Sioni tatizo lolote mtu kujiandaa kuwa Rais wa Tanzania mwaka 2030

Ukiulizwa jibu, sio unajibu kwa kuuliza, we vipi!.

Makundi ya Urais CCM ndio chanzo cha rushwa na ufisadi, mfano 2015, kuna jamaa alikamatwa na pesa Dodoma akiwa anajiandaa kuhonga wajumbe.

Siku hizi umekuwa chawa haya mambo huwezi kuyakumbuka.
Kama kweli alikamatwa na Rushwa alishtakiwa mahakama ipi? Zile zilikuwa futuhi kama futuhi zingine tu
 
Nani anahujumu au anafanya udalali?

Hizo ngonjera za kutunga muishie nazo huko huko kwenu sio humu kwenye watu wenye akili zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…