Sioni Simba SC Akifuzu Kuingia Makundi Kombe la Shirikisho CAF.

Sioni Simba SC Akifuzu Kuingia Makundi Kombe la Shirikisho CAF.

Simba ya sasa ni mbovu sana!
Mwarabu akitangulia kuwafunga wamekwisha!
Wale akina Ateba hakuna kitu pale!
Viwango vya wachezaji wa Simba ni vya chini mno!
Simba safari hii inatoka mapema sana na Tena kwa aibu!
Simba ni timu ya kucheza dk 90 bila short on target!!
Washabiki wanatembelea jina Simba tu lakini hakuna timu pale ya hadhi ya mashindano ya Kimataifa!!
Yani uliongea kinyume kinyume tupu mkuu
 
Simba ya sasa ni mbovu sana!
Mwarabu akitangulia kuwafunga wamekwisha!
Wale akina Ateba hakuna kitu pale!
Viwango vya wachezaji wa Simba ni vya chini mno!
Simba safari hii inatoka mapema sana na Tena kwa aibu!
Simba ni timu ya kucheza dk 90 bila short on target!!
Washabiki wanatembelea jina Simba tu lakini hakuna timu pale ya hadhi ya mashindano ya Kimataifa!!
Habari yako
 
Simba ya sasa ni mbovu sana!
Mwarabu akitangulia kuwafunga wamekwisha!
Wale akina Ateba hakuna kitu pale!
Viwango vya wachezaji wa Simba ni vya chini mno!
Simba safari hii inatoka mapema sana na Tena kwa aibu!
Simba ni timu ya kucheza dk 90 bila short on target!!
Washabiki wanatembelea jina Simba tu lakini hakuna timu pale ya hadhi ya mashindano ya Kimataifa!!
Rudia kusoma ulichoandika
 
Kwa utashi wangu wa kusoma uhalisia, na Hali halisi ya Klabu ya Simba SC. Hasa falsafa za Kocha Fadlu, Basi sioni namba watakayo tumia Simba kuwatoa Al Ahly Tripoli na kutinga makundi.

Sioni namna Kocha Fadlu anaweza kubadilisha namna take ya uchezaji.

Sioni namna ule Moto atalio pelekewa Simba kule Libya ukienda kupoa pale Taifa.

Sioni namna striker Valentino Mashaka akienda kuisumbua Safi ya waLibya.

Kiufupi SIONI NAMNA.
Huyu nayeye si mumlime ban Active
 
Kwa utashi wangu wa kusoma uhalisia, na Hali halisi ya Klabu ya Simba SC. Hasa falsafa za Kocha Fadlu, Basi sioni namba watakayo tumia Simba kuwatoa Al Ahly Tripoli na kutinga makundi.

Sioni namna Kocha Fadlu anaweza kubadilisha namna take ya uchezaji.

Sioni namna ule Moto atalio pelekewa Simba kule Libya ukienda kupoa pale Taifa.

Sioni namna striker Valentino Mashaka akienda kuisumbua Safi ya waLibya.

Kiufupi SIONI NAMNA.
Watu wa Simba tulikubishia😃😆😄
 
Back
Top Bottom