utopolo og
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 575
- 1,575
Nilikuwa nina matumaini sana na Azam kwamba watamaliza nafasi ya pili msimu huu, ila baada ya mechi ya leo nawaondoa kwenye kinyang'anyiro hicho..
Singida Black Stars nao bado wana nafasi ila nadhani katikati ya msimu pumzi itawaisha nao kurudi kwenye nafasi yao kama mid-table team.
Simba hawatakuwa na upinzani mkubwa sana kwenye kugombea nafasi ya pili msimu huu wa ligi kuu ya NBC..
Naona unbeaten season nyingine tena kwa Wananchi kwani gape la ubora kati yake na hawa wengine ni kubwa sana.
YANGA BINGWA
Soma Pia: FT: Azam FC 0-2 Simba SC | NBC Premier League | New Amaan Complex Zanzibar | Septemba 26, 2024
Singida Black Stars nao bado wana nafasi ila nadhani katikati ya msimu pumzi itawaisha nao kurudi kwenye nafasi yao kama mid-table team.
Simba hawatakuwa na upinzani mkubwa sana kwenye kugombea nafasi ya pili msimu huu wa ligi kuu ya NBC..
Naona unbeaten season nyingine tena kwa Wananchi kwani gape la ubora kati yake na hawa wengine ni kubwa sana.
YANGA BINGWA
Soma Pia: FT: Azam FC 0-2 Simba SC | NBC Premier League | New Amaan Complex Zanzibar | Septemba 26, 2024