Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
- #41
Kama kweli alikamatwa na Rushwa alishtakiwa mahakama ipi? Zile zilikuwa futuhi kama futuhi zingine tuUkiulizwa jibu, sio unajibu kwa kuuliza, we vipi!.
Makundi ya Urais CCM ndio chanzo cha rushwa na ufisadi, mfano 2015, kuna jamaa alikamatwa na pesa Dodoma akiwa anajiandaa kuhonga wajumbe.
Siku hizi umekuwa chawa haya mambo huwezi kuyakumbuka.