Sipendi na sitaki ukaribu wala shobo na wanawake wenye vijitabia vya feminism

Sipendi na sitaki ukaribu wala shobo na wanawake wenye vijitabia vya feminism

Peace be upon you all.

Nimekuja kugundua wanawake wenye vijitabia vya ufeminism sina muda wala sitaki shobo nao hata punje.

Binafsi ni mwanaume ninaeamini katika jinsia tofauti zenye majukumu tofauti, yani mwanaume ni mwanaume na nafasi yake haiwezi kuchanganywa na mwanamke hali kadhalika mwanamke ni mwanamke na nafasi yake kamwe haiwezi kulinganishwa au kusindanishwa na mwanaume.

Nikisikia tu mwanamke analeta mind set za haki sawa bla bla bla hata kama ni ndugu taratiibu namuondoa katika kundi la watu ninaowasiliana nao. Nawaona kama madume jike na nakosa positive vibes kabisa kwa hawa viumbe, watanisamehe tu.

Kinyume chake nimekuwa navutiwa sana na wanamake wanaoikubali nafasi yao kama wanawake, hawajishindanishi wala kujilinganisha na wanaume. Nakiri wazi nawapenda sana wanawake hawa Mungu awape mairha marefu.

Hali hi ya kutotaka ukaribu na "masupawuman" imenisababisha kuwaweka kando wanawake wengi na kuonekana naringa na sina time ya kuwaeleza kwanini nimewaweka kando kwasababu siwezi hata kuongea na wanawake mafeminists naona napoteza muda wangu kwa viumbe wanaofake mambo, limbukeni na wajinga wa utandawazi.
Unapaswa kuwa na hekima sana kwenye dunia hii.
 
Nilichogundua.. Jamii forums ina misogynists wengi sana. (You’ll need to google the term).

Mwanaume ambae anajiamini hatetereshwi na confidence ya mwanamke. Only inferiors feel intimidated by a woman’s confidence.

Yani unataka ukifika mahali kila msichana ainame kama kaingia mfalme? Ama?

Punguzeni inferiority complex automatically mtaacha kuchukia wanawake wanaojitambua. Hivi haki sawa kwani ni kwenye kuosha vyombo? Si ni fursa za kimaendeleo ama?

Wewe kamata kishoia wako wa ku bow down and stop downgrading women. Jiamini bro.!

Yani mada za humu utakuta ni wanaandamwa wanawake as if ni viumbe ambao hawaja wazaa? Like seriously mna shida kubwa kichwani. Mwanaume mwenye pesa na confidence zake haogopi mwanamke challenging. Ila inaeleweka mkikua mtaacha uoga😅
Huyu hapa kaja, mi simo📌
 
Wanawake wa hivyo ni wajuaji kinoma, dawa akiingia kwenye 18 unapiga kipigo cha hela yote akashitaki anapojua ila tu umfanye wakati mwingine ajue kujua tofauti.
 
Kuna mdada aliniletea pigo hizo kwenye kampuni moja niliyoajiriwa zamani nikamfuata sikuongea chochote nilimpiga kofi moja akalala kwenye meza nikafukuzwa kazi.
 
20221215_004610.jpg
 
Kwenye huu uzi, kwa mtu mwenye akili tulivu atatoka kajifunza vingi sana especially akiweka kando mihemuko ya kihisia na akachambua facts.
Tatizo ni kwamba we men are very emotional creatures than we care to admit which unfortunately often clouds our judgment.

Ukitaka kuthibitisha hilo pitia comments. Nyingi ziko na emotional outbursts kuliko hoja za msingi.
Upo nje ya mada jikite kwenye mada
 
Peace be upon you all.

Nimekuja kugundua wanawake wenye vijitabia vya ufeminism sina muda wala sitaki shobo nao hata punje.

Binafsi ni mwanaume ninaeamini katika jinsia tofauti zenye majukumu tofauti, yani mwanaume ni mwanaume na nafasi yake haiwezi kuchanganywa na mwanamke hali kadhalika mwanamke ni mwanamke na nafasi yake kamwe haiwezi kulinganishwa au kusindanishwa na mwanaume.

Nikisikia tu mwanamke analeta mind set za haki sawa bla bla bla hata kama ni ndugu taratiibu namuondoa katika kundi la watu ninaowasiliana nao. Nawaona kama madume jike na nakosa positive vibes kabisa kwa hawa viumbe, watanisamehe tu.

Kinyume chake nimekuwa navutiwa sana na wanamake wanaoikubali nafasi yao kama wanawake, hawajishindanishi wala kujilinganisha na wanaume. Nakiri wazi nawapenda sana wanawake hawa Mungu awape mairha marefu.

Hali hi ya kutotaka ukaribu na "masupawuman" imenisababisha kuwaweka kando wanawake wengi na kuonekana naringa na sina time ya kuwaeleza kwanini nimewaweka kando kwasababu siwezi hata kuongea na wanawake mafeminists naona napoteza muda wangu kwa viumbe wanaofake mambo, limbukeni na wajinga wa utandawazi.
Yaani brooo umenene vyema na mungu wa mbinguni akubariki na ndivyo ilivyo toka vizazi na vizazi sio hao wajinga wanaoj8weka upande wa utandawazi wa kipumbavu mi mwenyewe huwa nawaona kama wa2 wanaodandia waschokijua tangu lini mwanamke na mwanaume wakawa sawa 😩😩😩
 
masingo maza wengi niwanawake walio soma na wameajiriwa.hawandio wanawake viburi wakiona nawao wanaamka asubuhi nakwenda kazini nao wanajikuta vidume. jeuri kibao kwawaume zao mwisho wasiku wanaachika nakuja kutuharibia jamii Mana ndio wanaongoza kulea watoto mashoga nawasagaji
Sio kweli
 
ukweli niupi
Ukweli ni kwamba sio masingo Maza wote wamesoma,wapo watu wamesoma na wanawaheshimu waume zao vizuri TU,lkn pia wapo wanawake wa la Saba lkn wanawapelekesha waume zao kinoma yani,on the other hand si kweli kuwa watoto wa masingo Maza ni mashiga anaweza akawa na wazazi wote wawili na akawa shoga pia
 
ndio man
Ukweli ni kwamba sio masingo Maza wote wamesoma,wapo watu wamesoma na wanawaheshimu waume zao vizuri TU,lkn pia wapo wanawake wa la Saba lkn wanawapelekesha waume zao kinoma yani,on the other hand si kweli kuwa watoto wa masingo Maza ni mashiga anaweza akawa na wazazi wote wawili na akawa shoga pia
ndio mana nikasema wengi Bali sio wote
 
Peace be upon you all.

Nimekuja kugundua wanawake wenye vijitabia vya ufeminism sina muda wala sitaki shobo nao hata punje.

Binafsi ni mwanaume ninaeamini katika jinsia tofauti zenye majukumu tofauti, yani mwanaume ni mwanaume na nafasi yake haiwezi kuchanganywa na mwanamke hali kadhalika mwanamke ni mwanamke na nafasi yake kamwe haiwezi kulinganishwa au kusindanishwa na mwanaume.

Nikisikia tu mwanamke analeta mind set za haki sawa bla bla bla hata kama ni ndugu taratiibu namuondoa katika kundi la watu ninaowasiliana nao. Nawaona kama madume jike na nakosa positive vibes kabisa kwa hawa viumbe, watanisamehe tu.

Kinyume chake nimekuwa navutiwa sana na wanamake wanaoikubali nafasi yao kama wanawake, hawajishindanishi wala kujilinganisha na wanaume. Nakiri wazi nawapenda sana wanawake hawa Mungu awape mairha marefu.

Hali hi ya kutotaka ukaribu na "masupawuman" imenisababisha kuwaweka kando wanawake wengi na kuonekana naringa na sina time ya kuwaeleza kwanini nimewaweka kando kwasababu siwezi hata kuongea na wanawake mafeminists naona napoteza muda wangu kwa viumbe wanaofake mambo, limbukeni na wajinga wa utandawazi.
Tupa kule mafenism hawana maana
 
Hiyo point ya mwisho ya msingi sana. Mimi
Kuwa na kazi hakunifanyi automatically niwe na dharau!!! So niache kazi nibaki nyumbani ili mume wangu ajione mwanaume? Really? Sasa baadhi ya wanaume wa humu jf wakiona mwanamke anafanya kazi au anasema kitu flani tayari ni feminist. Mbona aibu.

Au niwaulize, mama zao wote ni wamama wa nyumbani? Na wale wa vijijini wanaoshinda majumbani mbona bado ndoa zinawashinda wana kazi gani zinazowafanya wadharau waume zao. Aisee unaweza kujiuliza maswali ukabaki kusema hii karne ya 21 bado kuna watu wanaishi ki BC.
Sista, majibu yako mengi umeyadirect kwa wazazi, acha. Mnaongea na kulumbana nyie, kutukaniana wazazi sio hekima wala busara kabisaa. Acha, mamana baba yake ni mama na baba yake pia mama yako na baba yako ni mama na baba yako. Busara itumike
 
Mbwa mama ako na baba ako shindwa na ulegee nyoko
Yaani kwanini mnakimbilia kitukans wazazi! Nahii naona wanawake mmeishupalia sana. Mnajua kuwa wote mliotukanana mnajidharirisha simwanaume wala mwanamke ila kwanini wazazi sasa?
 
Sista, majibu yako mengi umeyadirect kwa wazazi, acha. Mnaongea na kulumbana nyie, kutukaniana wazazi sio hekima wala busara kabisaa. Acha, mamana baba yake ni mama na baba yake pia mama yako na baba yako ni mama na baba yako. Busara itumike
Ina maana wewe huoni wanaume wenzio wanavyotukana viungo vya uzazi vya mama zetu? Au kwa kuwa ni wanaume wana haki na wajibu wa kututukania wazazi? Double standard hizo ndo zinazopeleka watu kudharau uwezo wa kufikiri wa hao hawaoilazimisha sana heshima. Respect ni two way.
 
Ina maana wewe huoni wanaume wenzio wanavyotukana viungo vya uzazi vya mama zetu? Au kwa kuwa ni wanaume wana haki na wajibu wa kututukania wazazi? Double standard hizo ndo zinazopeleka watu kudharau uwezo wa kufikiri wa hao hawaoilazimisha sana heshima. Respect ni two way.
Unapenda sana argument sijajua kwanini? Umeona kosa ulilolifanya ambalo unawalaumu wenzako na kutukanana nao.
 
Back
Top Bottom