Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Li star la jf kitamboNi pisi flan hivi, swagish mautundu kama yote🤣🤣
Sina jirani,Jirani na ww wako yuko wapi? 🤣🤣🤣🤣
Hii ndio bongo yenye ubongo hafifuUnamuwaza mtu humjui mzee baba?
Anaweza akabahatisha akaenda kukutana nae akakuta ni pisi ya kwenda.Unamuwaza mtu humjui mzee baba?
Daah🤣Anaweza akabahatisha akaenda kukutana nae akakuta ni pisi ya kwenda.
Muache...!
Target siyo huyo, Mali safi ipo sehemu sema siwezi ikurupukia maana naweza lipuka kumbe dume, naweza harakia kumbe mke wa mtu naweza mkurupukia kumbe jamaake yupo humuMpaji Mungu umesikia toto la kitanga linavyosema? 🤣🤣🤣🤣
Winga umekosa mali safi toka waja leo waondoka mwakani!!
Anaweza akabahatisha akaenda kukutana nae akakuta ni pisi ya kwenda.
Muache...!
Fumbafu kaka😂Mkuu mimi nimesifia based on picha za selfika kipindi hicho, wala hata simjui🤣
Wakongwe mnaujua ukweliBtw ni pisi kali kweli...
Mbona hujaniita niwe mshenga ndg yanguTarget siyo huyo, Mali safi ipo sehemu sema siwezi ikurupukia maana naweza lipuka kumbe dume, naweza harakia kumbe mke wa mtu naweza mkurupukia kumbe jamaake yupo humu
Umeona!, li celebrity hilo, kulipata lazima uwe staa🤣 na maokoto ya kutoshaLi star la jf kitambo
Kesi yetu ujaimalizaBtw ni pisi kali kweli...
Usimsikilize huyo winga Lamomy bn yy akishakosa wateja anaanza kunisakazia kila ID ya kike😁Mbona hujaniita niwe mshenga ndg yangu
UsimuogopeMzee mbona sina mpango na mzigua mm,🤣 mzigua kabisa hapana mkuu!