Sioni Simba SC Akifuzu Kuingia Makundi Kombe la Shirikisho CAF.

demigod

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2015
Posts
8,292
Reaction score
15,250
Kwa utashi wangu wa kusoma uhalisia, na Hali halisi ya Klabu ya Simba SC. Hasa falsafa za Kocha Fadlu, Basi sioni namba watakayo tumia Simba kuwatoa Al Ahly Tripoli na kutinga makundi.

Sioni namna Kocha Fadlu anaweza kubadilisha namna take ya uchezaji.

Sioni namna ule Moto atalio pelekewa Simba kule Libya ukienda kupoa pale Taifa.

Sioni namna striker Valentino Mashaka akienda kuisumbua Safi ya waLibya.

Kiufupi SIONI NAMNA.
 
Wewe ni nani hasa katika ulimwengu wa soka? Tuanzie hapo kwanza.
 
Mechi zetu za Kiafrika mchezo wa nyumbani mara nyingi ndio huamua matokeo.

Kesho Simba anashinda zaidi ya goli 2.
 
Huu nao ni uchawi
 
natamani washinde ili timu zote waingie. kwa kifupi, simba kesho atashinda.
 
Huu nao ni uchawi
 
Washatafuta waganga wa Kila aina ili kuwafunga miguu waarabu, bila kufanya ivyo watachezea kichapo na kufurushwa nje ya michuano, akuna timu pale zaidi ya kikundi cha akinamama🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…