The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Hujui kitu kuhusu reggae music,tafuta uzi humu JF tumejadili sana hii madaWe una mahaba tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujui kitu kuhusu reggae music,tafuta uzi humu JF tumejadili sana hii madaWe una mahaba tu
Basi hii mada tuache ila mtu achukue anachoamini.Music is subjective.
Hata Philip Glass kuna watu wanapenda muziki wake.
Hii mada ni sawa na kubishana "kati ya rangi nyekundu na bluu ipi bora?".Basi hii mada tuache ila mtu achukue anachoamini.
Hahaha......sawa Kiranga mi nakuheshimu sana sitaki ugomvi na wewe.Hii mada ni sawa na kubishana "kati ya rangi nyekundu na bluu ipi bora?".
Si suala la heshima wala ugomvi.Hahaha......sawa Kiranga mi nakuheshimu sana sitaki ugomvi na wewe.
SahihiSi suala la heshima wala ugomvi.
Kuna wakati ni muhimu tukubaliane kwamba suala hili halina jibu moja.
Mara nyingi tunashindana kwa style ya "muwamba ngoma huvutia kwake", kwa kulazimisha upande wetu uwe ndio sawa, kweli, etc.
Hatuwezi kusema "mimi naona hivi, lakini hili suala halina jibu moja kwa hivyo mtu mwingine anaweza kuwa na jibu tofauti na yeye akawa sawa tu"
Wakati wa Uhuru wa Zimbabwe mwaka 1980, Bob Marley aliimba mbele ya Prince Charles(wakati huo) -sasa ni King Charles wa tatu kuwa "We gonna fight for our destination and liberate Zimbabwe"I don’t wanna wait in vain for your love…
Bob hana kazi mbovu. Katika ngoma zote ile Exodus ina vyombo vya moto sana, kila nikiisikiliza nakumbuka home sweet home Moshi.
Mi nikiona mtu analeta ubishi juu ya Bob Marley na Lucky huwa nakaa kimya tu, naona kabisa hana anachokijua.Acha kumfananisha Legendary Robert Nesta Marley King of Reggae na huyo muimba kwaya,
Hii mada tumeshaijadili sana humu.
Hata sisi wa Moshi tuliokuzwa na reggae tunajua mfalme ni Bob.We wa miaka gani? Utakuwa dogo wa moshi. Lucky dube huwezi mfananisha na mfalme bob.
Hata hizo nyepesi nyepesi kama no woman no cry huzielewiBob Naona ndio ana ngoma ngum hata hazieleweki mara Trench Town, Rocky, Simlicity, nimejitahidi kumzoea lakini Bado.
Bob alikuwa mwanafalsafa, ukiwa na kichwa chepesi huwezi kumuelewa.Hata hizo nyepesi nyepesi kama no woman no cry huzielewi
Watoto wadogo hawezi kumuelewa kabisa ... Inahutaji mindset flani hisi na hisia flani.... Af ana ngoma za kila aina sijui za kuinjoy.. za kuelimisha.. za huzuni yani kakava kila idaraBob alikuwa mwanafalsafa, ukiwa na kichwa chepesi huwezi kumuelewa.
Wimbo wangu bora wa Bob Marley ni Africa Unite, alikuwa na uchungu sana kwa sisi Waafrika kuamka na kusimama wenyewe.Watoto wadogo hawezi kumuelewa kabisa ... Inahutaji mindset flani hisi na hisia flani.... Af ana ngoma za kila aina sijui za kuinjoy.. za kuelimisha.. za huzuni yani kakava kila idara
Hahahaha.Wengine wanasema imejaa vinanda vingi kama kwaya tu.
Yap Umetulia sana... Mi naikubali moja adimu sana inaitwa Chance are..... Sababu wakati naiskia kwa mara ya kwanza nilikua napitia kipindi flani hivi kigumu so Ile nyimbo ikanigusa sana Iko deep mnoWimbo wangu bora wa Bob Marley ni African Unite, alikuwa na uchungu sana kwa sisi Waafrika kuamka na kusimama wenyewe.
NImemshangaa huyu dogo. Anamfananisha Lucky Dube na Robest Nesta Marley na kusema Dube ni bora. Katakuwa kamezaliwa miaka ya 2000s haka kadogo. Hakaujui music wa ReggaeHata sisi wa Moshi tuliokuzwa na reggae tunajua mfalme ni Bob.
Wimbo wangu bora wa Bob Marley ni African Unite, alikuwa na uchungu sana kwa sisi Waafrika kuamka na kusimama wenyewe.
Mfalme anajulikana tayari Worldwide,mfalme hawezi kupatikana hapa JamiiForums mfalme kishapatikana official.Nilisema Bob fanboys watakuja kuwaka humu.
Tajeni hitsongs za Bob na zitajwe hitsongs za Lucky ili mfalme wa hitsongs ajulikane hapa