Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂 tabu leleh lah!Usimsikilize huyo winga Lamomy bn yy akishakosa wateja anaanza kunisakazia kila ID ya kike😁
Ukwel ni kuna ID kitambo nimedata na maandishi yake sema mm nimechagua kuangalia tu
Muongo wewe 😂😂😂Sina jirani,
Nisaidie kutafuta.
😀 😀
Wakongwe mnaujua ukweli
KhaPunguza drama mkuu
Naombea hiyo pisi iwe single maza ili nione harakati zako za kuchangia kuwasema zitaishia wapi😂🤣🤣Dada mkuu
Over my dead body
Acha ile! Kuna ile nyingine ya mimi na lucas😂Ipi tena?
Si jana tulishamalizana ☺️
Simuogopi mbona, hii pisi ni kali ila haipo kwenye bucket list yangu. Au wewe ndo mshenga?Usimuogope
Ni kamzozo kwel😂😂😂😂 tabu leleh lah!
Ww niambie mimi ntajua huyo ni kweli pisi au tumepigwa!! Winga mzima unakuwa muoga?? Mbona wateja mnawapanga itakuwa demu??
Another Smartphone in wrong hands🤣🤣Naombea hiyo pisi iwe single maza ili nione harakati zako za kuchangia kuwasema zitaishia wapi😂
Angalia usifungue id nyingine ya kuja kuiomba!Another Smartphone in wrong hands🤣🤣
Wakongwe wamekula sana pisi za humu aisee. Kuna njemba moja kongwe humu ina body count ya humu 20+. Kazi ni kubadili ID tu halafu inaendelea kuwatafuna.Wakongwe mnaujua ukweli
Waja mpo serious na haya maishaAngalia usifungue id nyingine ya kuja kuiomba!
Uje na hiihii
Mimi sipo serious humu, nakutania tuWaja mpo serious na haya maisha
Maisha ni haya haya mkuuWakongwe wamekula sana pisi za humu aisee. Kuna njemba moja kongwe humu ina body count ya humu 20+. Kazi ni kubadili ID tu halafu inaendelea kuwatafuna.
If you are not careful this forum can resemble a brothel. F**k at your own risk!
Acha ile! Kuna ile nyingine ya mimi na lucas😂