifa nzuri kwa mwanamke kuzalia nyumbani hichi kitu huwa kinawafedhehesha sana wazazi na ndugu sema huwa hawana jinsi.
Mm nina baadhi ya ndugu ambao ni singo mother lakini hilo haliwezi kunifanya niwatetee,hii kampeni ni kuwaponda masingo mother ina manufaa kwa jamii iwapo itachukuliwa kwa mtazamo chanya.
Kuhusu singo mother kuolewa labda kwa mikoa ya pwani ambapo usingo mother huwa sio ishu sana kihivyo ambapo unakuta mwanamke ameshaolewa hata mara5,lakini kwa mikoa ya bara tuache kudanganyana huo uhalisia wa singo mother kuolewa sana hata sisi hatuuoni huku mitaani labda ww kama unaishi dunia yako.
Mm kwenye ukoo wetu kuna masingo mother zaidi ya kumi lakini walio olewa ni wawili tu na wenyewe wameolewa na watu wazima hali yakuwa wao bado ni mabinti wadogo.
Mm nadhani badala ya kuchukulia hii kampeni ya kataa singo mother kwa mtazamo hasi tunatakuwa kuichukulia kama furusa ya kuwaonya mabinti zetu juu ya kujihadhari na huo usingo mather maana sio sifa nzuri kabisa.

Na kama binti umesha amuwa kufanya umalaya basi fanya umalaya wa faida uwachune wanaume ujiinue kiuchumi,ili hata hata ukija kuzaa uwe na uwezo wa kulea hao watoto unao wazaa bila ya uwepo wa baba.
Sio unafanya umalaya wa kunyeshwa bia na mishikaki alafu unakuja kuwabebesha mizigo wazazi wako kukulelea watoto.
Mbona hata mikoani watu wanaoa fresh tu tena mikoani ndo wengi zaidi
 
Ww unasema hivyo kwa sababu ni mwanamke hivyo ni lazima ulalie upande wa jinsia yako siwezi kukulaumu.
Lakini kiuhalisia na kiukweli sio sifa nzuri kwa mwanamke kuzalia nyumbani hichi kitu huwa kinawafedhehesha sana wazazi na ndugu sema huwa hawana jinsi.
Mm nina baadhi ya ndugu ambao ni singo mother lakini hilo haliwezi kunifanya niwatetee,hii kampeni ni kuwaponda masingo mother ina manufaa kwa jamii iwapo itachukuliwa kwa mtazamo chanya.
Kuhusu singo mother kuolewa labda kwa mikoa ya pwani ambapo usingo mother huwa sio ishu sana kihivyo ambapo unakuta mwanamke ameshaolewa hata mara5,lakini kwa mikoa ya bara tuache kudanganyana huo uhalisia wa singo mother kuolewa sana hata sisi hatuuoni huku mitaani labda ww kama unaishi dunia yako.
Mm kwenye ukoo wetu kuna masingo mother zaidi ya kumi lakini walio olewa ni wawili tu na wenyewe wameolewa na watu wazima hali yakuwa wao bado ni mabinti wadogo.
Mm nadhani badala ya kuchukulia hii kampeni ya kataa singo mother kwa mtazamo hasi tunatakuwa kuichukulia kama furusa ya kuwaonya mabinti zetu juu ya kujihadhari na huo usingo mather maana sio sifa nzuri kabisa.

Na kama binti umesha amuwa kufanya umalaya basi fanya umalaya wa faida uwachune wanaume ujiinue kiuchumi,ili hata hata ukija kuzaa uwe na uwezo wa kulea hao watoto unao wazaa bila ya uwepo wa baba.
Sio unafanya umalaya wa kunyeshwa bia na mishikaki alafu unakuja kuwabebesha mizigo wazazi wako kukulelea watoto.
Basi kwenye ukoo wenu Kuna Malaya sio single maza Mimi nishawahi ona single maza ameolewa ndoa ya kwanza bahati mbaya mmewe akafariki na kumuacha na mimba akaolewa tena na kichanga chake na dogo mwingine na akazaa mtoto wa tatu tena wote waliomuoa ni vijana na hawajawihi kuzaa
 
Ww unasema hivyo kwa sababu ni mwanamke hivyo ni lazima ulalie upande wa jinsia yako siwezi kukulaumu.
Lakini kiuhalisia na kiukweli sio sifa nzuri kwa mwanamke kuzalia nyumbani hichi kitu huwa kinawafedhehesha sana wazazi na ndugu sema huwa hawana jinsi.
Mm nina baadhi ya ndugu ambao ni singo mother lakini hilo haliwezi kunifanya niwatetee,hii kampeni ni kuwaponda masingo mother ina manufaa kwa jamii iwapo itachukuliwa kwa mtazamo chanya.
Kuhusu singo mother kuolewa labda kwa mikoa ya pwani ambapo usingo mother huwa sio ishu sana kihivyo ambapo unakuta mwanamke ameshaolewa hata mara5,lakini kwa mikoa ya bara tuache kudanganyana huo uhalisia wa singo mother kuolewa sana hata sisi hatuuoni huku mitaani labda ww kama unaishi dunia yako.
Mm kwenye ukoo wetu kuna masingo mother zaidi ya kumi lakini walio olewa ni wawili tu na wenyewe wameolewa na watu wazima hali yakuwa wao bado ni mabinti wadogo.
Mm nadhani badala ya kuchukulia hii kampeni ya kataa singo mother kwa mtazamo hasi tunatakuwa kuichukulia kama furusa ya kuwaonya mabinti zetu juu ya kujihadhari na huo usingo mather maana sio sifa nzuri kabisa.

Na kama binti umesha amuwa kufanya umalaya basi fanya umalaya wa faida uwachune wanaume ujiinue kiuchumi,ili hata hata ukija kuzaa uwe na uwezo wa kulea hao watoto unao wazaa bila ya uwepo wa baba.
Sio unafanya umalaya wa kunyeshwa bia na mishikaki alafu unakuja kuwabebesha mizigo wazazi wako kukulelea watoto.
Hilo ndilo jambo la maana. Naamini mtoto ni wa mwanaume. Binti kabla ya kubeba mimba lazima ahakikishe kuwa anayempatia mimba au wazazi wake au babu zake wana uwezo wa kulea hicho kiumbe na kama ikitokea kwa bahati mbaya waitoe. ili maisha yaendelee
 
Basi kwenye ukoo wenu Kuna Malaya sio single maza Mimi nishawahi ona single maza ameolewa ndoa ya kwanza bahati mbaya mmewe akafariki na kumuacha na mimba akaolewa tena na kichanga chake na dogo mwingine na akazaa mtoto wa tatu tena wote waliomuoa ni vijana na hawajawihi kuzaa
Mkuu kwani malaya huwa anapimwa kwa kitu gani?
Umalaya ni kufanya uzinzi na mtu asiye kuwa na mme au mke wako ,ukioa singo mother ambaye hana historia ya kuolewa huko nyuma basi umeoa malaya ,ukioa mwanamke asiye na bikra hali ya kuwa hajawahi kuolewa jua umeoa malaya sema omba baada ya kumuoa haamue kuacha huo umalaya wake ili afae kuwa mke.
Ndoa za siku hizi zimejaa misuko suko kwa sababu tunaoana wote tukiwa malaya na mbaya zaidi hatutaki kuacha umalaya hata baada ya kuoana.

Mkuu najua umeoa singo mother na wala sijasema ni wabaya wala hawafai kuolewa bali nimesema sio sifa nzuri binti kuwa singo mother,wazazi wanateseka na mizigo ya watoto kwa sababu ya uzinzi wa watoto wao.
 
Mkuu kwani malaya huwa anapimwa kwa kitu gani?
Umalaya ni kufanya uzinzi na mtu asiye kuwa na mme au mke wako ,ukioa singo mother ambaye hana historia ya kuolewa huko nyuma basi umeoa malaya ,ukioa mwanamke asiye na bikra hali ya kuwa hajawahi kuolewa jua umeoa malaya sema omba baada ya kumuoa haamue kuacha huo umalaya wake ili afae kuwa mke.
Ndoa za siku hizi zimejaa misuko suko kwa sababu tunaoana wote tukiwa malaya na mbaya zaidi hatutaki kuacha umalaya hata baada ya kuoana.

Mkuu najua umeoa singo mother na wala sijasema ni wabaya wala hawafai kuolewa bali nimesema sio sifa nzuri binti kuwa singo mother,wazazi wanateseka na mizigo ya watoto kwa sababu ya uzinzi wa watoto wao.
Sina mke mkuu na sitarajii kuoa hivi karibuni ila huwa nashangaa watu wanavyogeneralize maisha tofauti na uhalisia ulivyo hebu tusimulie ilikuaje mkazalisha masingle maza zaidi ya 10?
 
Ukiitilia mkazo mitandao utapandwa kichaa uokote makopo.
Hakuna mtandao wanaume wanajua kuponda na kujadili wanawake kama jamiiforum
Lakini ukitaka uhalisia wa Maisha ingia mtaani utauona.
Kila kukicha single mothers wanaolewa.lakini ukiingia humu wanasemwa utadhani single mothers wote ni matatizo tupu

Mtu Hana kazi ndo umkatae?
Mpe connection za nafasi za kazi akaombe kesho akipata Maisha yanasonga.nyie mtajiskiaje mwanamke akikukataa kisa huna kazi?

Mtu hata ukutane nae baa ni baamedi bado ni mke mwema.huwezo jua Nini kimemkita Maishani mpaka kajikuta hapo,na wengine ukiwapa nafasi ya kubadilika wanabadilika.

MWENZA MZURI UMTAKAE MBADILISHE MTENGENEZE VILE UTAKAVUO,NAE KAMA NI MUELEWA ATABADILIKA.WATU HAWAFANANI
Nasema hivi anaeoa single maza huyo ni simp kama simp wengine. Yaani wee wanawake wamejaaa humu duniani ukao single maza kweli una akili au matope?

Yes women will treat u like shiit if u got no job so myt as well avoid women that are jobless
 
Nasema hivi anaeoa single maza huyo ni simp kama simp wengine. Yaani wee wanawake wamejaaa humu duniani ukao single maza kweli una akili au matope?

Yes women will treat u like shiit if u got no job so myt as well avoid women that are jobless
Na ujuaji wang lakin nimejikuta nimekamatwa na singo mama afu jobless,yaan yale matamanio yangu (yakutaman wale wanawake wadogo wenye magenge au wapambanaji wa kuingiza buku 2 na hawana watoto au wagumba kabisa) nimeyakosa
 
Back
Top Bottom