Equitable
JF-Expert Member
- Dec 24, 2021
- 2,017
- 5,462
Mama akukumbuke sasa si kwa uchawa huu. Sa100 mpe hata ukatibu kata huyu. Anasumbua jf kwa pointless.point yako ni nini hasa, andika kama mtu mzima hakuna hoja umejenga hapo, so sad.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama akukumbuke sasa si kwa uchawa huu. Sa100 mpe hata ukatibu kata huyu. Anasumbua jf kwa pointless.point yako ni nini hasa, andika kama mtu mzima hakuna hoja umejenga hapo, so sad.
Unasema Zanzibar siyo nchi wakati ina Bendera yake, ina Rais wake na wewe Mtanganyika ukienda Zanzibar unatumia pasi ya kusafiria, utasemaje Zanzibar siyo nchi, hivi ndugu yangu Mtanganyika una akili gani wewe?Nilijua tu akili yako itakwenda Zanzibar. Zanzibar sio nchi, ila Zanzibar wana namna yao ya kuingiza mafuta ambapo Zanzibar hakuna tozo nyingi kama bara, na haina maana kwamba tozo ni mbaya, hapa kila tozo ina kazi yake. Unakumbuka Rais Samia Suluhu alitoa Sh. 100 kwenye kila lita na mwezi mmoja tu, Serikali ikapoteza Bil. 30. Kwa hiyo, tozo huwa hazitolewi unless kuwe na compensation ya fedha hiyo. Halafu, ruzuku haisaidii kushuka bei kila wakati, kuna muda bei haishuki lakini kunakuwa na nafuu. Mfano, ruzuku hii ya Bil. 100 imefanya mafuta yasiwe 4000 kwa lita bali 3000, ipi bora?
Halafu Tanzania hatuna stock scarcity, bali tuna price shock. Hakuna foleni za mafuta Tanzania, mafuta yapo yakutosha ambapo ni jambo la kushukuru sana.
Mwezi mchanga katika ubora wako
Heeh una siku zako kwenye mwezi?Asante mwezi uliobalehe.
Ili upewe wewe? Kodi na tozo ni lazimqq, hutaki hama nchiTozo kwenye miamala ya Benki huo ni ushauri wa Lameck na ni kwanini Mama asimfukuze kama Paka mwizi?
yaani hata kama analipwa anauzi, ana post maupumbavu anafikiria huku JF wote ni wapumbumbavu kama yeye kumaa yake, mbovuInsta ac yake ndio upupu zaidi
Ngoja tuone kama nitahama Nchi.Ili upewe wewe? Kodi na tozo ni lazimqq, hutaki hama nchi
Mitanzania inasaka uteuzi kwa vitu vya kijinga sana.yaani hata kama analipwa anauzi, ana post maupumbavu anafikiria huku JF wote ni wapumbumbavu kama yeye kumaa yake, mbovu
sIli upewe wewe? Kodi na tozo ni lazimqq, hutaki hama nchi
Kuhusu kuhama au kutohama hiyo Bali nayo wewe, Ila tozo utalipa tuNgoja tuone kama nitahama Nchi.
Matusi ya nini tena? hehehehempuudhi mkubwa we, tena shame on you.
Nitajie mtu binafsi anayepanga bei ya mafuta hapa nchini?
Kwa taarifa yako wewe chawa usiyejitambua Bei ya mafuta hapa nchi inapangwa na EWURA ambayo ni Taasisi ya Serikali acha kuleta upuudhi wako wewe kima .
Eti serikali haina mkono, tokea lini? mkunduuu wako umeoza
Naenda Zanzibar kila mwezi sijawahi kutumia pasi ya kusafiria, acha uwongo.Unasema Zanzibar siyo nchi wakati ina Bendera yake, ina Rais wake na wewe Mtanganyika ukienda Zanzibar unatumia pasi ya kusafiria, utasemaje Zanzibar siyo nchi, hivi ndugu yangu Mtanganyika una akili gani wewe?
Naenda Zanzibar kila mwezi sijawahi kutumia pasi ya kusafiria, acha uwongo.
Heeh una siku zako kwenye mwezi?
Kwani mbona tunaambiwa hata kwenye mafuta kuna ruzuku lkn bei bado iko palepale na nauli zimepandaRubbish kwahiyo mafuta sahivi yapo chini zaidi ya Zanzibar? we ajuza huwa nakumaindi balaa
Serikali imetenga Bil 150 kugharamia ruzuku ya mbolea itakayotolewa kwa wakulima nchini kwa ajili ya kupunguzwa makali ya bei ya mbolea. Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua mpango wa utoaji wa ruzuku ya mbolea katika kilele cha maonyesho ya Nanenane, yatakayofanyika mkoani Mbeya.
Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) Dkt. Stephen Ngailo, alisema ruzuku hiyo, itasaidia wakulima kuongeza uzalishaji wenye tija kwenye kilimo. Pia ruzuku hiyo itasaidia wakulima kuimarisha usalama wa chakula na kuongeza upatikanaji wa malighafi za viwanda vya ndani.
Mbolea ambazo zitatolewa kwa ruzuku ni kwa ajili ya kupandia na kukuzia, aina nyingine za kupandia na kukuzia, zitahusishwa katika ruzuku kulingana na mahitaji ya soko.
View attachment 2305538