Sipendi na sitaki ukaribu wala shobo na wanawake wenye vijitabia vya feminism

Sipendi na sitaki ukaribu wala shobo na wanawake wenye vijitabia vya feminism

Mimi mwanamke kama ni mpambanaji hata akiwa kawa mwanaume au akidai haki sawa kwangu naona ni sawa tu

Ila nachukia kuona hivi ambavyo havina chochote,havina mchango wowote katika familia zaidi ya kuongeza idadi ya watu tu,unakuta nako kanajimwambafai na kudai haki sawa
Mi sikuizi sijali hatakama ni wa home Tu ale maisha hii kama mwanaume unajiweza Tamu sana yaan unamuenjoy mke wako mpaka tone la mwisho siyo unafika nyumbani unaanza kusubir MTU au na yeye kaenda kwenye semina mwezi sijui wiki, Sema umpende na kumthamini siyo unajitafutia mwanamke mwingine uko ukija nyumban unamuona takataka hatakama ndiyo pretend they're Okey of what they see and hear even if you're just pretending
 
Nashukuru madam Kwa kunishirikisha

Ukweli nawaona Sana,lakini naweza sema hofu Yao na machungu Yao huenda imetokana na uzoefu ambao ima wao wenyewe wamepitia au wameona Kwa wanaume wenzetu waliokutana na kadhia hiyo.

Nina mitazamo miwili juu ya hili Jambo.

Mosi, ni makosa kutoka Kwa wanawake wenyewe ambao wameshindwa kujua sehemu Yao katika jamii au familia,huenda Kwa kupata elimu au muingiliano na dunia kwakuwa imekuwa kijiji sasa hivi basi huenda wamejifunza au kuona jinsi tamaduni nyingine zinavyoishi hivyo kuwafanya nao waige Maisha ya wengine ambao kwao wao ustaarabu wa nafasi ya mwanaume na mwanamke katika jamii haujapewa uzito unaostahili


Pili,tatizo naliona pia Kwa Sisi wanaume wenyewe,nadhani haya mabadiliko ambayo tunayaona Kwa wanawake ambao kila kukicha yanaongezeka Kwa kujitegemea kiuchumi na kielimu yanatufanya tupate hofu juu ya utiifu wao kwetu kama waume zao,hivyo tunaishi nao Kwa kujihami Sana na kutoaminiana kunaongezeka.

Sasa nini kifanyike........

Nadhani wanawake pamoja na kujitegemea kiuchumi na kuwa na elimu kubwa,ifike kipindi mtambue kuwa pamoja na yote hayo bado wanaume watabakia kuwa wanaume Tu, unaporudi nyumbani Kwa mumeo hata huko ofisini wewe ni CEO Fulani basi Acha cheo ofisini kwako na nyumbani uwe mke mtiifu Kwa mumeo na mama WA watoto wako.

Na hata kama kuna mambo ambayo wewe na Mr wako hayapo Sawa basi ongea nae Kwa upole na heshima kubwa kama mke,hapo mtaenda Sawa kwani wanasema hakuna mkate mgumu mbele ya chai.

Hakuna mwanaume mkorofi kama atapewa heshima yake na kupewa hadhi yake,nadhani bahati mbaya Sana wanawake wengi wanajisahau juu ya hili.

Na wanaume pia tuache hofu na dhana mbaya juu ya wanawake kama wako submissive kwetu na wanatusikiliza,huenda siku moja moja wanaweza teleza lakini tusisahau kuwakumbusha kuwa wanaume watabakia kuwa wanaume,naamini tukiwakumbusha haya Kwa mapenzi na mahaba watatuelewa na kubadilika.

Kutoka kwangu ETUGRUL BEY

Ni hayo Tu!
aiseee, am super stressed
 
Peace be upon you all.

Nimekuja kugundua wanawake wenye vijitabia vya ufeminism sina muda wala sitaki shobo nao hata punje.

Binafsi ni mwanaume ninaeamini katika jinsia tofauti zenye majukumu tofauti, yani mwanaume ni mwanaume na nafasi yake haiwezi kuchanganywa na mwanamke hali kadhalika mwanamke ni mwanamke na nafasi yake kamwe haiwezi kulinganishwa au kusindanishwa na mwanaume.

Nikisikia tu mwanamke analeta mind set za haki sawa bla bla bla hata kama ni ndugu taratiibu namuondoa katika kundi la watu ninaowasiliana nao. Nawaona kama madume jike na nakosa positive vibes kabisa kwa hawa viumbe, watanisamehe tu.

Kinyume chake nimekuwa navutiwa sana na wanamake wanaoikubali nafasi yao kama wanawake, hawajishindanishi wala kujilinganisha na wanaume. Nakiri wazi nawapenda sana wanawake hawa Mungu awape mairha marefu.

Hali hi ya kutotaka ukaribu na "masupawuman" imenisababisha kuwaweka kando wanawake wengi na kuonekana naringa na sina time ya kuwaeleza kwanini nimewaweka kando kwasababu siwezi hata kuongea na wanawake mafeminists naona napoteza muda wangu kwa viumbe wanaofake mambo, limbukeni na wajinga wa utandawazi.
Tofautisha kujiamini na kujisikia!!!
 
Hata sisi, we don’t associate ourselves with loosers. Una inferiority complex kwa kuamini mwanamke mwenye opinion ni mjuaji. Wewe ni muoga na unatishika na mwanamke mwenye confidence. Jiamini mwanaume ili usiitwe mwanaume kwa sababu ya jinsia tu bali matendo, sasa kati ya sisi wenye opinions na nyie msiotaka mwanamke mwenye opinion nani yuko insecure??

So kama mko ofisini na mwanamke ni bosi unataka akulambe matako ili ujione mwanaume. Fala nini
We kumbe kichaa, kama una mwanaume basi hana self esteem for sure, mwanaume timilifu hawezi kuoa ujinga huu ht apewe free.
 
Na ndo wanachopenda. Hivi mkuu, mkeo akisema anaomba akuongezee mifuko ya cement 30 kwenye ujenzi wenu ni feminist? Amekutukana? Mi naamini katika kazi zenu kuna mda mishahara huwa inachelewa au maisha yanayumba. Wife atashindwa kukuita ndani akakwambia Baba najua umekwama chukua kiasi hiki sort mambo yako familia isikwame.

Sasa vijana wanakwambia huyo ni feminist. Wanakwambia kwanini mwanamke afanye kazi wakati yeye kidume yupo. Ikatokea mume amekufa na mke hana kazi ndo balaa linapoanzia.

Anyway muwe mnawashauri na wenzenu kwamba maisha ya sasa ubabe na matusi ni part ya kuficha inferiority flani. Wajiamini kwamba hakuna mwanamke anaetaka kushindana nao.
am in this situation, sijawahi kujiona inferior like now, Changamoto ni ulimi wa Mwenzangu, Ni Mwanamke anayejituma, anasimamia malengo, mchakarikaji lakini ulimi wake kuna wakati una ukakasi to a point nimenyoosha mikono.
 
We kumbe kichaa, kama una mwanaume basi hana self esteem for sure, mwanaume timilifu hawezi kuoa ujinga huu ht apewe free.
Mwanaume wangu ni mtu mkubwa tu kwa taarifa yako. Anajiamini ndo maana alioa mwanamke mwenye akili. Na alinikuta na kazi yangu. Nyie vichoko vya mtandao ndo mnakazi ya kukashifu wanawake nyani we
 
am in this situation, sijawahi kujiona inferior like now, Changamoto ni ulimi wa Mwenzangu, Ni Mwanamke anayejituma, anasimamia malengo, mchakarikaji lakini ulimi wake kuna wakati una ukakasi to a point nimenyoosha mikono.
Ooh so
Sorry mkuu. Mkeo hapo amekosea. Tena amekosea sana. I really feel bad for that hadi umekuja kukiri I know. Sio siri wanawake ambao wana kauli mbaya kwa mwanaume ambae anataka peace bila ubabe nawaona wakosaji. Sijajua how you live with her ila hadi unanyoosha mikono it’s not fair kwako.

Ningekua namjua mkeo seriously angebadilika. Wanawake tukikutana huwa tunavitu tunaongea na tukiona mwenzetu anaenda njia iliyombovu huwa tunampa black and white.maana huko nje wanawake kibao wako desperate kuwa na waume sasa yeye anachukuliaje poa uwepo wako?

Juzi hapa nimetoka kugombana na rafiki yangu wa kike. Amemfumania mmewe na message za mchepuko kanipigia analia anasema anataka kupaki nguo aondoke. Nikamuuliza so huko unakotaka kwenda ndo hawachepuki? Utaacha ndoa ngapi? Nikamshauri baki humo ndani pambania nyumba yako mwanaume atakaa sawa tu. So hata huyo mkeo bro huo mdomo ungemuisha. Ningemuuliza huko nje unakoenda unadhani utampata wa kukubembeleza?

Kikubwa bro, kuwa na msimamo na umwambie bi dada ukweli. Sisi tukiambiwa ukweli na waume zetu huwa tunanywea na uelewa
Vizuri tu.

Pole sana aisee
 
Mwanaume wangu ni mtu mkubwa tu kwa taarifa yako. Anajiamini ndo maana alioa mwanamke mwenye akili. Na alinikuta na kazi yangu. Nyie vichoko vya mtandao ndo mnakazi ya kukashifu wanawake nyani we
Bitch unaandika Sn think you'r Smart cuz you work a job, hakuna anayejali degree/maoni yako, we only Care if you're beautiful, funga bakuli hilo!
 
Mnabisha tu ila hii ligi ya 👇👇
IMG-20221213-WA0006.jpg


Siku hizi ndio inayo haribu ndoa za watu wengi, wengine kubaki single mother na kubaki bila waume (japo hujipa moyo kwamba anaweza kuishi bila mume ).

Najua humu mtabisha ila kama ukipata muda fanya kautafiti chako cha wadada wasomi/Mafeminist wengi wanataka kiwapanda vichwani waume zao.

Ukiona binti ana hela/elimu anamuheshim mumewe,kwa % kubwa, jua huyo binti amelelewa ktk mazingira ya kumjua Mungu kuanzia kwenye ngazi ya familia. Nilimshuhudia jamaa yangu moja yeye ni Otaz ila mke wake yupo UN,kampita mmewe kwa mshahara ila still anamuheshimu mumewe na wote ni watu wa swala tano.

Umkute ambaye maswala ya Mungu yamempita pembeni pili ana exposure, wengi si wake wazuri kabisa.

Sometimes mixer ya elimu dunia,plus ya kumjua Mungu na desturi zetu bora za Kiafrika hutengeneza mke bora. Ila wengi wao mfeminist wana elimu dunia,maswala ya Kimungu na mila na desturi zetu bora wanaona zina wakandamiza wanawake na kuwa pendelea wanaume.
 
Bitch unaandika Sn think you'r Smart cuz you work a job, hakuna anayejali degree/maoni yako, we only Care if you're beautiful, funga bakuli hilo!
Nyooo mbona hao mabeautiful tunawaona mtaani wanaroga waolewe. We hata mwanamke kutongoza hujui maana unaongea nadharia. Siku hizi hamna anaeoa mwanamke asiejishughulisha ni ujinga wenu tu
 
Mnabisha tu ila hii ligi ya 👇👇
View attachment 2446720

Siku hizi ndio inayo haribu ndoa za watu wengi, wengine kubaki single mother na kubaki bila waume (japo hujipa moyo kwamba anaweza kuishi bila mume ,ila tunaofanya nao kazi tunajua wanayo ya pitia).

Najua humu mtabisha ila kama ukipata muda fanya kautafiti chako cha wadada wasomi/Mafeminist wengi wanataka kiwapanda vichwani waume zao.

Ukiona binti ana hela/elimu/feminist anamuheshim mumewe,kwa % kubwa, jua huyo binti amelelewa ktk mazingira ya kumjua Mungu kuanzia kwenye ngazi ya familia. Nilimshuhudia jamaa yangu moja yeye ni Otaz ila mke wake yupo UN,kampita mmewe kwa mshahara ila still anamuheshimu mumewe na wote ni watu wa swala tano.

Umkute ambaye maswala ya Mungu yamempita pembeni pili ana exposure, wengi si wake wazuri kabisa.

Sometimes mixer ya elimu dunia,plus ya kumjua Mungu na desturi zetu bora za Kiafrika hutengeneza mke mzuri. Ila wengi wao mfeminist wana elimu dunia,maswala ya Kimungu na mila na desturi zetu bora wanaona zina wakandamiza wanawake na kuwa pendelea wanaume.
Ulipofeli hapo ni kusema wasomi/feminist. Kwanini unaamini kwamba msomi ni automatically feminist.
 
Nyooo mbona hao mabeautiful tunawaona mtaani wanaroga waolewe. We hata mwanamke kutongoza hujui maana unaongea nadharia. Siku hizi hamna anaeoa mwanamke asiejishughulisha ni ujinga wenu tu
Huna akili, kichaa wewe
 
Ulipofeli hapo ni kusema wasomi/feminist. Kwanini unaamini kwamba msomi ni automatically feminist.
Naamini sababu vipo kwenye jamii na naviona. Ila wapo (wachache) wasomi ambao hawana hizi mentality za kipuuzi za mafeminist.

Ukiona binti ana hela/elimu anamuheshim mumewe,kwa % kubwa, jua huyo binti amelelewa ktk mazingira ya kumjua Mungu kuanzia kwenye ngazi ya familia. Nilimshuhudia jamaa yangu moja yeye ni Otaz ila mke wake yupo UN,kampita mmewe kwa mshahara ila still anamuheshimu mumewe na wote ni watu wa swala tano.

Umkute ambaye maswala ya Mungu yamempita pembeni pili ana exposure, wengi si wake bora kabisa.

Sometimes mixer ya elimu dunia,plus ya kumjua Mungu na desturi zetu bora za Kiafrika hutengeneza mke bora. Ila wengi wao mfeminist wana elimu dunia,maswala ya Kimungu na mila na desturi zetu bora wanaona zina wakandamiza wanawake na kuwa pendelea wanaume.

I hope umenielewa.
 
Mwanaume wangu ni mtu mkubwa tu kwa taarifa yako. Anajiamini ndo maana alioa mwanamke mwenye akili. Na alinikuta na kazi yangu. Nyie vichoko vya mtandao ndo mnakazi ya kukashifu wanawake nyani we
🙌😁😁😁Nimekupenda bure
 
Simchukii wala kumtenga mwanamke yoyote I just dance according to her beat. Akileta za ufeminism ajue amekutana na mwanaume anayejua nini maana yakuzaliwa mwanaume kwenye sayari hii. Tusiwakwepe, kujiamini kwao tunapaswa kuwashusha kwa hoja nzito na kimatendo. I like meeting those kind of women to break them down....
 
Men need help, men need guidance from strong men kunyoosha maTrash km haya
 
Kwa Afrika nadhani hii issue ya kumu emancipate mwanamke ilipokelewa vibaya. Wengi wanadhani ni kushindana na mwanamke
 
Back
Top Bottom