Sio mafuta tu, Rais Samia Suluhu aweka ruzuku na kwenye mbolea

ndipo mnapokimbilia baada ya kushindwa hoja.
utasemaje serikali haina mkono wake kwenye bei ya mafuta wakati EWURA ambayo ni taasisi ya Serikali ndiyo inapanga?
Haiwezekani aachiwe adanganye lazima ajibiwe.
Halafu hunijui wala hautaweza kunijua ila kwa jinsi unvyokomenti inaonyesha hunifikii hata, robo ya maisha yangu na raslimali ninazomiliki .
Mimi sio mlamba viatu kama wewe na ninajielewa sana .
Endelea na upumbavu wako mtaendelea kuwa maskini wewe na kizazi chenu chote milele
Inaonyesha ni jinsi gani maisha yanakucharaza viboko na stess zinakuandama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…