Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #21
Kuna haja ya kufumbua vipaji vipyaVijana walishindwa kupata matokeo ikabidi wazoefu waongezwe na wamefanya vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna haja ya kufumbua vipaji vipyaVijana walishindwa kupata matokeo ikabidi wazoefu waongezwe na wamefanya vizuri
Vipaji huandaliwa kwenye clubs sio timu ya taifa. Huku wanaletwa wakiwa wameiva wakiwa wanahitaji uzoefu tu.Kuna haja ya kufumbua vipaji vipya
Tutafute mkuiSawa ila kuna haja ya kutafuta vijana wadogo wenye vipaji hao wazee acheni nao kwasasa wanatakiwa kupumzika
Under 17,under 20 wapo unasemaje hatuna vijana! Kwani kinachotakiwa ni ni ushindi! Pepe wa ureno bado anacheza! Mess na Argentina bado anathemaSawa je miaka mitatu ijayo bado mtamtumia pia?
Hao vijana si ndo walitaka kuzamisha meli?Nashangaa sana timu ya taifa kuendelea kumuita samata kuja kucheza katika ligi za mataifa kwaza ni mchezaji mzee na kwasasa anacheza kwa kuangalia jina lake nashauri msiite wachezaji kwa kuangalia jina lake bali angalieni ubora wake na kipaji chake kipoje kwa wakati uho
Samata kwasasa hana msaada tena kwenye timu ya taifa badala yake timu ijikite kuangalia au kutafuta vipaji vipya now tz tuna wachezaji wazee sana
Ndio ila taifa linatakiwa kuwaandaa hawa vijana kuwatengenezea fursaVipaji huandaliwa kwenye clubs sio timu ya taifa. Huku wanaletwa wakiwa wameiva wakiwa wanahitaji uzoefu tu.
Najua ila watengeneze mashindan mengi zaidi uko nakovunde 17 kuna figisu piaUnder 17,under 20 wapo unasemaje hatuna vijana! Kwani kinachotakiwa ni ni ushindi! Pepe wa ureno bado anacheza! Mess na Argentina bado anathema
Watu kama wewe ndio mmesababisha timu iwe hapo ilipo sasa hivi.Nashangaa sana timu ya taifa kuendelea kumuita samata kuja kucheza katika ligi za mataifa kwaza ni mchezaji mzee na kwasasa anacheza kwa kuangalia jina lake nashauri msiite wachezaji kwa kuangalia jina lake bali angalieni ubora wake na kipaji chake kipoje kwa wakati uho
Samata kwasasa hana msaada tena kwenye timu ya taifa badala yake timu ijikite kuangalia au kutafuta vipaji vipya now tz tuna wachezaji wazee sana
Hata Yanga nawashangaa kumfukuza kocha wao badala ya kufukuza wachezaji wazee kama Pacome, Chama, Mkude, Aucho, n.kWapo wengi wanatakiwa kupumzika lakini wamewakumbatia kisa majina
Umeelewa nilichosema?Watu kama wewe ndio mmesababisha timu iwe hapo ilipo sasa hivi.
Mlitoa ushauri huu wa kipumbavu wakawaacha Samata na Msuva timu ikasumbuka sana mechi Ethiopia hapa nyumbani.
Ukishauri waachwe,pendekeza nani anafaa kuliko wao ili tuone kama una akili ama unaongozwa na skanka
Mda ukifika wata waachaHata Yanga nawashangaa kumfukuza kocha wao badala ya kufukuza wachezaji wazee kama Pacome, Chama, Mkude, Aucho, n.k
Tuwatafute hao vijana wapi!Sawa ila kuna haja ya kutafuta vijana wadogo wenye vipaji hao wazee acheni nao kwasasa wanatakiwa kupumzika
Cha kwetu wamezidiKijiji hakikosi wazee
Mpaka tutapopata kama haoUmeelewa nilichosema?
Kwahy mtawatumia hao mpka lini?
Kwani vijana wanaishi kwenye sayar ya jupiter?Tuwatafute hao vijana wapi!