Sioni 'utupu' wa Gigy Money, mamlaka zimehuhukumu kwa mihemko na kukurupuka

Sioni 'utupu' wa Gigy Money, mamlaka zimehuhukumu kwa mihemko na kukurupuka

Hamna kitu watu ni wivu tu, sema naye alichora 'zivu' msitu sana!
huo ni urembo tu upo kifuani kiunoni na hadi miguuni au wewe umeona hapo tu
gigy.jpg
 
Btw
Kibongo bongo mwanamke akionesha eneo la magoti kuja juu mpaka kwenye kitovu inahesabika ameonesha utupu.

Mahali pengine panaposemwa ni kuonesha utupu ni eneo lote la manyonyo na mabega.

Ninachoshangaa inakuwaje TCRA hawajaufungia wimbo wa Diamond wa Waah maana wanenguaji wanaume wameonesha vifua wazi.
Kifua cha mwanaume siyo utupu. Kifua wazi cha mwanamke ndiyo utupu mwambie mkeo au dadako atembee kifua wazi barabarani tuone
 
Picha haina maadili kabisa ya Kitanzania. Papucha nyonyo vyote vinaonekana.
Kama ukiweza kumwonyesha mama yako hiyo picha na akisema sawa basi Gigy anaonewa. kwahiyo tusipotezeane muda kamwonyeshe mother then uje utuambie anasemaje

Ulipomwonesha maza’ako alisemaje, tuanzie hapo.

Ni mzaha si mzaha!!
 
Picha haina maadili kabisa ya Kitanzania. Papucha nyonyo vyote vinaonekana.
Kama ukiweza kumwonyesha mama yako hiyo picha na akisema sawa basi Gigy anaonewa. kwahiyo tusipotezeane muda kamwonyeshe mother then uje utuambie anasemaje

Kwani mother ako ndo kizio cha maadili? Hebu ficha huu ujinga wako huenda utakufaa mbeleni.
 
Back
Top Bottom