Sipendi na sitaki ukaribu wala shobo na wanawake wenye vijitabia vya feminism

Sipendi na sitaki ukaribu wala shobo na wanawake wenye vijitabia vya feminism

Wanawake wengine bana, jitu linatumia acc mbili linajiquote huku na huku kusupport uchizi wake,
crazy how eti "ooh nimeolewa na mtu mzito" mtu mzito au mzigo huo!
Kwahiyo ulitaka uolewe wewe au? Mimi kuolewa na mtu mzito napo umeona wivu wanaume kama mabinti alijiimbia lady jaydee zamani hatukumuelewa
 
Wote sisi n haki sawa mm natembea na mwanamke ambae n 50/50 anapay bills kama
Mm
 
Kwa Afrika nadhani hii issue ya kumu emancipate mwanamke ilipokelewa vibaya. Wengi wanadhani ni kushindana na mwanamke
Mi nikuambie ukwel ukiachana na afrika nchi inayoongoza Kwa mfumo dume marekan ni moja wapo pamoja na Kwamba sheria ni imara kule lakin na kuambia kule mtu anapiga mpenzi wake mpaka anauwa Acha mke
 
Mi nikuambie ukwel ukiachana na afrika nchi inayoongoza Kwa mfumo dume marekan ni moja wapo pamoja na Kwamba sheria ni imara kule lakin na kuambia kule mtu anapiga mpenzi mpaka anakuwa Acha mke
Kwahiyo ndo mnataka huo mfumo dume wa kupiga mkeo mpaka muuwe muulete hapa. Ndezi kweli ueni mama zenu kama rahisi
 
Mwanaume wangu ni mtu mkubwa tu kwa taarifa yako. Anajiamini ndo maana alioa mwanamke mwenye akili. Na alinikuta na kazi yangu. Nyie vichoko vya mtandao ndo mnakazi ya kukashifu wanawake nyani we
Mbona mlikuwa na hoja nzuri tu hapo mwanzo, naona mmegeuka kutukanana tu, which is so unhealthy. Ukiona mjadala unahamia kwenye matusi na kejeli ni bora kujikataa coz mwisho wa siku wote mnaonekana mmepungukiwa mahali. Hoja za mwanzo zilieleweka, kila mtu abebe anachoona kinafaa kwa ustawi wa familia yake.
 
Naamini sababu vipo kwenye jamii na naviona. Ila wapo (wachache) wasomi ambao hawana hizi mentality za kipuuzi za mafeminist.

Ukiona binti ana hela/elimu anamuheshim mumewe,kwa % kubwa, jua huyo binti amelelewa ktk mazingira ya kumjua Mungu kuanzia kwenye ngazi ya familia. Nilimshuhudia jamaa yangu moja yeye ni Otaz ila mke wake yupo UN,kampita mmewe kwa mshahara ila still anamuheshimu mumewe na wote ni watu wa swala tano.

Umkute ambaye maswala ya Mungu yamempita pembeni pili ana exposure, wengi si wake bora kabisa.

Sometimes mixer ya elimu dunia,plus ya kumjua Mungu na desturi zetu bora za Kiafrika hutengeneza mke bora. Ila wengi wao mfeminist wana elimu dunia,maswala ya Kimungu na mila na desturi zetu bora wanaona zina wakandamiza wanawake na kuwa pendelea wanaume.

I hope umenielewa.

Upo sahihi, Elimu dunia + Elimu ya Mungu + Desturi za kiafrika = mke bora.

Kimoja hapo kikikosekana kina uwezekano mkubwa sana wa kuwa na mke wa hovyo ndani ya nyumba. Tumeoa wake wasomi kabisa, ila wamelelewa vema, wanamcha Mungu so everything looks great as anajua nafasi yake kama mke na mama wa watoto kadhaa.
 
masingo maza wengi niwanawake walio soma na wameajiriwa.hawandio wanawake viburi wakiona nawao wanaamka asubuhi nakwenda kazini nao wanajikuta vidume. jeuri kibao kwawaume zao mwisho wasiku wanaachika nakuja kutuharibia jamii Mana ndio wanaongoza kulea watoto mashoga nawasagaji
 
Dada aliolewa na miaka 21 alipomaliza form six si unajua zamani unakuta mtu anamaliza shule ya msingi anapambana na vibarua anakuja kuendelea na shule baadae.
So kipindi anaolewa wala hakuwa mtoto.

Unavyosema ndoa ni watu wawili wanaosaidiana kutimiza ndoto ndo unaona matusi yote haya kwenye hii thread yameletwa na huyo mpuuzi alieanzisha mada. Kuna sehemu anasema eti mwanamke ana uwezo gani wa kukusaidia, eti mwanamke hatakiwi kufanya chochote. Na ndo dada yangu alivyokua anapelekwa na mumewe, na tulikua tunatukanwa ukoo mzima hadi mama yangu anatukanwa kwamba sisi ni maskini hatuna kitu eti yeye shemeji anamfuga dada yetu hana pa kwenda anafanya kumsaidia tu. Leo uje useme mwanamke mpambanaji ni feminist pumbavu kabisa. ndo maana natamani sana kumjua mleta mada huyu The unpaid Seller unaweza kuta ye ndo mwanaume nnaemuongelea hapa maana ana itikadi za kipumbavu sana. Kila nikikumbuka dada yangu alivyoteswa kwakuwa tu hakuwa na kipato wala shughuli yoyote alinyanyasika sana kidogo tumzike maaana aliwahi kupigwa hadi akaingia kwenye coma miezi kibao. Niliomba likizo shule ili nimhudumie mama na dada kwa pamoja. Pesa hakuna. Janaume limekaa huko eti liseme mwanamke hatakiwi kuwa na chochote atakua mjeuri eti atakua feminist. Wanaume wote wenye itikadi za design hii ni wapumbavu na wanyanyasaji wa wake zao shenzi kabisa. Nikikumbuka yale maumivu ya dada najikuta nawachukia sana wenye tabia za kitesi na itikadi za kijibwa. Mwanamke usikubali kukaa nyumbani eti mume anakuletea kila kitu wakibadilika hao watakutesa ufe.
Hayo ni makosa ya baba yako na mama yako kumuozesha mtoto.
 
Mbona mlikuwa na hoja nzuri tu hapo mwanzo, naona mmegeuka kutukanana tu, which is so unhealthy. Ukiona mjadala unahamia kwenye matusi na kejeli ni bora kujikataa coz mwisho wa siku wote mnaonekana mmepungukiwa mahali. Hoja za mwanzo zilieleweka, kila mtu abebe anachoona kinafaa kwa ustawi wa familia yake.
Wanaume wenzako waone wanavyotukana. Wanatukashfu wanawake ila hamna anewakemea. Lazima tujitetee
 
Ooh so
Sorry mkuu. Mkeo hapo amekosea. Tena amekosea sana. I really feel bad for that hadi umekuja kukiri I know. Sio siri wanawake ambao wana kauli mbaya kwa mwanaume ambae anataka peace bila ubabe nawaona wakosaji. Sijajua how you live with her ila hadi unanyoosha mikono it’s not fair kwako.

Ningekua namjua mkeo seriously angebadilika. Wanawake tukikutana huwa tunavitu tunaongea na tukiona mwenzetu anaenda njia iliyombovu huwa tunampa black and white.maana huko nje wanawake kibao wako desperate kuwa na waume sasa yeye anachukuliaje poa uwepo wako?

Juzi hapa nimetoka kugombana na rafiki yangu wa kike. Amemfumania mmewe na message za mchepuko kanipigia analia anasema anataka kupaki nguo aondoke. Nikamuuliza so huko unakotaka kwenda ndo hawachepuki? Utaacha ndoa ngapi? Nikamshauri baki humo ndani pambania nyumba yako mwanaume atakaa sawa tu. So hata huyo mkeo bro huo mdomo ungemuisha. Ningemuuliza huko nje unakoenda unadhani utampata wa kukubembeleza?

Kikubwa bro, kuwa na msimamo na umwambie bi dada ukweli. Sisi tukiambiwa ukweli na waume zetu huwa tunanywea na uelewa
Vizuri tu.

Pole sana aisee
Feminist unatoaje ushauri wa mwanamke kubaki kwenye ndoa. Mlioelimika si ndo wajeuri nyinyi huwa mnawajaza wenzenu matope. Ila wanaume wa jf mapuyango sana na wamenichefuaaa wanadhani kila mwanamke mwenye akili feminist mandondocha wakubwa
 
Kila mwanaume humu jf kaoa wake watatu, wote amewajengea, na wote hawafanyi kazi yeye ndo anaewalisha na watoto wao[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa hawa marioo huku mtaani ni waume wa wanawake gani? Watu wanaishi kwenye dunia ya hallucinations, dunia ya kufikirika na watu wana fantasies kuliko hata teenage school girls.

Usawa huu wa mchele kilo 3500[emoji1787] ukija na hoja kwamba umewajengea wake zako watatu kila mtu na kwake na unawahudumia hadi hela ya chumvi uje ma uthibitisho msituletee ujinga.

THE MOMENT YOU TRY SO HARD TO PROVE THAT YOU’RE A STRONG MAN, THAT’S WHEN IT’S UNCOVERED THAT YOU ARE HIDING A CERTAIN INFERIORITY.
Hao Mario ni watoto wa ma single mum na sio Mario tu ata mabwabwa
 
Mtu anitukane nimwache kisa nini. Na wanaume wanataka hata tukitukanwa tuendelee ku bow. Ukijibu basi wewe ni feminist. Kama mataaira yani. Ndo maana wengine unakuta wanapigwa na wake zao kumbe akili ndendembe. Mimi
Nimekuta hii mada wanamshambulia huyo mdada sijui nani tanzanian nikasoma hoja zake sikuona point ya wao kumsema tena nikashangaa kabisa anasema yeye wala ha sapoti hiyo 50/50 bado wanamwita mnafki kheee yani they want voiceless women. Hata uongee jema kwao ni matusi. Yaani huyu aloanzisha mada namsubiri hapa nimmalizie maana yule alobishana nae juzi kamchambua akabaki anatukana tukana tu kama likichaa eti mara bitch mara malaya kumbe mwanamke mmoja kammaliza nguvu. Na wengine Wakaanza kujazana na atakae kuja mwengine ntaendelea kupambana nae wanawake tumezidi kutukanwa na kunyamaza hatukubali.
Majike dume haswa ndo yakutukanwa ila mwanamke mwenye haiba tunawasitiri
 
Back
Top Bottom