Sipendi ugali kabisa na ninaishi

Sipendi ugali kabisa na ninaishi

Kama upo kanda ya ziwa wewe utakua ni wa kutoka Bukoba! Kanda ya ziwa yote Ugali ndo Asili yao. Ila ukianza kusogea kwa wahaya huko ugali ni nadra sana..!
 
Ugali wa mahindi mswahili yeyote ukisema ugali anajua wa mahindi...ngano na mtama Nchi nyingi wanalima na kutumia hizo nafaka hata kichwani wapo sawa tofauti na wala ugali harafu wanauamini balaa huwezi kuwaambia kitu kwa sababu washadumazwa...
Ugali wa nafaka gani mkuu
 
Wakuu niongezeeni list ya vyakula baada ya hivi
Wali
Tambi
Ndizi
Pilau
kwangu hivi ni vyakula vinavyo chosha sana nikila siku mbili tu tofauti na ugali, Tambi siwezi kula zaidi ya mara 3 kwa wiki, pilau sipendi kwaajili ya viungo, wali nikila mchana na usiku sitaki hata kuuona kesho yake, ndizi nayo nikila baada ya muda mfupi naskia njaa kishenzi haziendani na kazi zangu ngumu nazo fanya
 
Hata hivyo Ugali umedumaza sana Ubongo za watu wengi na jinsi ulivyo wengi wanaamini ni chakula ya Mtu mweusi kumbe nayo ilililetwa na Mabeberu zipo Nchi nyingi Afrika Ugali sio kipaumbele chao kama hapa kwetu...
Hii comment yako ulipo sema Ugali umedumaza bongo za watu wengi NIMEJIKUTA nimeangua kicheko 🤣🤣😀🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂

Wakati Tupo A_Level Kuna ugali ulikua unapikwa tunakula ukibakia Kwa jinsi ulivyo kua mbaya hata NGURUWE wanagoma kula......😊😊😊😊

Tukawa tunataniana kua ule ugali ni wakuwaulia viumbe (wanyama) walio shindikana Marekani 😊😊🤓😂🤣😂🤣🤣😂🤣😂😂🤣😂🤣🤣😂
 
Kwa hela yangu sinunui ugali.

Nimekula sana utotoni. Asubuhi mchana na usiku, 24×7 siku 365 na robo.

Unanipa trauma aisee.
Zamani me mwenyewe nilikuwa sitoi hela yangu kununua ugali.
Au nikienda mgahawani kula sitoi order ya ugali.

Mdogo wangu ukikuwa sasa, sijui utakulaje nyama choma bila ugali 🤭
Ndizi daily? Haifai…
Siku hizi naula japo si mara nyingiii ila nimo miongoni kwa walaji.
 
Halafu huwa nawaambia watu hili jambo wanashindwa kuamini, ugali uliletwa na mabeberu na mahindi yaliletwa na wareno kama sikosei, hata kama ugali ulikua ukiliwa Africa sidhani kama ni huu ugali wa dona

Mtaalam ambao watu weusi wengi wanaomuamini kama mzalendo Dr sebi alishawahi kusema ugali wa dona ni sumu na unadumaza akili
🤓🤓🤓🤓🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂
 
Zamani me mwenyewe nilikuwa sitoi hela yangu kununua ugali.
Au nikienda mgahawani kula sitoi order ya ugali.

Mdogo wangu ukikuwa sasa, sijui utakulaje nyama choma bila ugali 🤭
Ndizi daily? Haifai…
Siku hizi naula japo si mara nyingiii ila nimo miongoni kwa walaji.
Hii theory Ina apply sanaa maana ugali Kwa jamii nyingi pamoja na availability yake ni wachache sana wanaweza toa pesa kulipia ugali mgahawani....🤓🤓🤓🤓
 
Ipo siku utarudi kusoma haya, siku hiyo, hopefully uzeeni utagundua sumu gani umeweza kupandikiza kwa wajukuu wako, ndugu zako, jamii yako....hawatajua hivyo ila wewe utatambua hivyo.....Nina uhakika hautataka kutoka nje na kuwaangalia wajukuu zako wakiwa wanalia njaa.

Amani ikutawale
 
Katika vyakula ambavyo huwa sivishobokei ni Ugali mimi siupendi kabisa yaani sina stim nao kabisa.

Sazingine huwa nakula tu ndo wife au beki3 kaandaa lakini kiukweli ugali sio chakula nachokipa thamani japo familia yangu mke na watoto wanaupenda balaa.

Ni mara kibao nikirudi nyumbani nikikuta wamepika ugali nitapitiliza tu chumbani kulala au nitaomba wanitafutie mbadala.

Na mara nyingi wakiwa wanaandaa huwa wanajua kabisa kwahiyo mbadala lazima iwepo.

Sazingine huwa nakula tu ili siku ipite lakini ni chakula cha hovyo kabisa, mimi naweza kukaa hata mwaka nisile ugali na nikaona fresh kabisa.

Ni kawaida kwangu siku hizi kukaa wiki au wiki mbili bila kuutia ugali mdomoni.

Kuna kitu huwa kinanishangaza sana, kuna watu wanakula ugali mchana na usiku tena siku 7 za wiki duuuh tena ugali na yale madagaa ya ziwa victoria!! Sio kwa nia mbaya au nina ego hapana mimi ugali hapana bora nile ndizi mwezi nzima lakini sio ugali.
Wewe ndo wa hovyo ila siyo ugali, na raha ya ugali huwa ni mboga
 
Nchi za Afrika Magharibi wana chakula chao mara nyingi hawatumii ugali utaona hata baadhi ya mambo Senegal,Nigeria na wengine huko akili hazijaganda kama wabongo kutwa na ugali wao harafu wanauamini balaa hamna kitu kabisa zaidi ya kudumaza Ubongo wa watu...kutwa kuulizana vitu vya hovyo hovyo kisa ma Ugali...
mbona nimeenda Nigeria nimekula sana ugali wao wanaita Amala na watu wengi wanakula au Nigeria ipi?
 
Hiyo ni menu ya mchana napendelea vitu simple hata dada anapika vizuri, jioni ndio ndizi,wali,pilau etc
Hao watoto si watakua wamelegea sana yan chakula chao kikuu unawalisha spaghetti, ndizi na wali?
kwa vyakula hivyo siyo mazoezi tu hata Kutembea umbali mdogo kwa miguu hawawezi unatengeneza bom moja baya sana huko mbeleni
 
Back
Top Bottom