Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 5,586
- 7,087
Picha za kwenye cheti ?Kichwa cha uzi chahusika, Kwa wale wenye uhitaji wa vyeti mimi ninavyo.
Nitakuuzia vyeti vyote kuanzia sekondar mpaka chuo ili visikusumbue kwenye matumizi yako.
Sifa ya vyeti,
O-level kina masomo 10 hakina F
A-level matatu (comb CBA) hakina F zaidi ya Bam
Degree ya Sua na Post graduate diploma in Education chuo St. John.
Bei ya vyeti vyote ni tsh 18,000,000
Tutawasiliana Pm mpaka tuonane nikukabidh mzigo nawe unipe hiyo pesa.
Hii ni baada ya kuona naenda off target na mahitaji ya serikali yangu kwa soko la ajira.
Kwa sasa napatikana Rufiji njoo tufanye biashara.
Mmmmh jf ina Mambo .ukiwa na stress ukakaa jf raha kwishnei..Anaetaka Mume ntampa wa kwangu bureeee, staki hata mia.
Stanii mimi
Kama vimeshindwa kukusaidia mwenyewe uliyevisotea, nani atakupa hela kwa gundu hilo? Kifupi pambana na hali yako, vyeti sio dili.Kichwa cha uzi chahusika, Kwa wale wenye uhitaji wa vyeti mimi ninavyo.
Nitakuuzia vyeti vyote kuanzia sekondar mpaka chuo ili visikusumbue kwenye matumizi yako.
Sifa ya vyeti,
O-level kina masomo 10 hakina F
A-level matatu (comb CBA) hakina F zaidi ya Bam
Degree ya Sua na Post graduate diploma in Education chuo St. John.
Bei ya vyeti vyote ni tsh 18,000,000
Tutawasiliana Pm mpaka tuonane nikukabidh mzigo nawe unipe hiyo pesa.
Hii ni baada ya kuona naenda off target na mahitaji ya serikali yangu kwa soko la ajira.
Kwa sasa napatikana Rufiji njoo tufanye biashara.
Hayo mawazo potofu,Kama hivyo vyeti havijakusaidia wewe unafikiri huyo atakayevinunua vitamsaidia nini? Halafu hiyo milioni kumi na nane inatoka tu kirahisu rahisi? Sema uko wapi tuone unafanyaje ili utoke.Usidharau elimu,elimu siyo vyeti Ni maarifa uliyoyapata.Kichwa cha uzi chahusika, Kwa wale wenye uhitaji wa vyeti mimi ninavyo.
Nitakuuzia vyeti vyote kuanzia sekondar mpaka chuo ili visikusumbue kwenye matumizi yako.
Sifa ya vyeti,
O-level kina masomo 10 hakina F
A-level matatu (comb CBA) hakina F zaidi ya Bam
Degree ya Sua na Post graduate diploma in Education chuo St. John.
Bei ya vyeti vyote ni tsh 18,000,000
Tutawasiliana Pm mpaka tuonane nikukabidh mzigo nawe unipe hiyo pesa.
Hii ni baada ya kuona naenda off target na mahitaji ya serikali yangu kwa soko la ajira.
Kwa sasa napatikana Rufiji njoo tufanye biashara.
Ujuzi ninao, sasa ili niufanyie kazi nahitaji mtaji ndo maana nikiuza vyeti hiyo pesa ndo itanidaidia.Hayo mawazo potofu,Kama hivyo vyeti havijakusaidia wewe unafikiri huyo atakatevinunua vitamsaidia nini? Halafu hiyo miluoni kumi na nane inatika tu kirahisu rahisi? Sema uko wapi tuone unafanyaje ili utoke.Usidharau elimu,elimu siyo vyeti Ni maarifa uliyoyapata.
So tako utauza baada ya kukosa mteja wa hayo makaratasiHilo swali labda muulize baba yako kama atakua anauza, mi nimetangaza kuuza certificates.
Nikodishie vyeti vyako dada FS.Mostly mfumo wetu wa ajira unaenda na ujuzi na vyeti, huwezi sema una ujuzi na kitu fulani afu cheti huna! Hivo avitunze tu huwa vinaenda sambamba
Wee nnavoviheshimu,nimevisotea makarai kibao nikodishe tenaππ we kwanini ulikimbia shule?πNikodishie vyeti vyako dada FS.
Sijakimbia ila hili likozi langu mmmhhππWee nnavoviheshimu,nimevisotea makarai kibao nikodishe tenaππ we kwanini ulikimbia shule?π
Ukifanikiwa kumtoa wako nipe connection na mm tuutoe huu mzigo!Anaetaka Mume ntampa wa kwangu bureeee, staki hata mia.
Stanii mimi
Ulilipenda mwenyewe baba! Komaa nalo tuπ sikukwambia uchague kozi ya useremala mimi?Sijakimbia ila hili likozi langu mmmhhππ
Yaani wewe dada wewe na subiri vitasombwa na mafuriko...ukome kuringa.Ulilipenda mwenyewe baba! Komaa nalo tuπ sikukwambia uchague kozi ya useremala mimi?
ππ pole baba ila si kweli? πYaani wewe dada wewe na subiri vitasombwa na mafuriko...ukome kuringa.
Shukuru umesomea kitu kimekupa ajira. Kuna midude ukisomea imekula kwako. Huna budi kujiongeza.ππ pole baba ila si kweli? π