carbamazepine
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 46,562
- 285,591
Unashangaa nini?Daaah
Mnataka tusipendeze??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unashangaa nini?Daaah
Kweli wanawake wanakazi sana ,sasa lengo la kupaka make up ,nini au ili upendwe?Hiyo ndo nguvu ya make up kiongozi
Hata msipopaka make up tutawatongoza tu jamani ,acheni hizo mambo ,ndo maana Mimi huwa namwambia mwanamke akanawe uso kwanza ndo aje nimtongozeUnashangaa nini?
Mnataka tusipendeze??
Tupendeze,tuvutie na tupate ujasiri wa kutembea barabarani na sisi.Kweli wanawake wanakazi sana ,sasa lengo la kupaka make up ,nini au ili upendwe?
Mi napenda Tu ulivyo NaturalUnashangaa nini?
Mnataka tusipendeze??
Hahahahahaha kweli tunaibiwa hapa mjiniHiyo ndo nguvu ya make up kiongozi
Hahaa!kumbe na wewe ni wale wa kutembea na chupa za maji mtupe tunawe eeh.Hata msipopaka make up tutawatongoza tu jamani ,acheni hizo mambo ,ndo maana Mimi huwa namwambia mwanamke akanawe uso kwanza ndo aje nimtongoze
Na make up zangu eeh?[emoji23][emoji23]Mi napenda Tu ulivyo Natural
Hahahhahahaha nimecheka sana eti ujasiri wa kutembea mtaupata wapiHahaa!kumbe na wewe ni wale wa kutembea na chupa za maji mtupe tunawe eeh.
Acheni tu tupake make up zetu,wengine ujasiri wa kutembea tunautoa hapo jamani
Ashukuriwe aliyedungua hii kitu[emoji23][emoji23][emoji23]Hahahahahaha kweli tunaibiwa hapa mjini
Make up zako za ki asili ndiyo zinanipagawishaNa make up zangu eeh?[emoji23][emoji23]
Unakuta mpenzi wako anakuja nyumbani kukusalimia kabeba pochi utadhani kakubebea zawadi ,kumbe kajaza hayo ma make up tu ,na akifika tu mbio kwenye dressing tableHahahaaa. Mnavyotuponda utadhani wake zenu na wanawake zenu hawatumii hizo kitu.
Vipo kwa ajili ya mwanamke hivyo vitumikage tu kwa wanaoweza mbaya ni hizo zinazopakwa na kubadilisha kabisa uhalisia wa ngozi ya mtu. Ila kama ni kawaida tu wapake tu kwa kweli maana ndio tofauti hizo kati ya mwanamke na mwanaume.
Hapo kuna mwanaume na mwanamkeAshukuriwe aliyedungua hii kitu[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 867804
[emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaaa. Mnavyotuponda utadhani wake zenu na wanawake zenu hawatumii hizo kitu.
Vipo kwa ajili ya mwanamke hivyo vitumikage tu kwa wanaoweza mbaya ni hizo zinazopakwa na kubadilisha kabisa uhalisia wa ngozi ya mtu. Ila kama ni kawaida tu wapake tu kwa kweli maana ndio tofauti hizo kati ya mwanamke na mwanaume.
KabisaaaaMake up zako za ki asili ndiyo zinanipagawisha
Mmmh. Huyo kazidi sasa.Unakuta mpenzi wako anakuja nyumbani kukusalimia kabeba pochi utadhani kakubebea zawadi ,kumbe kajaza hayo ma make up tu ,na akifika tu mbio kwenye dressing table
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kweli mkuu,wengine hatuna ujasiri wa kutoka bila hiyo kitu kwakweliHahahhahahaha nimecheka sana eti ujasiri wa kutembea mtaupata wapi