Shangaa na wewe ndugu yanguBASATA na TCRA wamezingua sana ,Enzi Giggy anatoka alikuwa anapewa promo sana na EATV FNL alikuwa anavaa hovyo balaaa sijui enzi hizo walikuwepo wapi? Vazi la giggy ni la kawaida sana au hawajaona shilole alivyoonyesha hotel ya mtoto stejini?
Ni kawaida kuona mwanaume kavua shati kaweka begani na anaendelea na Mishe/safari zake
Lakini kwa mwanamke ni ngumu kidogo
Nirudi kwenye maada,mtoa post anasema Gigy alivaa vazi linalofunika mwili mzima.swali,,,
Ni kwanini kabuni vazi lenye rangi Kama mwili wa binadamu?
NB:napendekeza wasafi ingefungiwa at least two weeks up to one month.na faini ya pesa taslimu
Lakini pia BASATA wangedili na Gigy
Ukiwa na jicho la kiume ukiangalia pale utaona hadi ndani😂😂Sasa papuchi ya kuchora ndo iwe utupu, mbona kwenye vitabu zipo kibao tu na tunasomeshwa darasani?
Ukiwa na jicho la kiume ukiangalia pale utaona hadi ndani[emoji23][emoji23]
Siku zote shetani hutaka "mtu" aharibikiwe!Unajaribu kusema nini hapo mkuu!
Ultaka acheze kwa staha kwani kanisani pale alikuwaHata uchezaji wake haikuwa na staha hata kidogo!
Wacha wajifunze !
Jicho la kiume + giggy dancing posture = nudityHakuna kitu hapo Mzee, ni mchoro tu kwa ustadi mkubwa... kwa haraka haraka ndiyo maana hata TCRA walipigwa tobo at first sight!
Baada ya kuitazama mara mbili nafikiri hata wao sasa wanajicheka sana.[emoji16][emoji16]
Kwa kitu unachokiongea weww hilo kosa ni LA msanii na sio media maana media hawampangii msanii avaaje au afanye niniNi kawaida kuona mwanaume kavua shati kaweka begani na anaendelea na Mishe/safari zake
Lakini kwa mwanamke ni ngumu kidogo
Nirudi kwenye maada,mtoa post anasema Gigy alivaa vazi linalofunika mwili mzima.swali,,,
Ni kwanini kabuni vazi lenye rangi Kama mwili wa binadamu?
NB:napendekeza wasafi ingefungiwa at least two weeks up to one month.na faini ya pesa taslimu
Lakini pia BASATA wangedili na Gigy
Alfu wote waliofurahia na kuunga mkono juhudi ni wafia diniShetani anaingiaje hapo!
Kwa kitu unachokiongea weww hilo kosa ni LA msanii na sio media maana media hawampangii msanii avaaje au afanye nini
Adamu alivyomtia mitama mbasha ilitakiwa clouds nzima wamuombe msamaha mbasha au ccm wote wawajibike kwa lile tukio .
Nonsense
Lugha ya picha hiyo!Shetani anaingiaje hapo!
Kama ulivyosema mkuu walikuwa wanawatafutia sababu tuKabisa mkuu, eti media inapaswa hadi kusimamia "dancing posture" za wanenguaji... tena kwenye LIVE event!!!
Tukaitafute wapi!!!??? Weka link hapa.Tatizo umeona picha juu juu ukaishia kuandika thread. Nenda katafute video ya performance ya Gigy Money ndo utaona kweli kaonewa au hapana!