Sioni sababu ya kuufungia wimbo wa Mwanza

Sio kosa lako kumbe ushasema shabiki wabana pua hujui hata mziki mkuu so piga kimya ktk hili tuachie wanamzi wenyewe tupambane
Sina team mimi ni shabiki wa mziki mzuri siyo shabiki wa Nyimbo za matusi na kubana pua.
Upige tu mpaka masikio yako yapasuke lakini ndio ushafungiwaaaa
 
Walikua bado hawajaufungia!!?
Safi sana mpaka wanyooke.... Wafanye matusi wameona haitoshi wameamua kuyatamka kabisa ili watoto waharibikiwe.
Wewe si hua unasapoti ushoga na usagaji humu jf,leo ndio umeona watato wataharibikiwa sio teh.
 
Had nimecheka aseee mkuu mi sion tatizo yaan kwa ulimwengu tuliopo sasa mi sion kigeni hapo yaan kila leo mambo yanachange utafungia wimbo wakat kufanya wanafanya tu kwani nyimbo ndio kichocheo cha ujinga au ujinga wanakua nao tu
 
Sio kosa lako kumbe ushasema shabiki wabana pua hujui hata mziki mkuu so piga kimya ktk hili tuachie wanamzi wenyewe tupambane
Wewe ukijua inatosha endelea kulialia hapa kamwambie Boss wako umefungiwaaa. Matusi imbeni ndani kwenu na watoto wenu.
 
Ndio wameshaufungia. Naitaji kujua wimbo ume athili vipi shuguli zako za uchumi
Nasemaje wameshaufungia. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bora aisee wampe na adhabu juu nyingine
 
Hauna mafunzo yoyote kwa jamii zaidi ya kupotosha maadili.
BTW mimi sina timu wala huo ushabiki wenu
Hakuna mtu nibayemuona hana ubongo kama anayeongea kauri ya ujumbe kwenye nyimbo, hivi unaijua fasihi, hivi ushawai jifanyia reserch playlist yako kubwa mwenyewe inahusisha nyimbo zenye ujumbe, ok basi unapenda ujumbe je nyimbo za 20 pacent unazo kwenye simuyako, Ngurumo na TX moshi, naamini ushaona kama uwezi tumia ubongo.

Small mind.
 
Mtoto wangu walikua anaimba nyege nyege nyege.. hadi nikaona aibu kwakweli... Maneno wanayo yatumia hawa wcb si mazuri Sanaa kwa watoto wetu ni aibu sanaaa kwakweli... Watumie maneno mazuri na ya kistaarabu kama wasanii wengine
 
Najua sana, ila sijaiona hata hiyo burudani yenyewe katika huo wimbo
Nahisi sitatizo la waimbaji tena hapo niubongo unashindwa zalisha hormone za kupokea burudani hapo.
 
Nibayemuona

Ushawai

Pacent

Kauri

Elimu yetu hii ni shiida
 
Mkiona shida kwani lazima msikilize hizo nyimbo za wcb jamani.... Hayo matoto yenu yenyewe yanakua na smartphone ila kazi yake ukiijua ndo utakoma hata sio music ndio inaharib jamii yenu sema mengine hata matendo yenu yanachangia bhna wakuu
 
Wewe si hua unasapoti ushoga na usagaji humu jf,leo ndio umeona watato wataharibikiwa sio teh.
yes nasapoti tena 100 percent lakini siwezi kusapoti matusi na lugha za kidhalilishaji.
Mashoga na Wasagaji hua wanafaragha zao.
 
yes nasapoti tena 100 percent lakini siwezi kusapoti matusi na lugha za kidhalilishaji.
Mashoga na Wasagaji hua wanafaragha zao.
Lakini nyimbo zinazoimba 'nyege' ndio mbaya kuliko hao wanaofirana na kusagana,teh teh.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…