Sipo tayari kufanya ajira take home chini ya milioni moja

Sipo tayari kufanya ajira take home chini ya milioni moja

Ukweli ni kwamba hakuna boss ata risk kuchukua fresh graduate Bongo amlipe kiasi hiki. Waajiri ndio wanajua gharama na hasara za hii kitu. Kama hujawahi kuwa mwajiri hutaelewa.

Huyu jamaa lazima aliongeza thamani sana kwenye biashara. Vinginevyo asingeongezwa zaidi ya kupumzishwa baada ya probation
mfanyakazi halipwi tu mshahara... kuna rank za mishahara kutokana na kazi yenyewe. sivyo km mnavyojiamulia... wabongo tunaumizana sana!
 
mfanyakazi halipwi tu mshahara... kuna rank za mishahara kutokana na kazi yenyewe. sivyo km mnavyojiamulia... wabongo tunaumizana sana!
Well ni kweli kuna wengi wanawavuna staff wao, lakini pia kuna shida kwa staff wenyewe (sio wote). Katika sekta binafsi inatakiwa kuwa awarded kulingana na contribution yako kwenye mafanikio ya kampuni. Mfano unaweza kuta kuna watu 10 na wanapokea salary tofauti. Kwa sababu kila ukivuka KPI fulani inakupa increment kwenye salary.

Of course ukifikia ceiling ya rank yako na kampuni ikaona utafaa kwenye next rank wanakupa promotion.

Ila staff wengi wanapenda wafanye private kama Government ambako contribution sio primary factor. Vyeti na muda ulioishi hapo kazini ndio determinant.
 
Kweli umeongea point. Endelea kudanga kama ulivyokuwa unafanya hapo IFM.

Kama ukilala na madanga mawili kwa siku kila danga likakupa elfu 30 hiyo hiyo ni elfu 60 kwa siku mara siku 30 inakuja 1,800,000. Toa siku nne unazokuwa period 240,000 inabaki 1,560,000.
 
Futa maneno tu, ajira wapo wenye GPA nzuri na sura zao za kueleweka hawana kibarua siyo ajira,

Omba tu Mungu asiandike maneno yako mwanangu.
 
I wish mungemuelewa mtoa mada..sarcasm at its best level
 
Fanya kazi wewe ,Kuna watu wanakula laki 4 kwa mwezi lakini akipiga "MBISHE" za kazini anaondoka hadi na 5m kwa mwezi.
 
Kiukweli Kila binadamu ana utashi na maono yake.....

Nili ahidi na naendelea ku ahidi mwakani kipindi Kama hichi inshallah....
Mungu akitufikishaa Salama ntaandika kitu....
I think itakua Ni inspirational na motivational speech KWA VIJANA.....

Mdogo etu bado hajawa na majukumu mazito mazito....

Still dogo BADO hana hata working experience
Kua na degree na GPA kubwa pekee si lolote...
Analeta ujuaji kifupi bado hajajua the meaning of life....

Namshauri AMWOMBE SANA MUNGU
AWE KWENYE LILE KUNDI LA BINADAMU WACHACHE "CHOOSEN ONE"
AMBAO HAWAJAWAI KU HUSLE KATIKA MAISHA YAO....

Welcome to the street university young boy
 
Mie ni muhitimu wa Degree ya Kwanza ya Banking na Finance mwaka huu wa 2020 na nimepata GPA kubwa. Kinachonishtua ni ofa zinazo patikana ni mishahara kiduchu mno!

Kiukweli, over my dead body, sipo tayari kwa ajira ambayo take home yake ni chini ya milioni moja.

Hope zinapatikana bila shaka.
Kama hata umeshafanikiwa kupa hata ofer moja wewe chukua tuuu.nakwambia ukweli baada ya mwaka mmoja wale uliowaacha nyuma yako nao wangraduate na GPA kubwa zaidi yako na wewe unakuwa obselete.

By the way,inategemea chuo ulichopatia hiyo GPA kubwa.Vyuo vikuu vingine ni ka VETA
 
Unachoongea ni ujinga ambao miaka yote ukiwa chuoni hujautoa. Umesoma kwa kukariri.
 
After knowing how harder life fucks...You will reset your priorities.

All the best.
 
Well ni kweli kuna wengi wanawavuna staff wao, lakini pia kuna shida kwa staff wenyewe (sio wote). Katika sekta binafsi inatakiwa kuwa awarded kulingana na contribution yako kwenye mafanikio ya kampuni. Mfano unaweza kuta kuna watu 10 na wanapokea salary tofauti. Kwa sababu kila ukivuka KPI fulani inakupa increment kwenye salary.

Of course ukifikia ceiling ya rank yako na kampuni ikaona utafaa kwenye next rank wanakupa promotion.

Ila staff wengi wanapenda wafanye private kama Government ambako contribution sio primary factor. Vyeti na muda ulioishi hapo kazini ndio determinant.
"kuna shida kwa staff wenyewe!" kivipi mkuu?

umeiona hii👇🏿
 

Attachments

  • jamiiforums_20201202_200648_0.jpg
    jamiiforums_20201202_200648_0.jpg
    69.7 KB · Views: 4
"kuna shida kwa staff wenyewe!" kivipi mkuu?

umeiona hii👇🏿
Kuna staff wanataka wawe awarded lakini contributions zao ni karibu nil. Ingawa pia ni kweli waajiri wengi pia wan shida ya kuvuna staff wao. Ni two way traffic.

Kuna staff wengine wanawaza wapate uzoefu waondoke. So waajiri baada ya kugharamia staff kadhaa wakaamua kuondoka hawaoni tena umuhimu wa kuingia risk ya kuandalia wengine. So wanakuwa wanachukua staff wakitarajia hakai sana. As such wanakuwa hawana long term plan na staff wao. Kuna shida sana ya human resources Bongo na bahati mbaya matatizo ya waajiri tu ndio yako under lens. Ila waajiriwa pia wanayo yao mazito...!
 
Elon Musk anasema

"Your pay is directly proportional to the difficulty of the problems you solve"

Inaleta nini kwenye meza mpaka uanze kudai hizo fedha?
 
Kweli anatafuta kiki kwa degree yake hiyo watu wanaomba kuuuza min supermarket na hawalipwi mshahara wanapewa posho laki 3 kwa mwezi
best yangu kindakindaki ana masters anauza duka kariakoo (duka La Mtu)
 
Iweke kwa kiswahili hii hahaa!
"Baada ya kujua jinsi gani maisha yanakutomba kwa nguvu....Utapanga tena vipaumbele vyako"
Direct translation hahaa!
After knowing how harder life fucks...You will reset your priorities.

All the best.

 
Ni kuomba Mungu, wakati mwingine mambo yanaweza yasiende kama ulivyotarajia.
 
Back
Top Bottom