Sioni kama kuna haja ya kuendelea kutumia wachezaji wazee kwenye Timu ya Taifa

Sioni kama kuna haja ya kuendelea kutumia wachezaji wazee kwenye Timu ya Taifa

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
25,258
Reaction score
48,589
Nashangaa sana timu ya taifa kuendelea kumuita samata kuja kucheza katika ligi za mataifa kwaza ni mchezaji mzee na kwasasa anacheza kwa kuangalia jina lake nashauri msiite wachezaji kwa kuangalia jina lake bali angalieni ubora wake na kipaji chake kipoje kwa wakati uho

Samata kwasasa hana msaada tena kwenye timu ya taifa badala yake timu ijikite kuangalia au kutafuta vipaji vipya now tz tuna wachezaji wazee sana
 
Msuva atengwe.
Nashangaa sana timu ya taifa kuendelea kumuita samata kuja kucheza katika ligi za mataifa kwaza ni mchezaji mzee na kwasasa anacheza kwa kuangalia jina lake nashauri msiite wachezaji kwa kuangalia jina lake bali angalieni ubora wake na kipaji chake kipoje kwa wakati uho

Samata kwasasa hana msaada tena kwenye timu ya taifa badala yake timu ijikite kuangalia au kutafuta vipaji vipya now tz tuna wachezaji wazee sana
 
Hoja muhimu hii. Sasa hivi tulihitaji kuwa tunasuka kosi la AFCON 2027 pale tutakapokuwa wenyeji. Tukitegemea kuwatumia hawa wazee miaka 3 ijayo, tutaaibika hapa hapa nyumbani.
 
Hoja muhimu hii. Sasa hivi tulihitaji kuwa tunasuka kosi la AFCON 2027 pale tutakapokuwa wenyeji. Tukitegemea kuwatumia hawa wazee miaka 3 ijayo, tutaaibika hapa hapa nyumbani.
Kabisa mkuu hatuna wachezaji zaidi tunawategemea hao wazee
 
Nashangaa sana timu ya taifa kuendelea kumuita samata kuja kucheza katika ligi za mataifa kwaza ni mchezaji mzee na kwasasa anacheza kwa kuangalia jina lake nashauri msiite wachezaji kwa kuangalia jina lake bali angalieni ubora wake na kipaji chake kipoje kwa wakati uho

Samata kwasasa hana msaada tena kwenye timu ya taifa badala yake timu ijikite kuangalia au kutafuta vipaji vipya now tz tuna wachezaji wazee sana
Unajua mpira wewe kweli ? Unafuatilia team ya taifa ? Unakurupuka tuu? Jipange
 
Unajua mpira wewe kweli ? Unafuatilia team ya taifa ? Unakurupuka tuu? Jipange
Sijui ila wew unaona hao wachezaji wana msaada kwa miaka ijayo?

Kunatakiwa kupata vijana under 23 ambapo wanakuwa wamepikwa wakapikika sio hao ambao wanacheza kwa majina
 
Sijui ila wew unaona hao wachezaji wana msaada kwa miaka ijayo?

Kunatakiwa kupata vijana under 23 ambapo wanakuwa wamepikwa wakapikika sio hao ambao wanacheza kwa majina
Vijana wapo wengi na wanajulikana....issue kufuzu sasa hizi game 2....tushinde tuweze kufuzu huko mbele tujenge team vijana zaidiii
 
Vijana wapo wengi na wanajulikana....issue kufuzu sasa hizi game 2....tushinde tuweze kufuzu huko mbele tujenge team vijana zaidiii
Ndicho nachomaanisha mtu kama samata kwasasa wangeachana nae wangejikita kutafuta mbadala
 
Nashangaa sana timu ya taifa kuendelea kumuita samata kuja kucheza katika ligi za mataifa kwaza ni mchezaji mzee na kwasasa anacheza kwa kuangalia jina lake nashauri msiite wachezaji kwa kuangalia jina lake bali angalieni ubora wake na kipaji chake kipoje kwa wakati uho

Samata kwasasa hana msaada tena kwenye timu ya taifa badala yake timu ijikite kuangalia au kutafuta vipaji vipya now tz tuna wachezaji wazee sana
Vijana walishindwa kupata matokeo ikabidi wazoefu waongezwe na wamefanya vizuri
 
Back
Top Bottom