Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtabiri FekiSasa hivi unaonaje ndugu mtabiri?
Harudi Tena Hii Ni Aibu KwakeSaa ngapi tutarudi?
Nyokooo.....Kwa utashi wangu wa kusoma uhalisia, na Hali halisi ya Klabu ya Simba SC. Hasa falsafa za Kocha Fadlu, Basi sioni namba watakayo tumia Simba kuwatoa Al Ahly Tripoli na kutinga makundi.
Sioni namna Kocha Fadlu anaweza kubadilisha namna take ya uchezaji.
Sioni namna ule Moto atalio pelekewa Simba kule Libya ukienda kupoa pale Taifa.
Sioni namna striker Valentino Mashaka akienda kuisumbua Safi ya waLibya.
Kiufupi SIONI NAMNA.
Huwezi kuona mpaka uwe na macho.Kwa utashi wangu wa kusoma uhalisia, na Hali halisi ya Klabu ya Simba SC. Hasa falsafa za Kocha Fadlu, Basi sioni namba watakayo tumia Simba kuwatoa Al Ahly Tripoli na kutinga makundi.
Sioni namna Kocha Fadlu anaweza kubadilisha namna take ya uchezaji.
Sioni namna ule Moto atalio pelekewa Simba kule Libya ukienda kupoa pale Taifa.
Sioni namna striker Valentino Mashaka akienda kuisumbua Safi ya waLibya.
Kiufupi SIONI NAMNA.
Tumeuvuka...Huo ndio ukweli.
Simba kesho tuna mlima mrefu mnoo kuuvuka. Sioni dalili kuweza kuvuka.
Tujiandae kisaikolojia.
Kwa utabiri uliotukuka naomba ukajipongeze na supu kwenye ule mtaa unaopita maji machafu.Kwa utashi wangu wa kusoma uhalisia, na Hali halisi ya Klabu ya Simba SC. Hasa falsafa za Kocha Fadlu, Basi sioni namba watakayo tumia Simba kuwatoa Al Ahly Tripoli na kutinga makundi.
Sioni namna Kocha Fadlu anaweza kubadilisha namna take ya uchezaji.
Sioni namna ule Moto atalio pelekewa Simba kule Libya ukienda kupoa pale Taifa.
Sioni namna striker Valentino Mashaka akienda kuisumbua Safi ya waLibya.
Kiufupi SIONI NAMNA.
HilooooooSimba ya sasa ni mbovu sana!
Mwarabu akitangulia kuwafunga wamekwisha!
Wale akina Ateba hakuna kitu pale!
Viwango vya wachezaji wa Simba ni vya chini mno!
Simba safari hii inatoka mapema sana na Tena kwa aibu!
Simba ni timu ya kucheza dk 90 bila short on target!!
Washabiki wanatembelea jina Simba tu lakini hakuna timu pale ya hadhi ya mashindano ya Kimataifa!!
Sawa.. Simba imeingia wapi leoKwa utashi wangu wa kusoma uhalisia, na Hali halisi ya Klabu ya Simba SC. Hasa falsafa za Kocha Fadlu, Basi sioni namba watakayo tumia Simba kuwatoa Al Ahly Tripoli na kutinga makundi.
Sioni namna Kocha Fadlu anaweza kubadilisha namna take ya uchezaji.
Sioni namna ule Moto atalio pelekewa Simba kule Libya ukienda kupoa pale Taifa.
Sioni namna striker Valentino Mashaka akienda kuisumbua Safi ya waLibya.
Kiufupi SIONI NAMNA.
Kwendraaaa hukooo, unagugumia kwa maumivuu.Nikimbilie wapi na tushafuzu
Hebuuu njoo tenaa hapaaa, usemee utabiri wako.Yanaanza kutimia Sasa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hayaa nimerudii hapaaa!! Em sema nenoo bwasheee.Saa ngapi tutarudi?