Sio ustaarabu, heshima wala uungwana kufanya mapenzi ofisini au ndani ya gari

Sio ustaarabu, heshima wala uungwana kufanya mapenzi ofisini au ndani ya gari

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Ni kukaribisha laana na mikosi kwenye gari, bajaji au ofisi yako au ya mwenzako..

Acha kabisaa tabia hiyo chafu, ingawa wewe unaona tamu. Gari au bajaji yenyewe umeazima na hiyo ofisi umaajiriwa tu, usikaribishe na kupakaza mikosi kwenye ofisi na gari ya watu tafadhali muungwana.

Ni vizuri kutafuta muda na mahali tulivu pa kushiriki faragha hiyo muhimu na ya heshima sana miongni mwa mahitaji mahususi sana ya kibinadamu kibayolojia kwa uhuru na amani.

Hicho ni kitulizo murua muafaka cha moyo na akili, mnakunjanaje ofisini au kwenye gari chap chap, haraka haraka kama kuku lakini?

Hii aibu na fedheha ya kukuta chupa za vilevi, vipisi vya sigara na baadhi ya nguo za ndani zilizozagaa pasipostahili ofisini, kwenye bajaji au ndani ya gari ni dharau gani lakini?

Ni muhimu sana tukalipa heshima na thamani inayostahili tendo hili la pekee na muhimu sana la faragha kulingana na utamu wake jamani.

Tuepuke kulifanya kimasihara..
Asanti 🐒
 
ni kukaribisha laana na mikosi kwenye gari, bajaji au ofisi yako au ya mwenzako...

acha kabisaa tabia hiyo chafu, ingawa wewe unaona tamu. gari au bajaji yenyewe umeazima na hiyo ofisi umaajiriwa tu. usikaribishe na kupakaza mikosi kwenye ofisi na gari ya watu tafadhali muungwana..

ni vizuri kutafuta muda na mahali tulivu pa kushiriki faragha hiyo muhimu na ya heshima sana miongni mwa mahitaji mahususi sana ya kibinadamu kibayolojia kwa uhuru na amani.

hicho ni kitulizo murua muafaka cha moyo na akili, mnakunjanaje ofisini au kwenye gari chap chap, haraka haraka kama kuku lakini?

hii aibu na fedheha ya kukuta chupa za vilevi, vipisi vya sigara na baadhi ya nguo za ndani zilizozagaa pasipostahili ofisini, kwenye bajaji au ndani ya gari ni dharau gani lakini?

ni muhimu sana tukalipa heshima na thamani inayostahili tendo hili la pekee na muhimu sana la faragha kulingana na utamu wake jamani.
tuepuke kulifanya kimasihara..
Asanti 🐒
Uandishi wako usiofuata kanuni ....🤔
 
ni kukaribisha laana na mikosi kwenye gari, bajaji au ofisi yako au ya mwenzako...

acha kabisaa tabia hiyo chafu, ingawa wewe unaona tamu. gari au bajaji yenyewe umeazima na hiyo ofisi umaajiriwa tu. usikaribishe na kupakaza mikosi kwenye ofisi na gari ya watu tafadhali muungwana..

ni vizuri kutafuta muda na mahali tulivu pa kushiriki faragha hiyo muhimu na ya heshima sana miongni mwa mahitaji mahususi sana ya kibinadamu kibayolojia kwa uhuru na amani.

hicho ni kitulizo murua muafaka cha moyo na akili, mnakunjanaje ofisini au kwenye gari chap chap, haraka haraka kama kuku lakini?

hii aibu na fedheha ya kukuta chupa za vilevi, vipisi vya sigara na baadhi ya nguo za ndani zilizozagaa pasipostahili ofisini, kwenye bajaji au ndani ya gari ni dharau gani lakini?

ni muhimu sana tukalipa heshima na thamani inayostahili tendo hili la pekee na muhimu sana la faragha kulingana na utamu wake jamani.
tuepuke kulifanya kimasihara..
Asanti 🐒
Punguzeni kuwaza ngono, asbh yoooote hiii badala ulete vitu vyenye mantiki tayari unawaza uzinzi uzinzi tuuuuu. Waafrika kuna pahala fyuzi zimepelea!
 
Tendo la ndoa ni tukio la kiroho japo linafanyika kimwili, hivyo hata matokeo yake huanzia rohoni kabla ya kudhihirika mwilini.

Kuna baadhi ukizini nao matokeo yake hudhihirika mapema na wengine huchelewa kutegemeana na kiwango cha nguvu hasi za kiroho alichonacho mhusika.
Bado ni nadharia fikirishi
Nilitegemea utaniambia "kuna mfanyabiashara mmoja alifirisika baada ya kugongana ofisini, na unitajie jina au hata indicator zake""

#YNWA
 
Ni kukaribisha laana na mikosi kwenye gari, bajaji au ofisi yako au ya mwenzako..

Acha kabisaa tabia hiyo chafu, ingawa wewe unaona tamu. Gari au bajaji yenyewe umeazima na hiyo ofisi umaajiriwa tu, usikaribishe na kupakaza mikosi kwenye ofisi na gari ya watu tafadhali muungwana.

Ni vizuri kutafuta muda na mahali tulivu pa kushiriki faragha hiyo muhimu na ya heshima sana miongni mwa mahitaji mahususi sana ya kibinadamu kibayolojia kwa uhuru na amani.

Hicho ni kitulizo murua muafaka cha moyo na akili, mnakunjanaje ofisini au kwenye gari chap chap, haraka haraka kama kuku lakini?

Hii aibu na fedheha ya kukuta chupa za vilevi, vipisi vya sigara na baadhi ya nguo za ndani zilizozagaa pasipostahili ofisini, kwenye bajaji au ndani ya gari ni dharau gani lakini?

Ni muhimu sana tukalipa heshima na thamani inayostahili tendo hili la pekee na muhimu sana la faragha kulingana na utamu wake jamani.

Tuepuke kulifanya kimasihara..
Asanti 🐒
Sex ni popote hata msikitini au kanisani mnalombana tu,acha mawazo ya kipuuzi.
 
Ni kukaribisha laana na mikosi kwenye gari, bajaji au ofisi yako au ya mwenzako..

Acha kabisaa tabia hiyo chafu, ingawa wewe unaona tamu. Gari au bajaji yenyewe umeazima na hiyo ofisi umaajiriwa tu, usikaribishe na kupakaza mikosi kwenye ofisi na gari ya watu tafadhali muungwana.

Ni vizuri kutafuta muda na mahali tulivu pa kushiriki faragha hiyo muhimu na ya heshima sana miongni mwa mahitaji mahususi sana ya kibinadamu kibayolojia kwa uhuru na amani.

Hicho ni kitulizo murua muafaka cha moyo na akili, mnakunjanaje ofisini au kwenye gari chap chap, haraka haraka kama kuku lakini?

Hii aibu na fedheha ya kukuta chupa za vilevi, vipisi vya sigara na baadhi ya nguo za ndani zilizozagaa pasipostahili ofisini, kwenye bajaji au ndani ya gari ni dharau gani lakini?

Ni muhimu sana tukalipa heshima na thamani inayostahili tendo hili la pekee na muhimu sana la faragha kulingana na utamu wake jamani.

Tuepuke kulifanya kimasihara..
Asanti 🐒
Hiyo kitu inatia mikosi ofisi
 
Ni kukaribisha laana na mikosi kwenye gari, bajaji au ofisi yako au ya mwenzako..

Acha kabisaa tabia hiyo chafu, ingawa wewe unaona tamu. Gari au bajaji yenyewe umeazima na hiyo ofisi umaajiriwa tu, usikaribishe na kupakaza mikosi kwenye ofisi na gari ya watu tafadhali muungwana.

Ni vizuri kutafuta muda na mahali tulivu pa kushiriki faragha hiyo muhimu na ya heshima sana miongni mwa mahitaji mahususi sana ya kibinadamu kibayolojia kwa uhuru na amani.

Hicho ni kitulizo murua muafaka cha moyo na akili, mnakunjanaje ofisini au kwenye gari chap chap, haraka haraka kama kuku lakini?

Hii aibu na fedheha ya kukuta chupa za vilevi, vipisi vya sigara na baadhi ya nguo za ndani zilizozagaa pasipostahili ofisini, kwenye bajaji au ndani ya gari ni dharau gani lakini?

Ni muhimu sana tukalipa heshima na thamani inayostahili tendo hili la pekee na muhimu sana la faragha kulingana na utamu wake jamani.

Tuepuke kulifanya kimasihara..
Asanti 🐒
Vipi kama gari au hiyo bajaj sijaazima?
 
Back
Top Bottom