Sioni Yanga akimfunga SSC Jumamosi

Sioni Yanga akimfunga SSC Jumamosi

Ukweli mchungu mm ni Yanga lkn ni kweli Ssc amepita mechi kubwa kubwa zilizompa ukomavu jmosi kazi siyo ndogo
Simba iliyokuwa ya moto ni ile ya kocha mzuzu hii ni simba ya kawaida sana jumamosi tunamfungisha vilago Kocha Pabro na wale wazee wote kina Wawa, Kagere na wengineo hasa yule ambaye wana udhia naye Mugalu wajiandae kusepeshwa.
 
Kama tunaongelea mechi ya ligi kuu, sioni uhalali wa kusema Yanga hajawa tested. Yanga anakwenda kucheza na Simba ambayo tayari imeshakuwa tested kwenye ligi hii na kuteteleka, tena several times. Kumbuka pia Yanga anezifunga timu kama Biashara united ambayo ilishazionesha ubabe timu za kimataifa (mojawapo ikifika hadi hatua ya robo fainali CAF - Al Ahly Tripoli).

Naendelea kusema kuwa ni makosa kujiaminisha kuwa Yanga anakikosi bora, pamoja na kuongoza ligi na uwezekano mkubwa wa kuchukua kombe bado hatuwezi kusema Yanga ni bora. Yanga bado haijawa TESTED.

Ili uwe bora ni lazima upitishwe kwenye matanuru ya moto yatakayoenda kutoa vya ndani na kuvileta nje na vya nje kuingizwa ndani.

Hii ni pamoja na kucheza na timu kubwa za nje ya nchi kwenye michuano mikubwa kama anayopitia SSC.

SSC inapitia changamoto kubwa na inaweza kuona madhaifu yao. Alisikika Pablo akisema we need a project to have a quality team .

Changamoto anayokutana nayo Yanga ni Namungo , Geita n.k. Timu ambazo beki zake na Safu ya ushambuliaji ni below average. Yanga anatakiwa kukutana na mtu kama Asec, Berkane, Orlando ili tuone huo ubora wao halisi. Tuone Mayele akitetema ndani ya hizo beki.

Mtihani mkuu wa Yanga ilikuwa ni kucheza na Somalia , na walitoka suluhu, nasema tena Yanga haijawa tested bado

Kwa sasa Yanga itaenda Champion Ligi kuna uwezekano mkubwa ikatoka kwenye Preliminary stages. Sio Mbali ni Octoba tu mtakuja na majibu.

Jumamosi kuna nafasi kubwa SSC akashinda hiyo mechi kwa ubora wa SSC kibongo bongo Yanga bado sana. Kama timu yako inachukua kombe na kuishia stage za awali, huwezi kusema unakikosi bora.

SSC itashinda Jumamosi na Mayele atandelea kuota namna bora ya kutimiza deni fake lake.
 
Hivi misimu gani miwili mnayoizungumzia? Hii hapa chini ilikuwa tarehe 13 Julai, 2020

View attachment 2201656
Mechi Gani Mmeshinda Apo?
Screenshot_20220426-204505~2.jpg
Screenshot_20220426-204707~2.jpg
 
Naendelea kusema kuwa ni makosa kujiaminisha kuwa Yanga anakikosi bora, pamoja na kuongoza ligi na uwezekano mkubwa wa kuchukua kombe bado hatuwezi kusema Yanga ni bora. Yanga bado haijawa TESTED.

Ili uwe bora ni lazima upitishwe kwenye matanuru ya moto yatakayoenda kutoa vya ndani na kuvileta nje na vya nje kuingizwa ndani.

Hii ni pamoja na kucheza na timu kubwa za nje ya nchi kwenye michuano mikubwa kama anayopitia SSC.

SSC inapitia changamoto kubwa na inaweza kuona madhaifu yao. Alisikika Pablo akisema we need a project to have a quality team .

Changamoto anayokutana nayo Yanga ni Namungo , Geita n.k. Timu ambazo beki zake na Safu ya ushambuliaji ni below average. Yanga anatakiwa kukutana na mtu kama Asec, Berkane, Orlando ili tuone huo ubora wao halisi. Tuone Mayele akitetema ndani ya hizo beki.

Mtihani mkuu wa Yanga ilikuwa ni kucheza na Somalia , na walitoka suluhu, nasema tena Yanga haijawa tested bado

Kwa sasa Yanga itaenda Champion Ligi kuna uwezekano mkubwa ikatoka kwenye Preliminary stages. Sio Mbali ni Octoba tu mtakuja na majibu.

Jumamosi kuna nafasi kubwa SSC akashinda hiyo mechi kwa ubora wa SSC kibongo bongo Yanga bado sana. Kama timu yako inachukua kombe na kuishia stage za awali, huwezi kusema unakikosi bora.

SSC itashinda Jumamosi na Mayele atandelea kuota namna bora ya kutimiza deni fake lake.
Mbona mnatuchanganya wengine mnasifia kikosi ni bora, wengine wanalalamika kuwa kikosi sio bora wanaorodhesha wachezaji kibao wa kusepa kwenye dirisha la usajili. Sasa tushike lipi?
 
Kama tunaongelea mechi ya ligi kuu, sioni uhalali wa kusema Yanga hajawa tested. Yanga anakwenda kucheza na Simba ambayo tayari imeshakuwa tested kwenye ligi hii na kuteteleka, tena several times. Kumbuka pia Yanga anezifunga timu kama Biashara united ambayo ilishazionesha ubabe timu za kimataifa (mojawapo ikifika hadi hatua ya robo fainali CAF - Al Ahly Tripoli).
Tripoli amefika nusu fainali.
 
Wakati Kwenye Ligi Misimu Miwili Mfululizo Timu Ambayo Haijawahi Kuwa Tested Na Izo Aina Ya Mechi Unazo Ziongelea Wewe Tumewabutua Na Hamjawahi Kuchukua Point 3 Mbele Yetu Af Sijui Unaongea Nn Hapa Na Maelezo Yako Marefu Kama Mkojo Wa Firauni [emoji23]
Naona wao wameanza kuwa tested msimu huu [emoji1][emoji1][emoji1] iliyopita hawakua tested maana kumfunga Yanga kwenye ligi alishindwa.
 
Tested tested tested ... Misimu yote hiyo hamkucheza huko CAF? Au mmeanza msimu huu? Hamkufika Robo?
... Na bado mkicheza na kina Sarpong, Nchimbi, Kipenseli n.k hampati points 3.

Test ya Shirikisho ndiyo bora zaidi kuliko ya Champions league au?

Au test ya saa hii ni bora sana?
 
Naendelea kusema kuwa ni makosa kujiaminisha kuwa Yanga anakikosi bora, pamoja na kuongoza ligi na uwezekano mkubwa wa kuchukua kombe bado hatuwezi kusema Yanga ni bora. Yanga bado haijawa TESTED.

Ili uwe bora ni lazima upitishwe kwenye matanuru ya moto yatakayoenda kutoa vya ndani na kuvileta nje na vya nje kuingizwa ndani.

Hii ni pamoja na kucheza na timu kubwa za nje ya nchi kwenye michuano mikubwa kama anayopitia SSC.

SSC inapitia changamoto kubwa na inaweza kuona madhaifu yao. Alisikika Pablo akisema we need a project to have a quality team .

Changamoto anayokutana nayo Yanga ni Namungo , Geita n.k. Timu ambazo beki zake na Safu ya ushambuliaji ni below average. Yanga anatakiwa kukutana na mtu kama Asec, Berkane, Orlando ili tuone huo ubora wao halisi. Tuone Mayele akitetema ndani ya hizo beki.

Mtihani mkuu wa Yanga ilikuwa ni kucheza na Somalia , na walitoka suluhu, nasema tena Yanga haijawa tested bado

Kwa sasa Yanga itaenda Champion Ligi kuna uwezekano mkubwa ikatoka kwenye Preliminary stages. Sio Mbali ni Octoba tu mtakuja na majibu.

Jumamosi kuna nafasi kubwa SSC akashinda hiyo mechi kwa ubora wa SSC kibongo bongo Yanga bado sana. Kama timu yako inachukua kombe na kuishia stage za awali, huwezi kusema unakikosi bora.

SSC itashinda Jumamosi na Mayele atandelea kuota namna bora ya kutimiza deni fake lake.
Rubbish
 
Naendelea kusema kuwa ni makosa kujiaminisha kuwa Yanga anakikosi bora, pamoja na kuongoza ligi na uwezekano mkubwa wa kuchukua kombe bado hatuwezi kusema Yanga ni bora. Yanga bado haijawa TESTED.

Ili uwe bora ni lazima upitishwe kwenye matanuru ya moto yatakayoenda kutoa vya ndani na kuvileta nje na vya nje kuingizwa ndani.

Hii ni pamoja na kucheza na timu kubwa za nje ya nchi kwenye michuano mikubwa kama anayopitia SSC.

SSC inapitia changamoto kubwa na inaweza kuona madhaifu yao. Alisikika Pablo akisema we need a project to have a quality team .

Changamoto anayokutana nayo Yanga ni Namungo , Geita n.k. Timu ambazo beki zake na Safu ya ushambuliaji ni below average. Yanga anatakiwa kukutana na mtu kama Asec, Berkane, Orlando ili tuone huo ubora wao halisi. Tuone Mayele akitetema ndani ya hizo beki.

Mtihani mkuu wa Yanga ilikuwa ni kucheza na Somalia , na walitoka suluhu, nasema tena Yanga haijawa tested bado

Kwa sasa Yanga itaenda Champion Ligi kuna uwezekano mkubwa ikatoka kwenye Preliminary stages. Sio Mbali ni Octoba tu mtakuja na majibu.

Jumamosi kuna nafasi kubwa SSC akashinda hiyo mechi kwa ubora wa SSC kibongo bongo Yanga bado sana. Kama timu yako inachukua kombe na kuishia stage za awali, huwezi kusema unakikosi bora.

SSC itashinda Jumamosi na Mayele atandelea kuota namna bora ya kutimiza deni fake lake.
Unacheza na timu za nje halafu unakuja kutoa draw na Polisi hii imekaaje
 
Nakushukuru mleta mada kwa kuandika ukweli mtupu, tatizo la Yanga ni kujiamisha au kujiona wako level moja na Simba wakati sio kweli au hii nafasi ya kucheza na Simba inawafanya mjione mpo sawa na Simba.
Simba iko level gani?
 
Nakushukuru mleta mada kwa kuandika ukweli mtupu, tatizo la Yanga ni kujiamisha au kujiona wako level moja na Simba wakati sio kweli au hii nafasi ya kucheza na Simba inawafanya mjione mpo sawa na Simba.
Msisahau mpo kundi moja na Pamba
 
Back
Top Bottom