Sipo tayari kufanya ajira take home chini ya milioni moja

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nakumbuka 2014 namaliza chuo nikawa na mawazo kama haya. Aunt yangu ni HR benki moja hivi pale HQ. Akanambia nianze na salary ya laki 4. Nikasema mnanionaje[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]
Nikakataa jaman. Just on my graduu day ukumbini. Basi bwana, nikakaa miaka miwili nyumbani. Loh, sindo nikaanza ona uhalisia? Ntie nyie nyiee[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
 
Utakua unakaa kwenu au kwa shemeji yako, ukiwa mkubwa ukakaa kwako hiyo hela utaichukua tu,kuna watu wanachukua 300,000 wako hapa unakuja kuwatukana na kuwakejeli?
Mimi wakati naanza kazi mwezi wa pili mwaka huu boss alinitajia mshahara wa laki 3 kwa mwezi lakini mbali na hapo ilitakiwa nifanye probation kwa miezi mitatu huku nikilipwa nusu ya pesa yani laki moja na nusu, baada ya kumaliza interview na kunitajia hiyo offer yao boss akaniambia nenda kafikirie halafu unipe jibu.

Nikafikiria sana ila nikaona ngoja nikomae nikakomaa miezi mitatu ikaisha ile nianze kupokea laki 3 sasa kama mshahara baada ya probation boss akaniambia kuanzia mwezi huu nitakulipa laki 4 baada ya miezi miwili akaniongezea tena laki moja nyingne nikawa nalipwa laki 5 mwezi November kaniongezea tena sasa nalipwa laki 6.

Acha kudharau kazi mkuu mtaani maisha ni magumu sana labda kama wewe ni mtoto wa kigogo sawa.
 
Ndugu, Bora ningepata hio laki nane, fursa nyingi napata microfinance, na wanataka niwe tayari kuanza na shilingi laki tatu na nusu. Sasa nawaza, maisha ndio yatakuaje? Hio Nile, nipange, niende saloon, nitoe sadaka kha
Kwa kozi uliyosomea ni halali kabisa huo mshahara
 
Duuuhh
 
we mlinzi acha kuona jau kuitwa hivyo. mbona... πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† dah! imenbidi nicheke tu hehehehehh! sema jau kisenge yaan πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wapo vijana wenye degree kama hiyo yako, wakaenda UK wakafanya ACCA walipo rejea wakaanza na gross salary ya sh. 325,000. Nenda kafanye kazi, taratibu utapanda na kufikia hiyo milioni
 
Kwa msoto huu wa ajira kwa degree holders; inafika time hata ukipata kazi ya ukondakta basi la mbagala- makumbusho unashukuru Mungu!!
 
mkuu sisi vijana wa kitanzania sijui tumepatwa na nini?
 
fanya
 
daah maboss wa kibongo jau sana, inaonekana boss wako anatabia za kizungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…