balimar
JF-Expert Member
- Sep 18, 2015
- 7,743
- 13,657
Acha dharauAcha kuleta nadharia zako. Tupe uthibitisho kuwa kiongozi anazaliwa?
Safari bado inaendelea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha dharauAcha kuleta nadharia zako. Tupe uthibitisho kuwa kiongozi anazaliwa?
Mimi ni mwanachama wa CCM. Kwa sasa CCM ipo chini ya Samia ambaye pia ndo Rais wa JMT.
Kwa utaratibu waliojiwekea CCM ingawa haupo kwenye katiba ya chama au kanuni nyingine, mtu akiwa kwenye nafasi ya Urais kipindi cha kwanza...
Wakati wa chuma waligombea.? Why now? Ngoja mama awale vichwaMimi ni mwanachama wa CCM. Kwa sasa CCM ipo chini ya Samia ambaye pia ndo Rais wa JMT.
Kwa utaratibu waliojiwekea CCM ingawa haupo kwenye katiba ya chama au kanuni nyingine, mtu akiwa kwenye nafasi ya Urais kipindi cha kwanza, ni vizuri anaachiwa pia kipindi chake cha pili ili aweze kukamilisha sera zake na maono yake katika ujenzi wa Taifa. Ikitokea hataki yeye mwenyewe ndo chama kinakubali na kuweka mchakato wa kupata mwingine kama ilivyotokea kwa Idris Abdul Wakil kule Zanzibar miaka ile.
Hivyo kwa sasa ni wazi atakayependekezwa na chama CCM kugombea na kushika usukani 2025-2030 ni Rais wa awamu wa 6 Samia Suluhu Hassan. Endapo kuna mtu anataka kupambana nae kwa sasa ili ashike usukani 2025-2030 huyo bila shaka anaweza akawa anakiuka taratibu za chama ambazo ingawa hazijaandikwa popote ila chama kinaziamini haswa.
Kuhusu Mawaziri kujiandaa kuwa Marais 2030. Kwa hili sioni kosa lolote. Kwanza hili jambo ni zuri kwa sababu linawapa muda mzuri wananchi kumpima huyo mtu kwenye kila eneo kabla ya kumwamini na kumpa nafasi ya kuwa kiongozi Mkuu wa nchi.
Ningependa kuwashauri CCM kuunga mkono jambo hili na kutolichukulia kama uhaini kwa sababu hata kwao litakuja kuwapa faida hasa kwa kupata mtu sahihi kwa mazingira sahihi.
Kwa nchi nyingi Duniani viongozi hawaibuki kama uyoga tu ila wanapimwa kwa kipindi cha kutosha na pale wanapokuwa viongozi wanafahamika vizuri na wananchi wao.
Kwa Dunia ya sasa kiongozi mzuri lazima apimwe na wananchi wake hasa kwenye uwezo wake wa kifedha, Je, anaweza kutafuta fedha? Kuhusu maendeleo yake binafsi? Je, ana maendeleo ya kuridhisha binafsi? sio mtu anatuomba uongozi mkuu wakati hata yeye hakuwa na uwezo wa kujiletea maendeleo binafsi sasa atawezaje kuleta maendeleo kwa wengine?
Lazima tumjue kwa muda mrefu ili tumpime pia kifamilia kama Familia yake ikoje? anawaongozaje mke wake na watoto? Au mume na watoto maana kipimo kikuu cha uongozi kipo ktk ngazi ya familia. Lazima tujue pia uwezo.wake kiushawishi ktk kuifanya dunia ije Tanzania, ifanye biashara na Tanzania, iwekeze na kuleta mitaji Tanzania na kwa hilo hatuwezi kukiachia chama cha mapinduzi tu ndo kifanyw hilo.
Watanzania tunahitaji kuwajua wataka Urais kwa muda mrefu ili tupate muda mzuri kuwa assess hawa watu katika maeneo haya.
Hili pia litasaidia kupata kiongozi ambaye ni Mtanzania kweli na sio pandikizi. litasaidia pia kupata mtu mwenye afya njema ya akili maana kwa muda mrefu watu wattapata kujua historia yake vizuri.
Naomba kuwasilisha
Umemkana mwenzio kiongozi wa chamaCCM hatuna mtu Kama ww
Ukiulizwa jibu, sio unajibu kwa kuuliza, we vipi!.Tupe uthibitisho yanaharibuje utendaji serikalini?
Mtu kujiandaa kuwa Rais kunaongezaje vitendo vya Rushwa? Rushwa zinazotokea siku zote zinatokana na Watu kujiandaa kuwa Marais?
Kwani 2025 hakuna uchaguzi wa RAIS!?Mimi ni mwanachama wa CCM. Kwa sasa CCM ipo chini ya Samia ambaye pia ndo Rais wa JMT.
Kwa utaratibu waliojiwekea CCM ingawa haupo kwenye katiba ya chama au kanuni nyingine, mtu akiwa kwenye nafasi ya Urais kipindi cha kwanza, ni vizuri anaachiwa pia kipindi chake cha pili ili aweze kukamilisha sera zake na maono yake katika ujenzi wa Taifa. Ikitokea hataki yeye mwenyewe ndo chama kinakubali na kuweka mchakato wa kupata mwingine kama ilivyotokea kwa Idris Abdul Wakil kule Zanzibar miaka ile.
Hivyo kwa sasa ni wazi atakayependekezwa na chama CCM kugombea na kushika usukani 2025-2030 ni Rais wa awamu wa 6 Samia Suluhu Hassan. Endapo kuna mtu anataka kupambana nae kwa sasa ili ashike usukani 2025-2030 huyo bila shaka anaweza akawa anakiuka taratibu za chama ambazo ingawa hazijaandikwa popote ila chama kinaziamini haswa.
Kuhusu Mawaziri kujiandaa kuwa Marais 2030. Kwa hili sioni kosa lolote. Kwanza hili jambo ni zuri kwa sababu linawapa muda mzuri wananchi kumpima huyo mtu kwenye kila eneo kabla ya kumwamini na kumpa nafasi ya kuwa kiongozi Mkuu wa nchi.
Ningependa kuwashauri CCM kuunga mkono jambo hili na kutolichukulia kama uhaini kwa sababu hata kwao litakuja kuwapa faida hasa kwa kupata mtu sahihi kwa mazingira sahihi.
Kwa nchi nyingi Duniani viongozi hawaibuki kama uyoga tu ila wanapimwa kwa kipindi cha kutosha na pale wanapokuwa viongozi wanafahamika vizuri na wananchi wao.
Kwa Dunia ya sasa kiongozi mzuri lazima apimwe na wananchi wake hasa kwenye uwezo wake wa kifedha, Je, anaweza kutafuta fedha? Kuhusu maendeleo yake binafsi? Je, ana maendeleo ya kuridhisha binafsi? sio mtu anatuomba uongozi mkuu wakati hata yeye hakuwa na uwezo wa kujiletea maendeleo binafsi sasa atawezaje kuleta maendeleo kwa wengine?
Lazima tumjue kwa muda mrefu ili tumpime pia kifamilia kama Familia yake ikoje? anawaongozaje mke wake na watoto? Au mume na watoto maana kipimo kikuu cha uongozi kipo ktk ngazi ya familia. Lazima tujue pia uwezo.wake kiushawishi ktk kuifanya dunia ije Tanzania, ifanye biashara na Tanzania, iwekeze na kuleta mitaji Tanzania na kwa hilo hatuwezi kukiachia chama cha mapinduzi tu ndo kifanyw hilo.
Watanzania tunahitaji kuwajua wataka Urais kwa muda mrefu ili tupate muda mzuri kuwa assess hawa watu katika maeneo haya.
Hili pia litasaidia kupata kiongozi ambaye ni Mtanzania kweli na sio pandikizi. litasaidia pia kupata mtu mwenye afya njema ya akili maana kwa muda mrefu watu wattapata kujua historia yake vizuri.
Naomba kuwasilisha
Kwamba vyama kinzani havijapata au kuandaa wagombea HD sasa.Kwani lazima autake uRais akiwa ndani ya CCM pekee?
SawaKwamba vyama kinzani havijapata au kuandaa wagombea HD sasa.
Siasa ziliishia kipindi cha kampeni sahz ni mikutano ya kazi na kutatua matatizo ya wananchi.Hata Mimi sidhani kama ni dhambi ila DHAMBI inakua kwenye CHADEMA wakitaka kufanya siasa wanaletewa mambo ya kishenzi, kihuni na kipuuzi na SERIKALI ya CCM kwa kushirikiana na Polisi na usalama. wajinga Wakubwa hawa
NDIO akili zakoSiasa ziliishia kipindi cha kampeni sahz ni mikutano ya kazi na kutatua matatizo ya wananchi.
Na Mimi nautafuta KWA kufundisha KWA bidii wanafunzi!!!Urais wa 2030 unatafutwa Kwa kuhujumu jitihada za Rais aliyepo madarakani kutimiza ahadi alotoa Kwa wananchi?
Urais unatafutwa Kwa waziri kuacha majukumu aliyopewa na aliyemteua na kufanya UDALALI wa gesi ya wafanyabiashara?
Urais unatafutwa Kwa kutengeneza mgao wa umeme?
Urais unatafutwa Kwa waziri kuacha ofisi na kwenda kusikiliza kero za wananchi zisohusiana na wizara husika ya fedha aloteuliwa kwayo??
Uwaziri unatafutwa Kwa kupandishwa Bei za vifurushi vya data Ili zipatikane pesa za 2030?
Ndugu Hawa wasaka urais wangeshirikiana kuhakikisha inapatikana KATIBA mpya, ingesaidia kuepusha kufukua makaburi.Na Mimi nautafuta KWA kufundisha KWA bidii wanafunzi!!!
Sijui nani ataniona nafaa!?
MkuuNdugu Hawa wasaka urais wangeshirikiana kuhakikisha inapatikana KATIBA mpya, ingesaidia kuepusha kufukua makaburi.
Maana hawajui kama Katiba mpya ikikwama AJAYE akiingia hatotoka Hadi MAONO yatimie.
Yaani vyama vingi ndo itakuwa basi tena.
Hakuna RANGI ambayo hawatoona wanaotuibia nw!!!!
Haya yanayoendelea sasa ndo yanamtengeneza, unaweza imagine ataekabidhiwa atakuta Hali Gani!!Mkuu
Hivi BADO tunae tena mwingine kama yule wa kulala nao mbele kwa mbele!?
Si hakuna mwingine tena!!?
Ina MAANA FDR NDIO huyo atakaewaminya ipasavyo tena!!?
Duh!
Kwani vichaa hawapigi kazi?Kazi unaitafsiri vipi? Vitu vingi sana ambavyo sio kazi ni vitu gani?
Katiba yetu inataka candidates wasiwe vichaa hivyo hakuna umuhimu wa kuwazungumzia vichaa.