Sema tu siyo vizuri,japo huwa inategemeana na dharura...Usije shangaa mtoto wako mbona nikahaba au shoga kumbe chanzo ni wewe kwenda naye kwenye nyumba za kulala wageni.
HahahahhaWew ndo wale ambao akili zenu zikiona hz nyumba za kulala wageni mnafikiria kuto mba na tu
Ndio mkuu hapa nimekaa juu ya mlima nachunga huku naperuzi hapa JF.Sema tu siyo vizuri,japo huwa inategemeana na dharura...
Ila kwamba umalaya😳 mmhh!
Sasa hao makahaba wote walishawahi lazwa gesti utotoni?
Ng'ombe vp,ushachunga?
🤣🤣 Piga kazi mkuuNdio mkuu hapa nimekaa juu ya mlima nachunga huku naperuzi hapa JF.
Ni mbaya kiroho kivipiWakuu habari.
Kwa wale wapenda mambo ya kikubwa! Kwenda na mtoto wako guest house Kuna mfanya kiroho kuchukua vitu vilivyowahi kifanyika kwenye hicho chumba.
Usije shangaa mtoto wako mbona nikahaba au shoga kumbe chanzo ni wewe kwenda naye kwenye nyumba za kulala wageni.
Haijarishi unaenda kukutana na nani huko lodge either Baba wa mtoto au mchepuko! Watoto wadogo msiende nao Lodge.
Nimemaliza.