Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,559
- 11,180
Utampata tu wa jirani hasa weekend wakati anafua nguoUtampataje hiyo asubuhi?
Labda "mabeki tatu"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utampata tu wa jirani hasa weekend wakati anafua nguoUtampataje hiyo asubuhi?
Labda "mabeki tatu"
Bina si unaonaga ,ukiona nimejipaka makeup ujue kuna tukioWewe ni Mimi kabisaa..najiamini mnoooo
Wachache kama wewe wanaofaham kua nguo ndefu humfanya mwanamke kuonekana mwenye mvuto na pia watu (hasa wanaume) kukupa heshima.Mi mara moja kama naenda kwenye harusi na sio lazima.kiujumla mimi sijijali sana ili mradi niwe msafi nanukia vizuri basi na manguo yangu marefu
Na bado mzuriii mwenyewee!!!Bina si unaonaga ,ukiona nimejipaka makeup ujue kuna tukio
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122] 100%Wachache kama wewe wanaofaham kua nguo ndefu humfanya mwanamke kuonekana mwenye mvuto na pia watu (hasa wanaume) kukupa heshima.
Wanaume hua tuna mawili kwa mavazi ya wanawake, aliejistiri (hua ana mvuto, tunamuogopa na kumheshimu sana) alievaa nguo za kichokozi (hua tunamchukulia mwepesi na unaweza kumwingia kwa maongezi)
Sina nia ya kuonesha dharau kwa yoyote, ila ni mtazamo wangu kama mwanaume
nimecheka kwa nguvu walahUtampataje hiyo asubuhi?
Labda "mabeki tatu"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha kudanganya watu binaNa bado mzuriii mwenyewee!!!
Kwani uongoo...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha kudanganya watu bina
😂😂😂😂 watuwache sababu hatujisiribi mpaka tukawa Mbagala rangi tatu.Wewe ni kama Mimi kabisaa!!!kwanza mie kupaka mpk harusini wanaoniona whasap wanajua
Heeeee. Nimepata kitu kipya hapa sijawahi waza kama na wewe wavaa manguo marefu ka kina sie. 🙈🙈🙈🙈Mi mara moja kama naenda kwenye harusi na sio lazima.kiujumla mimi sijijali sana ili mradi niwe msafi nanukia vizuri basi na manguo yangu marefu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] umeona eeehh!!aunty akee..Mimi napaka Mara chache tena simple sana!sana sana wanja nikipaka mpk watu wanashangaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watuwache sababu hatujisiribi mpaka tukawa Mbagala rangi tatu.
Sie twapaka kwa staha. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yap ila ushungi ushanishinda [emoji23][emoji23]Heeeee. Nimepata kitu kipya hapa sijawahi waza kama wavaa manguo marefu ka kina sie. [emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
Ila uko vizuri. [emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] umeona eeehh!!aunty akee..Mimi napaka Mara chache tena simple sana!sana sana wanja nikipaka mpk watu wanashangaa
Hao wa mbagala r3 kazi wanayo aisee!!mi imenishinda hyooo
Hahahaaaaa. Hiyo ya ushungi inategemea na imani ya mtu Mumy na ni jinsi gani imeingia.Yap ila ushungi ushanishinda [emoji23][emoji23]
Hahahahha mbavu zanguKuna dada hapo ana sura kama wale watu wa kale