Sio kuhukumu au kunyanyapaa: aina ya wanawake ambao mwanaume inabidi awaepuke maana katika mahusiano probability ya mambo kwenda kombo ni kubwa

Sio kuhukumu au kunyanyapaa: aina ya wanawake ambao mwanaume inabidi awaepuke maana katika mahusiano probability ya mambo kwenda kombo ni kubwa

Tusilishane matango pori hapa, hii fomula umeitoa wapi kwamba hawa hawafai? Huo utafiti umeutoa wapi?

Unafikiri nimezungumzia Jambo jipya.
Hii ndio tatizo la kutokuwa na Wazee.

Watu wenye umri Mkubwa wote wanajua ninachokiongea. Ninyi wa Miaka hii kila Jambo mnafiki ni jipya linahitaji utafiti
Kama unataka kuoa/Kuolewa au kuanzisha mahusiano tafuta/angalia MTU MWEMA ANAYEENDANA NA ANAYEKUFAA WEWE haIjalishi kama yeye ni Single Mothers, Mtu Aliyelewa na Single Mother au Bibi, Hana Kazi+ Mwanamke wa Miaka 30+, Mwanamke Uliyekutana Naye Club, Baa, au Mama Ntilie, HAIJALISHI. Kuna watu wengi wake/waume waliotajwa hapo ambao ni WEMA SANA. Kuna watu wengi wenye umri chini ya miaka 30 HAWAFAI KABISA. Tusikariri mambo tafuta MTU MWEMA.

Alafu sijasema hawafai
Nimesema matokeo ya uchaguzi wako
 
Sina mke mkuu na sitarajii kuoa hivi karibuni ila huwa nashangaa watu wanavyogeneralize maisha tofauti na uhalisia ulivyo hebu tusimulie ilikuaje mkazalisha masingle maza zaidi ya 10?
Sasa mkuu ukoo wenye watu zaidi ya 200 kuwa na singo mother 10 ni wengi?
Mbona kwa dunia ya sasa ni wachache sana hao au hujui maana ya ukoo?
Mkuu kama hujaoa singo mother basi utakuwa umesha mzalisha binti wa watu na kumuacha bila kumuoa ndo maana wakiongelewa singo mother unajihisi mwenye hatia maana huwa unatumia nguvu kubwa kuwatetea kwenye kila uzi.
Mkuu hakuna uhalisia kwenye uovu huwezi kuacha kukemea wizi eti kwa sababu kiuhalisia ni lazima wizi uwepo hapa duniani.
Narudia tena usingo mother sio sifa nzuri kwa mwanamke na ni ukatili mkubwa kumnyima mtoto malezi ya baba na mama .
Mungu akikupa watoto wa kike ndo utaelewa ninacho kimaanisha.
 
Gazeeti reeefu ambalo lote limelalia upande moja.

Muwe mnaweka usawa au nyie wenzetu mna ukamilifu kwa 100% sababu kiuhalisia kuna single father pia wapo wanaume wamelelewa na mzazi mmoja pia, wapo wanaume wana hadi miaka 50 nao hawajaoa.

Je hao na watu wawaepuke?
 
Na ujuaji wang lakin nimejikuta nimekamatwa na singo mama afu jobless,yaan yale matamanio yangu (yakutaman wale wanawake wadogo wenye magenge au wapambanaji wa kuingiza buku 2 na hawana watoto au wagumba kabisa) nimeyakosa
Aisee mbususu yake ilikulevya.
Inahitani uwe mwanaume wa shoka ili usipumbazwe na utamu wa mbususu ya single maza. Only strong men like mzabzab can manage
 
Mkuu nitangulize shukrani🙏 No 1 ummesema ukweli mtupu limemkita mdogowangu anaenifata swala la singel mmother kujenga bila kumshirikisha dogo kila kitu anamwambia dogo mie nshataapeliwa mwanzo siwezzi kuwekeza na mwanaume wakat dogo kamuoa.No 4 nihalisi kabisaa kuna kaka yaangu mkubwa changamoto yaakuoa wa miaka32 yule mwanamke haja zaa ila hlo lakuaa bachela miaka yote na la utoto anamsumbua nalo sana broo yan kudeka kuskoeeleweka kesi kila saa 🙏 kweli jamii foram kisima cha maarifa
Single lazima avenger Nyumba mtoto wake kinyemela kwasababu anajua hana urithi kwenye ndoa yake na ukute huyo mtoto Baba yake hajulikani lizima atajitahidi kwanjia yoyote toto lake alipe urithi wake mapema.
 
Ukiitilia mkazo mitandao utapandwa kichaa uokote makopo.
Hakuna mtandao wanaume wanajua kuponda na kujadili wanawake kama jamiiforum
Lakini ukitaka uhalisia wa Maisha ingia mtaani utauona.
Kila kukicha single mothers wanaolewa.lakini ukiingia humu wanasemwa utadhani single mothers wote ni matatizo tupu

Mtu Hana kazi ndo umkatae?
Mpe connection za nafasi za kazi akaombe kesho akipata Maisha yanasonga.nyie mtajiskiaje mwanamke akikukataa kisa huna kazi?

Mtu hata ukutane nae baa ni baamedi bado ni mke mwema.huwezo jua Nini kimemkita Maishani mpaka kajikuta hapo,na wengine ukiwapa nafasi ya kubadilika wanabadilika.

MWENZA MZURI UMTAKAE MBADILISHE MTENGENEZE VILE UTAKAVUO,NAE KAMA NI MUELEWA ATABADILIKA.WATU HAWAFANANI
heshima yako mpendwa!!
 
Some of us tumelelewa na hao hao wazazi masingo mother halafu walikua wanauza vyakula ili wamudu kutulea and we turned out just fine.
 
Back
Top Bottom