Sio mafuta tu, Rais Samia Suluhu aweka ruzuku na kwenye mbolea

Sio mafuta tu, Rais Samia Suluhu aweka ruzuku na kwenye mbolea

Nilijua tu akili yako itakwenda Zanzibar. Zanzibar sio nchi, ila Zanzibar wana namna yao ya kuingiza mafuta ambapo Zanzibar hakuna tozo nyingi kama bara, na haina maana kwamba tozo ni mbaya, hapa kila tozo ina kazi yake. Unakumbuka Rais Samia Suluhu alitoa Sh. 100 kwenye kila lita na mwezi mmoja tu, Serikali ikapoteza Bil. 30. Kwa hiyo, tozo huwa hazitolewi unless kuwe na compensation ya fedha hiyo. Halafu, ruzuku haisaidii kushuka bei kila wakati, kuna muda bei haishuki lakini kunakuwa na nafuu. Mfano, ruzuku hii ya Bil. 100 imefanya mafuta yasiwe 4000 kwa lita bali 3000, ipi bora?

Halafu Tanzania hatuna stock scarcity, bali tuna price shock. Hakuna foleni za mafuta Tanzania, mafuta yapo yakutosha ambapo ni jambo la kushukuru sana.
Unasema Zanzibar siyo nchi wakati ina Bendera yake, ina Rais wake na wewe Mtanganyika ukienda Zanzibar unatumia pasi ya kusafiria, utasemaje Zanzibar siyo nchi, hivi ndugu yangu Mtanganyika una akili gani wewe?
 
Tozo kwenye miamala ya Benki huo ni ushauri wa Lameck na ni kwanini Mama asimfukuze kama Paka mwizi?
 
yaani hata kama analipwa anauzi, ana post maupumbavu anafikiria huku JF wote ni wapumbumbavu kama yeye kumaa yake, mbovu
Mitanzania inasaka uteuzi kwa vitu vya kijinga sana.
Kuna misifa mingine ya kijanga hadi unayemsifia anashangas
 
Mwambie aweke na kwenye sabuni za mche[emoji24][emoji24]
 
mpuudhi mkubwa we, tena shame on you.
Nitajie mtu binafsi anayepanga bei ya mafuta hapa nchini?
Kwa taarifa yako wewe chawa usiyejitambua Bei ya mafuta hapa nchi inapangwa na EWURA ambayo ni Taasisi ya Serikali acha kuleta upuudhi wako wewe kima .
Eti serikali haina mkono, tokea lini? mkunduuu wako umeoza
Matusi ya nini tena? hehehehe
 
Unasema Zanzibar siyo nchi wakati ina Bendera yake, ina Rais wake na wewe Mtanganyika ukienda Zanzibar unatumia pasi ya kusafiria, utasemaje Zanzibar siyo nchi, hivi ndugu yangu Mtanganyika una akili gani wewe?
Naenda Zanzibar kila mwezi sijawahi kutumia pasi ya kusafiria, acha uwongo.
 
Naenda Zanzibar kila mwezi sijawahi kutumia pasi ya kusafiria, acha uwongo.

wewe bibi mbona una postigi uongo unafikiria wote ni wajinga kama mpumbavu wewe,. Unapata faida gani? kama unalipwa hicho ni kipato cha haramu
Sasa kwa tarifa yako utaratibu wa Mtanganyika kwenda Zanziba ni kama nilivyokoti hapo chini.

"Kwa mujibu wa utaratibu, Mtanganyika haruhusiwi kukata tiketi ya kusafiri kwenda visiwani humo iwapo hatakuwa na kitambulisho, kikiwamo cha uraia.
Vitambulisho vingine ambavyo Mtanganyika anatakiwa kuwa na kimojawapo, ni pamoja na cha makazi, kupiga kura, kazi, leseni ya dereva, utambulisho kutoka serikalini au pasi ya kusafiria."
 
Serikali imetenga Bil 150 kugharamia ruzuku ya mbolea itakayotolewa kwa wakulima nchini kwa ajili ya kupunguzwa makali ya bei ya mbolea. Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua mpango wa utoaji wa ruzuku ya mbolea katika kilele cha maonyesho ya Nanenane, yatakayofanyika mkoani Mbeya.

Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) Dkt. Stephen Ngailo, alisema ruzuku hiyo, itasaidia wakulima kuongeza uzalishaji wenye tija kwenye kilimo. Pia ruzuku hiyo itasaidia wakulima kuimarisha usalama wa chakula na kuongeza upatikanaji wa malighafi za viwanda vya ndani.

Mbolea ambazo zitatolewa kwa ruzuku ni kwa ajili ya kupandia na kukuzia, aina nyingine za kupandia na kukuzia, zitahusishwa katika ruzuku kulingana na mahitaji ya soko.

View attachment 2305538

Manufaaa?
 
Rais Samia analengo zuri na watanzania kupitia kilimo tutaondokana na umasikini amewekeza sana katika kilimo hata budget ya kilimo iko vizuri sana
 
Back
Top Bottom