Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani uliongea kinyume kinyume tupu mkuuSimba ya sasa ni mbovu sana!
Mwarabu akitangulia kuwafunga wamekwisha!
Wale akina Ateba hakuna kitu pale!
Viwango vya wachezaji wa Simba ni vya chini mno!
Simba safari hii inatoka mapema sana na Tena kwa aibu!
Simba ni timu ya kucheza dk 90 bila short on target!!
Washabiki wanatembelea jina Simba tu lakini hakuna timu pale ya hadhi ya mashindano ya Kimataifa!!
Habari yakoSimba ya sasa ni mbovu sana!
Mwarabu akitangulia kuwafunga wamekwisha!
Wale akina Ateba hakuna kitu pale!
Viwango vya wachezaji wa Simba ni vya chini mno!
Simba safari hii inatoka mapema sana na Tena kwa aibu!
Simba ni timu ya kucheza dk 90 bila short on target!!
Washabiki wanatembelea jina Simba tu lakini hakuna timu pale ya hadhi ya mashindano ya Kimataifa!!
Jukwaa la umbeya unatishaNashukuru Mkuu, mimi kutambulika mchango wangu pekee nimefarijika sana. Mengineyo ni majaaliwa.
Na tumerudi.....Tutarudii hapaa.
Pole topolokwinyoHuo ndio ukweli.
Simba kesho tuna mlima mrefu mnoo kuuvuka. Sioni dalili kuweza kuvuka.
Tujiandae kisaikolojia.
HahahahahahahWashabiki wanatembelea jina Simba tu lakini hakuna timu pale ya hadhi ya mashindano ya Kimataifa!!
Rudia kusoma ulichoandikaSimba ya sasa ni mbovu sana!
Mwarabu akitangulia kuwafunga wamekwisha!
Wale akina Ateba hakuna kitu pale!
Viwango vya wachezaji wa Simba ni vya chini mno!
Simba safari hii inatoka mapema sana na Tena kwa aibu!
Simba ni timu ya kucheza dk 90 bila short on target!!
Washabiki wanatembelea jina Simba tu lakini hakuna timu pale ya hadhi ya mashindano ya Kimataifa!!
Huyu nayeye si mumlime ban ActiveKwa utashi wangu wa kusoma uhalisia, na Hali halisi ya Klabu ya Simba SC. Hasa falsafa za Kocha Fadlu, Basi sioni namba watakayo tumia Simba kuwatoa Al Ahly Tripoli na kutinga makundi.
Sioni namna Kocha Fadlu anaweza kubadilisha namna take ya uchezaji.
Sioni namna ule Moto atalio pelekewa Simba kule Libya ukienda kupoa pale Taifa.
Sioni namna striker Valentino Mashaka akienda kuisumbua Safi ya waLibya.
Kiufupi SIONI NAMNA.
Watu wa Simba tulikubishia😃😆😄Kwa utashi wangu wa kusoma uhalisia, na Hali halisi ya Klabu ya Simba SC. Hasa falsafa za Kocha Fadlu, Basi sioni namba watakayo tumia Simba kuwatoa Al Ahly Tripoli na kutinga makundi.
Sioni namna Kocha Fadlu anaweza kubadilisha namna take ya uchezaji.
Sioni namna ule Moto atalio pelekewa Simba kule Libya ukienda kupoa pale Taifa.
Sioni namna striker Valentino Mashaka akienda kuisumbua Safi ya waLibya.
Kiufupi SIONI NAMNA.