Sio Uchawi, hii ndio mbinu wanayotumia wakinga kuteka biashara kwa spidi kali na mfanikio makubwa, mbinu rahisi ambayo kabila lolote linaweza kutumia

Sio Uchawi, hii ndio mbinu wanayotumia wakinga kuteka biashara kwa spidi kali na mfanikio makubwa, mbinu rahisi ambayo kabila lolote linaweza kutumia

Kariakoo yupo jirani yangu mkinga asubuhi wakija wanakuja na hotpots kubwa chakula kutoka home marufuku kununua chakula.

By the way,ubahili siku zote ndo huifadhi shilingi so wanachokifanya ni sawa.
Hii ndio Siri kubwa ya mafanikio.Ubahili Ubahili Ubahili😂😂😂😂
 
Hio ni negative mindset tuliyonayo wafrika, tukiona ngozi nyeusi ambayo sio kabila letu linafanikiwa huwa tunalenga zaidi kuwasagia kunguni badala ya kujifunza kutoka kwao.

sipati picha kabila kama wasukuma wanaoongza kwa idadi kubwa ambao wapo takribani milioni 5 wangeyumia hii system.

Yani wangejikusanya wawe hata elf 10 tu basi wasingegusika

wasukuma elf 10 x 50,000 = milioni 500 pesa cash taslim kila mwezi

hio ni pesa nyingi mno, ni bilioni 6 kwa mwaka hio, hapo inatengwa bilioni 3 kwajili ya mitaji,nyingine inayobaki wanapeleka wale vipanga haswaa waende kusomea vyuo 10 bora duniani warudi na elimu za kisasa sio hizi zetu za kikoloni, pesa nyingine ijenge madarasa huko vijijini, kusaidia wanafunzi wenye uwezo mkubwa kuendelea na vyuo vya hapa bongo, n.k.

pesa ni kila mwezi hapo, wakiiganwanya iwe milioni 100 kwajili ya kuwainua wasukuma wenzao watano kila mwezi wangekuwa ni tishio.

ila ndio hivyo tena, mchawi anatafutwa ila huwa ni sisi wenyewe watu weusi
Bonge moja la wazo.
 
Nadhani nidhamu ndiyo msingi wao.

Wakikopeshana wana nidhamu ya kurudisha

Wakiinuka kwa kuinuliwa wanayo nidhamu ya wao kuwainua wengine pia

Wakiipata pesa wanayo nidhamu ya matumizi yake

Wakiwa na umoja wanayo nidhamu ya masharti yake


Sasa ndugu zangu; kuna mdau humu JF ameandika signature kuwa hakuna nidhamu ya uoga maana nidhamu yenyewe ndio uoga pia😂😂.

Kama ambavyo waisraeli wanamuogopa Mungu mmoja aliyejuu yao bila unafiki[Nidhamu] na wanapata maendeleo makubwa.

Basi vivyo hivyo tukifanikiwa kujenga nidhamu tutaendelea..... iwe ni kuogopa Mungu mmoja, Kuogopa mababu wamoja, kuogopa umoja mmoja, serikali moja[Japan] chochote kile. Nidhamu, nidhamu, nidhamu. Mnaosema makafara yanawasaidia, mimi nitamodify na kusema ni nidhamu [ilitokana na chochote ikiwamo kafara, kama ni kweli] inayowasaidia👊💪
Kwenye neno NIDHAMU! Nakazia.
Hakuna cha kuroga wala kurogana. Pia tujifunze kuoanisha jiografia na uchumi wa eneo flan. Mkoa wa iringa kilimo peke yake kinalipa na unatoboa. Hata mwenye nguvu tu za kuanzia atatoka akiwa na nidham.
Ndumba na maneno yote ya ulemavu wa ufaham yamejikita kwenye nidham.
Wahaya na wachaga na wakurya/wajaluo wanabaki barabaran kwa sabab ya kupata zaid ya halali kama wizi, ukwepaji kodi na utapeli! Mana kwa kipato halali na matumiz yao yalivo wasingetoboa. Tatzo ni kuaminishana hata hizo haram ni akili au ujanja!
 
Usafiri wa wahindi ni IST, vipikipiki vidogo na kusafiri kwa pamoja kama familia au jumuia. Wabongo ni mwendo wa 2000cc plus, mke na mme ana gari lake, gari moja kubwa mtu mmoja. Magari yenyewe ya mkopo, mwishowe tunazeekea kwa boss.
 
Kwenye neno NIDHAMU! Nakazia.
Hakuna cha kuroga wala kurogana. Pia tujifunze kuoanisha jiografia na uchumi wa eneo flan. Mkoa wa iringa kilimo peke yake kinalipa na unatoboa. Hata mwenye nguvu tu za kuanzia atatoka akiwa na nidham.
Ndumba na maneno yote ya ulemavu wa ufaham yamejikita kwenye nidham.
Wahaya na wachaga na wakurya/wajaluo wanabaki barabaran kwa sabab ya kupata zaid ya halali kama wizi, ukwepaji kodi na utapeli! Mana kwa kipato halali na matumiz yao yalivo wasingetoboa. Tatzo ni kuaminishana hata hizo haram ni akili au ujanja!
Hoja nzuri sana hii
 
Asili ya hizi kanuni za kufanikiwa Wayahudi ndio waanzilishi.
.sala
. uaminifu
. kukopeshana bila riba
. uvumilivu
. Bidii
. undugu, umoja na kuinuana
.kufunzwa biashara tangu utotoni na sio kusubiria vyuoni
.kugawana tenda
Waanzilishi wa hizi kanuni ni wayahudi thus nadra Sana kumkuta Myahudi masikini.
Jamii yeyeto iikizitumia hizi ufanikiwa. Ndizo watumiazo wachaga, wapemba, wachina, wahindi, waarabu,wazungu isipokuwa waafrika.
Ingekuwa ni rahisi kupata pesa utajiri kichawi kila mtu angeloga, maana hata mganga still atakupa kanuni hizi hizi kwa kukusindikizia na dawa ya kuzuga maana mtu anaeamini uganga uamini KILA kitu
 
Hio ni negative mindset tuliyonayo wafrika, tukiona ngozi nyeusi ambayo sio kabila letu linafanikiwa huwa tunalenga zaidi kuwasagia kunguni badala ya kujifunza kutoka kwao.

sipati picha kabila kama wasukuma wanaoongza kwa idadi kubwa ambao wapo takribani milioni 5 wangeyumia hii system.

Yani wangejikusanya wawe hata elf 10 tu basi wasingegusika

wasukuma elf 10 x 50,000 = milioni 500 pesa cash taslim kila mwezi

hio ni pesa nyingi mno, ni bilioni 6 kwa mwaka hio, hapo inatengwa bilioni 3 kwajili ya mitaji,nyingine inayobaki wanapeleka wale vipanga haswaa waende kusomea vyuo 10 bora duniani warudi na elimu za kisasa za kusaidia nchi ma jamii yao sio hizi elimu zetu za kikoloni, pesa nyingine ijenge madarasa huko vijijini, pesa nyinginr kusaidia wanafunzi wenye uwezo mkubwa kuendelea na vyuo vya hapa bongo waje kuwa wanasheria, madaktari, n.k.


ila ndio hivyo tena, mchawi anatafutwa ila huwa ni sisi wenyewe watu weusi, utakuta hata huo muungano ukiwa na watu 10 tu kila mtu anataka pesa iliyochangushwa imsaidie mdogo wake au kaka yake hata kama hawezi biashara.
Hii ni level ya jamii ambayo ni Maturity, Maturity ni level ya kuushinda ubinafsi
 
Wakinga utumia kanuni za Wachina uza bei ndogo pata faida ndogo lakini uuze zaidi. Faida ya 200 KILA siku kuliko elf 2000 kwa wiki
 
Ni kabila linaloongoza kuchukiwa Nigeria kwasababu ya kuwa na mafanikio makubwa sana na muungano wa kuinuana (apprenticeship), Nigeria kulikuwa na vita dhidi ya hili kabila mwaka 1968 hadi 1970 , waliuwawa watu milioni 2 wa hili kabila, huko mji wao waliharibu kila kitu na miundombinu, kali kuzidi yote wale wafanyabiashara wakubwa akaunti zao zilifirisiwa...... jeshi la Nigeria walidhani wamewaweza ila kwa mfumo wao huo wa kuinuana ilichukua miaka 30 tu kusimama upya, kwa sasa ndilo kabila linaloongoza kwa kuwa na mafanikio makubwa lakini ni kabila hili hili liliathirika na vita, bila hio vita wangeuwa mara 4 ya hapa
Biafra war
 
Nafikiri mtu asiyejua kuwa kuna ushirikina na uchawi duniani mtu huyo hajitambui kabisa.

Mtu anayeamini kuna ushirikina karne ya leo ni mpumbavu na zwazwa.
 
Yalikua yanatoka mavitu gani mkuu
Tunaokaa mbeya, Tunduma ndio tunawajua ndugu zetu hao wakinga wanasaidiana sana ila ndumba hawawez kuacha na kabila lolote linalofanya biashara ndumba wengne wanajifanya wanakataa ila wanafanya sana.

1.Wachaga ni wahumin sana wa ndumba
2.Waha bila ndumba hawez kuanza biashara
3.Msukuma chochote anachofanya bila kuiweka sawa hawez kuanza (hasa Wanyantuzu).
Wapemba na wahindi sidhan kama kuna mtu hawawajui vizur kwenye ushirikina

So mambo ya ndumba yapo sana kwenye biashara na usije ukajichanganya ukakaribia na duka la mtu ana hvyo vitu utajuta.
Waliowahi kufanya biashara Kariakoo, makambako, Tunduma, mwajelwa/sido mbeya watanielewa vizur sana.
 
Mbinu ni nyepesi mno na ninahofia endapo kabila kubwa likiiga basi litakuwa mbali sana kimafanikio, mbali sanaaaa!![emoji706][emoji706][emoji706]
 
Kwenye neno NIDHAMU! Nakazia.
Hakuna cha kuroga wala kurogana. Pia tujifunze kuoanisha jiografia na uchumi wa eneo flan. Mkoa wa iringa kilimo peke yake kinalipa na unatoboa. Hata mwenye nguvu tu za kuanzia atatoka akiwa na nidham.
Ndumba na maneno yote ya ulemavu wa ufaham yamejikita kwenye nidham.
Wahaya na wachaga na wakurya/wajaluo wanabaki barabaran kwa sabab ya kupata zaid ya halali kama wizi, ukwepaji kodi na utapeli! Mana kwa kipato halali na matumiz yao yalivo wasingetoboa. Tatzo ni kuaminishana hata hizo haram ni akili au ujanja!
Mchaga na mjaluo kwenye utapeli 1000% nakuunga mkono japo wote ni ndugu zangu ila daaah utapeli na ujanja ujanja umezid, Madili ya ajabu ajabu wamo mpaka kughushi mihuri na sign za wakubwa ukikosa hzo kabila basi hao wamesingiziwa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mbinu ni nyepesi mno na ninahofia endapo kabila kubwa likiiga basi litakuwa mbali sana kimafanikio, mbali sanaaaa!![emoji706][emoji706][emoji706]
makabila yote waliofanikiwa sehem ndio hutumia angalia waha, wachaga, wakinga, wasukuma.
Hayo makabila ata kama wamezidiana ila kuna kushikana sana mkono nenda ifakara kila biashara ni msukuma na mchaga tu na wanashikana mkono balaaa
 
Kuna tajiri mmoja mkinga kariakoo alifanikiwa Sana miaka ya nyuma kabla kariakoo haijachangamka Kama Leo..alichokifanya kwa wodogo zake na ndugu ni wote kuwafungulia maduka kariakoo..so yeye ananunua china shehena na kuwagawia wadogo zake .....makabila mengine Kama wadau WANAVOSEMA hapo juu yaani hakuna kuinuana ....watu wanaogopa kuzidiana....wa juu abaki juu na WA chini chini
Check mahotel yote magorofa sinza,Ubungo, mwenge, manzese etc wamiliki ni wakinga wa karikoo
 
Back
Top Bottom