Huyu Kibu Denis siku za mwanzo anavaa uzi wa Taifa Stars si baadhi yenu mlikuwa mnamuita Mcongoman?Hao wachezaji wana Potential gani? Uyo Kayeke pale Dimba la kati hawezi kuanza mbele ya Kagoma, Mtesigwa, Bajana, Mzamiru na wengine wengi.
Suala la uraia kwa hao wachezaji limefanywa kwa interest za mtu mmoja na sio faida za nchi. They have nothing to add kwenye national team yetu. Bora hata wangeshawishi watu kama Pakome au Chama..
Kwenye dili hilo, kuna mtu anakwepa kodi kiaina.
Nini point ya post yako?Potentiality ya mtu. Nenda
Umezingumzia kuwa US unaweza pata uraia ndani ya siku 1, mimi nimekwambia hilo jambo si kweli. Hakuna nilipomtaja Rais wala Tanzania.Kumbuka katiba yetu siyo sawa na marekani. Huku kwetu rais ni Mungu mtu anaweza kuagiza hata wewe uchinjwe usiku huu wala hakuna mtu wa kumuuliza bali utekelezaji tu. Rais anaweza kukufukuza usiku huu na usikanyage tena nchini japo umezaliwa hapa. Ndo mana tunawaambia tuingie barabarani kudai katiba mpya hamtaki kisa elimu zenu ni finyu sana kujua mambo kwa mapana
Well,ihawa wachezaji hakuna exception yoyote! Ni magarasa tupu.Na yule raia wa Mali aliyemuokoa mtoto kwenye lile ghorofa na kupewa uraia pamoja na kazi katika jeshi la Zimamoto alitumia muda gani?
Huamini kama kwenye baadhi ya scenerio kuna exceptions?
Hujajibu swali langu bado.Nenda tff majina ya wenye timu yapo waziwazi
Wachezaji wenyewe hata hawawezi kupata namba kwenye timu ya Taifa ni wa kawaida saana!Hii nchi imejaa watunga sera wasioeleweka. Miaka ishirini na tatu iliyopita nilitoa ushauri Uhamiaji kuhusu kuwatumia wageni wenye elimu ya juu walioko kihalali nchini waajiriwe au wapewe mikataba ya kufanya kazi kwenye Idara na Wizara ambazo tuna uhitaji wa watumishi wazawa. Miaka hiyo nchi ilikuwa na upungufu wa waalimu hadi kufikia kuanzisha shule za kata.
Leo nimesikia buruji likinadi uhalali wa wachezaji wa kigeni kupewa uraia kwa sababu tu ni wazuri katika kucheza mpira. Najiuliza na kutafakari bila majibu, huu mpira wetu ambao umehodhiwa na Yanga na Simba usioleta matokeo chanya kwenye timu ya Taifa, ni muhimu kiasi cha kutoa uraia kwa wachezaji hao wakati kuna waalimu, waganga kadhaa ambao wangetusaidia kazi kwenye hizo fani pale ambapo sisi hatuwezi kufikia? [emoji848]
Hii ni ajabu mkuu, tupo kwenye nchi ya maajabuOMG
OMG Kwanza anaitwa Vinicius na sio Vinnecious na imemchukua miaka miwili kukamilisha tests zinazohitajika kabla ya kupewa uraia wa spain. Aliingia spain 2018 na ilimchukua hadi 2020 kukamilisha masharti ya mitihani ya kuwa raia wa spain, na ilichukua miaka mingine miwili kabla ya kuweza kula kiapo na kuwa raia kamili wa spain. Bado nangoja jina la mtu aliepewa uraia wa nchi baada ya wiki mbili!!!!!
Kweli bdo tuna safari ndefu mkuu, kuwaelimisha watu kama hawa mwenye hii karne!Kukosekana kwa elimu ya uraia ni moja ya vikwazo vikubwa kwa maendeleo ya nchi yetu. Hiki kilichoandikwa hapa ni kiashiria cha wananchi kutokujua wajibu na haki zao kama raia
nishakujibu,hata wewe ukienda tff utawaona wamilikiHujajibu swali langu bado.
Unafikiri kila mtu yuko karibu na hapo TFF?
Ila nyumbu!! Natamani jf ingekuwa inaweka sura halisi za watu Ili tuone nyusi za hawa nyumbu wasio na akili zinavyochujuka na kuhangaika kwa wivu wenye mateso makali kwao. Mama Samia anawatesa aisee hawa viumbe si mchezo.Yaani uraia wa nchi yetu unagawiwa kama njugu za kuonja, kweli Samia amejua kuichezea nchi yetu.
Alisema atakumbukwa hata akiwa hayupo.Naiona Kama ni skendo inayo hitaji kutazamwa vizuri, watu tayari wangekuwa wamesha tumbuliwa, kuanzia Mawaziri hadi Makatibu, sasa hivi kungekuwa kumesha changamka muuuuda! Mtu ana wiki 2 Bongo kupewa uraia, hiiiii!
Botswana tu hapo kuna madaktari wetu bingwa kibao wamepewa uraia.
Sheria zipo ila exceptions pia zipo.
Anza kuweka sura yako tukuone chawa wa SamiaIla nyumbu!! Natamani jf ingekuwa inaweka sura halisi za watu Ili tuone nyusi za hawa nyumbu wasio na akili zinavyochujuka na kuhangaika kwa wivu wenye mateso makali kwao. Mama Samia anawatesa aisee hawa viumbe si mchezo.
Mpumbavu kama wewe huna hata haja ya kujibiwa... Yabayotokea Marekani Sasa hivi ilikuwa ni sera za democrats kuweka mianya ya illegal immigrants kuingia Kwa wingi na kuhatarisha maisha ya wamarekani. Kama hujui madhara ya watu kuwa raia wa nchi yako bila kuwafanyia enough vetting wewe ni mpumbavu hupaswi hata kuelimishwaMtu wa intelijensia aje atupe muongozo wa madhara ya kuwapa hao wachezaji uraia! Madhara kwanzia ma'5
Kwa faida ya wengi
Tutoleeni upumbavu wenu sijui mnatumia viungo Gani kufikiri.Ni kawaida haya mambo na yanatotekea kwenye nchi nyingi tu
Nakumbuka hata Qatar ukiwa mkimbiaji mzuri ukashinda unapewa uraia haraka tu
Nimetoa mfano huo maana hao wa Gulf kutoa uraia ni kazi sana ila likija suala la Riyadha hawana jinsi na hao ni vijana kutoka Africa
yap wanasema kupata uraia ni mpaka mtu akaemfululuzo ndani ya tz kwa kipindi cha miaka kumi.Njia nyingine fupi nje ya kukaa miaka kumi ni serikali iwe na hitajio la huyo mtu.Lakini tuna sheria zetu kuhusu hilo siyo fungulia mbwa tu,mtu kaja leo kesho Mtanzania hata awe potential vipi.