Sisi sisi waafrica ni watu? Si ni manyani tu. We angalia jpm alivyotaka kumuua lisu kisa akili alizonazo tu kwake ikawa keroKwahiyo, sisi akili zetu ni makopo tunaiga Ulaya??
Wakati unaiga unatakiwa kujua huna unacho miliki, hata ardhi siyo yako.
Jiangalieni msije kugeuka kuwa vibarua kwenye mashamba ya mkonge ya wageni.
Matatizo ya wageni yanasumbua mpaka leo Namibia, South Africa, Zimbabwe, Kenya,
Msione kina Nyerere walikuwa wajinga, kwa kuwa mna matumbo makubwa mnaina shortcut ndio maisha
kwani kosa liko wapi? watu wameomba uraia wenyewe kuna ubaya gani,mbona kibu alipewaNaiona Kama ni skendo inayo hitaji kutazamwa vizuri, watu tayari wangekuwa wamesha tumbuliwa, kuanzia Mawaziri hadi Makatibu, sasa hivi kungekuwa kumesha changamka muuuuda! Mtu ana wiki 2 Bongo kupewa uraia, hiiiii!
je aliomba? huyo profesa?Mfahamu Prof. Mkhululi kutoka Jamaica aliyechangia pakubwa elimu ya Tanzania
Prof. Joshua Mkhululi alikuwa msomi ambaye alitumia muda mwingi wa maisha yake kuipambania Afrika, akifundisha na kutetea ukombozi wa bara na watu wake. Inasikitisha kwamba hata Tanzania ambako aliishi tangu 1976 na kutoa mchango mkubwa, ni kidogo sana kinachojulikana kuhusu mchango huu mkubwa...swahilitimes.co.tz
Kuna watu potential wamefanya makubwa nchi hii lakini hawakupewa uraia kama peremende tu.
Prof Joshua Mkhululi ni mmoja wapo!
Akikufukuza unaenda nchi gani kwa mfano.Inategemea na potentiality ya mtu. Rais ndo mwenye nchi anaweza kukupa bila kufata utaratibu. Rais ni mwenye nchi anaweza kukufukuza hata wewe japo umezaliwa hapa
Sasa Wezi na mafisadi na wenye vyeti feki na matepeli kwanini msisherekee?
Rais amepewa mamlaka ya kufukuza yeyote anayeona no threat kwake au nchi. Hata mkuu wa mkoa tu anawesa kukufukuza mkoani sikuone kabisa. Kumbuka kuna kipindi Bashite alitaka kuwafukuza akina mbowe darAkikufukuza unaenda nchi gani kwa mfano.
Na hiyo ni sheria ya mwaka gani mkuu?.
hapana huyo hajui sheria,uraia unaomba uhamiaji na wana taratibu zao ambazo muombaji anatakiwa kuzifata,na hao wachezaji wa singida walianza taratibu hizo mwaka jana,rais hawezi kukufukuza ila atawaambia uhamiaji wenye hayo mamlakaAkikufukuza unaenda nchi gani kwa mfano.
Na hiyo ni sheria ya mwaka gani mkuu?.
Nenda tff majina ya wenye timu yapo waziwaziHiyo timu mmiliki wake "halisi" ni nani.?
Ukiwa kiongozi sheria ndio zinakufuata wewe TzLakini tuna sheria zetu kuhusu hilo siyo fungulia mbwa tu,mtu kaja leo kesho Mtanzania hata awe potential vipi.
Inaonesha alipewa uraia ila siyo wa Vodafasta.je aliomba? huyo profesa?
Kukosekana kwa elimu ya uraia ni moja ya vikwazo vikubwa kwa maendeleo ya nchi yetu. Hiki kilichoandikwa hapa ni kiashiria cha wananchi kutokujua wajibu na haki zao kama raiaInategemea na potentiality ya mtu. Rais ndo mwenye nchi anaweza kukupa bila kufata utaratibu. Rais ni mwenye nchi anaweza kukufukuza hata wewe japo umezaliwa hapa
Hao wachezaji wana Potential gani? Uyo Kayeke pale Dimba la kati hawezi kuanza mbele ya Kagoma, Mtesigwa, Bajana, Mzamiru na wengine wengi.Kwa hiyo magufuli yeyr alikuwa hataki nchi yake kusonga mbele kimichezo kabisa? Ulaya wakikuona we ni potential unapewa uraia fasta
okInaonesha alipewa uraia ila siyo wa Vodafasta.
Para ya mwisho:👇
"Cha kusikitisha ni kwamba Prof. Mkhululi hakuwahi kupewa pasi yake ya kusafiria ya Tanzania ambayo alikuwa ameomba hadi kifo chake tarehe 18 Machi 2009. Alizikwa katika jiji la Arusha nchini Tanzania katika sherehe ya maziko ambayo iliendeshwa kwa mujibu wa kanuni za Kanisa la Othodoksi la Ethiopia."
Rais Donald Trump amesaini sheria (presidential decrees) kadhaa zikiwemo zinazohusiana na wanaoitwa wahamiaji haramu na haki ya uraia wa kuzaliwa kwa watoto wa raia wa kigeni wanaozaliwa nchini Marekani. Sheria hizo zinazotakiwa zianze kutumika kuanzia 19/2/25 zimeshazua mtafaruku mkubwa nchini humo na tayari majimbo 22 yameenda mahakamani kuzipinga.Inategemeana na potentiality ya mtu. Unawezq kupewa uraia hata nfani ya lisaa limoja tu. Marekani ukienda unakipaji tu hurudi unapeq uraia instantly ndo mana marekani iko juu kiuchumi
Kwa mfano Leo ukifukuzwa na Rais utaenda nchi gani?Inategemea na potentiality ya mtu. Rais ndo mwenye nchi anaweza kukupa bila kufata utaratibu. Rais ni mwenye nchi anaweza kukufukuza hata wewe japo umezaliwa hapa
Na yule raia wa Mali aliyemuokoa mtoto kwenye lile ghorofa na kupewa uraia pamoja na kazi katika jeshi la Zimamoto alitumia muda gani?Elon Musk mwenyewe kaingia USA 1995 ila uraia kaupata 2002!
- In 1995, he moved to California to attend Stanford University, but instead co-founded Zip2, an online city guide software company, with his brother Kimbal.
- In 1999, Compaq acquired Zip2 for $307 million.
- In 2000, X.com, a direct bank co-founded by Musk, merged with Confinity to form PayPal.
- In 2002, Musk became a US citizen and founded SpaceX, a spaceflight services company.