Sipingi kuwa make-up ni muhimu ila iwe na mipaka jamani

Sipingi kuwa make-up ni muhimu ila iwe na mipaka jamani

Kumbe ndio ipo hivyo, wengine wananunua tu
Ndio ilivyo Mkuu. Kama mie ako ninakopaka ni kakopo kadogo ila kanauzwa Tsh 35000/= ila ndio nakapaka zaidi ya miezi mitatu maana napaka kidogo mnooo na haibadili muinekano zaidi ya kung'arisha.

s1621028-main-hero.jpg


Kama ako japo sio aina hiyo. Ni mfano tu wa ako kakopo ukubwa wake.
 
Umeonaeee. Wengi wanakosea hapo na ndio sababu unakuta Mbagala rangi tatu zinakuwa nyingi sababu kuu ni hiyo.

Mie naona waendage kwenye maduka makubwa ya Cosmetics huwa wanashauri kabisa kwamba makeup namba fulani ndio rangi ya ngozi yako. Ziko bei juu ila ni nzuri na haziondoi uhalisia wa mtu.

Nakazia na mie. Wasituchoke. 😂😂😂

umetoa ushauri 'kuntuu'my dear!sio mamekup ya 10000/ lazima uwe mbagla rang 3!Kifupi ushauri wako kwa wanawake UMEDAMSHI
 
Ndio ilivyo Mkuu. Kama mie ako ninakopaka ni kakopo kadogo ila kanauzwa Tsh 35000/= ila ndio nakapaka zaidi ya miezi mitatu maana napaka kidogo mnooo na haibadili muinekano zaidi ya kung'arisha.

View attachment 867822

Kama ako japo sio aina hiyo. Ni mfano tu wa ako kakopo ukubwa wake.
Aiseee wengine tunapakaga ronya za elfu 5 ndo mana tunakua mbagala rangi tatu
 
Ngoa nifunge mkanda sawa sawa, maana hali si shwari kwenye kupendezesha mtu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Kwani hujaanza tu bado kumnunulia moneytalk?
 
Aiseee wengine tunapakaga ronya za elfu 5 ndo mana tunakua mbagala rangi tatu
Nasikiaga wanasema na nzuri zipo pia mdogo wangu. Hiyo rangi tatu inaletwa na kama sie wa rangi ya kawaida kupaka ya mtu mweupe mara mweusi ila ikiwa ya rangi yako wala hizo rangi tatu haziwezi kuwepo mdogo wangu.

Nawekaga hela yangu kabisaaa maana nikikanunua ako nakaa nacho mpaka nasahahu na maumivu ya hiyo hela hata siyapati.
 
Ndioooo[emoji23] [emoji23]
Hatuachi
Kikubwa tu kama usiku ulikuwa kidot, asubuhi uwe hivyo hivyo.

Sio kwamba wa usiku ni tofauti na wa asubuhi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kuna mdau mmoja humu alileta kisa baada ya kuchukua mwanamke Baa na kwenda kujinufaisha kimwili kwa siku husika.

Ilipofika asubuhi mambo yakawa yamebadilika kwa yule mwanamke kuhusu uzuri wake wa usiku.

Jamaa alitoka nje na kumuacha ndani, aliporudi akawa hamuoni yule mwanamke ndani halafu nje alimpita mwanamke mwingine(ambaye ndio yeye)

Alipotoka nje tena akaanza kumuulizia yule mwanamke anbaye ndio yeye kuwa umemukna fulani? Hakujua ndio yeye maana alirejea kwenye sura yake halisi tofauti na ile fake[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Wanawake tuhurumieni, kama ni mjini mshatuingiza vyakutosha...
😂😂😂😂😂 huyo jamaa naye ni kiboko.

Hivyo alisahau hata taulo alilovaa huyo Dada. 🙈🙈
 
Nasikiaga wanasema na nzuri zipo pia mdogo wangu. Hiyo rangi tatu inaletwa na kama sie wa rangi ya kawaida kupaka ya mtu mweupe mara mweusi ila ikiwa ya rangi yako wala hizo rangi tatu haziwezi kuwepo mdogo wangu.

Nawekaga hela yangu kabisaaa maana nikikanunua ako nakaa nacho mpaka nasahahu na maumivu ya hiyo hela hata siyapati.
Kweli dada lakin bora hizo za bei ghali unakua na uhakika...kizuri gharama

Hizi za elfu 5,10...nyingi fake
 
Back
Top Bottom