Yes yes we unamjua kabisa!...ulivyotaja afya ndo nikaamini unamjua!Sikuwa najua. Kama ndiye mmiliki wa Landmark hotel basi jamaa ni mfanyabiashara makini sana. Niliwahi kuonyeshwa huyo Sauli mwaka juzi nikiwa maeneo ya Riverside pale. Dhaifu kinyama. Sijui alikuwa ana matatizo gani.
Niliambiwa anamiliki lodges nyingi sana hapa town na Morogoro. Hata pale Riverside upande wa pili ipo moja Ila jina nimelisahau.
Wema Sinza kumbe kitambo duh!
Hivi kinancy mbona kisnitch sana??[emoji134][emoji134][emoji16]Irene mpk Leo kazuri ana watoto wa3 km sikosei mmoja alizaaga na mzungu
Walikua marafiki na Nancy ,Nancy akamzunguka mwenzio kwenye business zao ushoga ukafa!!
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] throw back tuesday/ throw back thursday
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes yes we unamjua kabisa!...ulivyotaja afya ndo nikaamini unamjua!
Huyo mbabu mtu mzima sana sema hela, na huu mji maslay queen wameipata pata
Havumi huyu mkinga lkn yumoo
Sent using Jamii Forums mobile app
Akwendree hukoo...kwa Kibakuli alijiachia sana tena Sana, mpaka alikuwa anapandishwa on stage kama future husband...she was so desperate at that time!
[emoji16][emoji16][emoji16]si unajua humu chai kibao!Hahaha. Ulidhani natunga mkuu? Mastory ya town tunayapata mengi sema tunakaushaga tu maana hayatuhusu.
[emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe sio tabata[emoji18][emoji18][emoji18][emoji18]Sasa si ungefafanua na sisi tujue mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu kitu kibongobongo hapaMaskini[emoji25][emoji25]...na familia zetu hizi usipokuwa na pa kushika full kunyapaliwa!
Kumbe ndo maana namuonaga nakaaya kama hayuko sawa vile,,,!
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes...acha tu uzuri, pale kuna walimu wako very strictly!
Naonaga anarusha picha akiwa Sa anafanya nini hukoKwa akili za Nancy, Mb Dogg angekua sehemu fulani hivi nzuri kimaisha na siyo ya kumtegemea Mhonda.
Hivooooo?[emoji849]Kajoketi kalikuwa na shobo sana na vijana maarufu. Nahisi bado ana hiyo tabia. Shobo.
Yaani kenyewe ni maarufu Ila kanashobokea sana mastaa. Refer John Mnyika, Platnumz, Kiba etc.
Sijui ana spotlight syndrome. Lol!
Lakini huenda ni hulka pia.
Kumbe ukiamua unaandika vizur au hapa ulikua huna harakaMume aliyeko naye huyu nancy alikuwa ni mchumba wa dada yake alipokosa ramani ikabidi amseduce mchumba wadadae na ndiye aliyesababisha nakaaya kuhama nchi nakuolewa na mzungu.
Nancy has bad manner i hate her so much kama nini kwenye group lao nafuu faraja sio snitch na bitch kelyn kachukua mume wamtu mengi .
So they are worst people i hate them more than anyone else how could you betrayed your own blood?
How tell me?
How will you feel to live with your sister fianceee shame shame shame on you nancy where your shame on u.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes...acha tu uzuri, pale kuna walimu wako very strictly!
Hakuna ujinga ujinga wa madenti wa pale kuzurura zurura kwenye mabar kama shule zingine, ukizingatia huo mtaa kuna utitiri wa bar nyama choma choma kwa kwenda mbele...
Sent using Jamii Forums mobile app
Exactly....hakuna mchezo mchezo pale!Na wako vzr hata kitaaluma nafikiri ndo maana imesimama tofauti na St.Mary's
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16][emoji16][emoji1787]Kumbe ukiamua unaandika vizur au hapa ulikua huna haraka
Ana mtoto kazaa na ngosha mmoja hivi
Angalau hata..Ana mtoto kazaa na ngosha mmoja hivi
Hajaolewa bado yuko kwao analea mwanawe
Sent using Jamii Forums mobile app
Sauli amezaa na Dada yake Mange ujueYes yes we unamjua kabisa!...ulivyotaja afya ndo nikaamini unamjua!
Huyo mbabu mtu mzima sana sema hela, na huu mji maslay queen wameipata pata
Havumi huyu mkinga lkn yumoo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahahaha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yani nikishangaa tabata kupata umaarufu ghafla... nilipoona chris brown naye kapost tbt nikasema alaaaaaah embu ngoja nigoogle
Sent using Jamii Forums mobile app