Sipendi na sitaki ukaribu wala shobo na wanawake wenye vijitabia vya feminism

Yn umewasilisha Yale yote yalokuw moyon mwangu thank you
 
Wewe ni mmoja ya fermist aliwaoongelea jamaa
 
Femenism imetengenezwa na wanaume kwa Azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa Na.1325/2000 kupitia kanuni ya kuinua usawa wa kijinsia katika mkataba wa NEPAD na utekelezaji wa Tamko la Dakar la 1994 na utekelezaji la Beijing 1995.

Wanawake mama zetu akina Getruda Mongela walikaa Beijing 1995 kupanga utekelezaji wa kilichopangwa na wanaume zaidi .

Sasa huo usawa wa kijinsia sio jini lililoshindikana ,binadamu hawezi kuishinda natural .

Natural itabalansisha mambo ,wanaume watabaki wanaume tu ndio waliopewa adhama na Mungu kuwa viongozi kama ndio waliasisi usawa wa jinsia amini ndio hao hao wanaundesha mfumo huu

Katika binadamu wote ni wamasai tu tena wamasai wanaume ndio huvamia nyika na kuua Simba awe dume au jike .Wanaume kujifunza kwenda na mabadiliko yanayopangwa na masai wa Dunia na kuacha kulia lia ,mwanamke ni mwanamke tu hata awe na nguvu kiasi gani ni kama Simba jike ,Simba jike anaogopwa na wanyama wote lakini akija Simba dume anagwaya ,juzi tumeaangalia vita ya kuangusha utawala wa Simba bob Junior , waliopambana ni masimba dume,masimba jike yalikaa mbali na vile vita ,madume yakigombania utawala .

Wanaume na Vijana wa Sasa jifunzeni mbinu za kugombania utawala wa jinsia , femenism wanaolewa tena vizuri tu unatakiwa uwajulie sisi wengine tuliosema Cuba na Guantanamo hatupati shida na femenism ,urafiki na kuoa ni uchaguzi wa mtu, nawapatia moyo hasa Vijana wanaojikuta kwenye mahusiano na femenist sababu somo la u femenism umeshamiri sana sisi wakaka wa zamani tunabudi kuwapa darsa Vijana wa kileo wanaotaka kuanzisha uchumba na kuoana na feminist wajue inawezekana ili mradi wajifunze jinsi ya kushinda changamoto za femenist inawezekana ,bob juniors wanaweza sembuse binadamu mwenye mbinu nyingi za kujifunza uongozi,ushujaa ,ubaba .somo jinsi ya kuendana na feminist nitafundisha siku ingine,alamsiki
 
Hii ni asili ya wanaume tulivyo 50/50 ni ngumu mwanaume kui accept akikubali ni shingo upande ni basi Hana namna
 
Watu waoga. Mwanamke akisoma na akipata kazi tayari inawauma
Kusoma na akiwa na kazi watu wasiwe na uoga ibaki tu huyu mwanamke aplay part kwamba ni mwanamke kama ameolewa basi awe mke asivae ubaba Kuna vitu hawezi kuwa baba by nature
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…