Sir Isaac Newton alivyoichambua BIBLIA

UNAKIMBIA HOJA YAKO KIJANJA ,HALAFU HAPO HIZO HOJA ZA NEWTON NDIO HIZO HIZO ZIMEELEZWA KWENYE WAEBRANIA SURA YA KWANZA

UNASEMA WAISLAMU MNAAMINI HIVO ,ACHA UTAPELI


NYIE MNAAMINI YESU NI MWANA WA MUNGU?

WAPI NEWTON ALIMTAMBUA TAPELI MUDY?
 
UNAKIMBIA HOJA YAKO KIJANJA ,HALAFU HAPO HIZO HOJA ZA NEWTON NDIO HIZO HIZO ZIMEELEZWA KWENYE WAEBRANIA SURA YA KWANZA

UNASEMA WAISLAMU MNAAMINI HIVO ,ACHA UTAPELI


NYIE MNAAMINI YESU NI MWANA WA MUNGU?

WAPI NEWTON ALIMTAMBUA TAPELI MUDY?
Wasalimie, naamini ukweli ushaujua, tafuta watoto wenzako uende Lee kuwadanganya.
 
Hoja wala haikuwa kupinga Divinity ya Yesu ,ndio maana nimekwambia alichoandika hapo ndio kilichoandikwa ktk waebrania yote Sura ya 1 ,

Na hoja haikuwa hizo articles 12

Ulileta ya Trinity ikafa kifo cha mende



Hoja yako unayoikimbia ni hii

WAPI NEWTON ALIMZUNGUMZIA TAPELI MUDY,

Taja kitabu na u.k

Simple tu
 
Wasalimie, naamini ukweli ushaujua, tafuta watoto wenzako uende Lee kuwadanganya.
NILIJUA LAZIMA UKIMBIE

MM KUHUSU NEWTON NIMEMSOMA KUANZIA DARASANI KWENYE CALCLUS, GRAVITATIONAL FORCE,N.K NIKAJA KWENYE MASWALA YA DINI HUKO ANA VITABU HATA HUVIJUI

Hajawahi kumzungumzia tapeli Muhammad hata siku moja
 
Kujua hayo ni haisaidii chochote kama hutaelewa kusudi la unabii wa Daniel...

Danieli 9:24 BHN
[24] “ ‘Muda wa miaka saba mara sabini umewekwa kwa ajili ya watu wako na juu ya mji wako mtakatifu ili kumaliza makosa, kukomesha dhambi, kusamehe uovu, kuleta haki ya milele, kutia mhuri maono na unabii na kupaka mafuta mahali patakatifu kabisa.

Miaka 490 iliwekwa ili
1. Kumaliza makosa
2. Kukomesha dhambi
3. Kusamehe uovu
4. Kuleta haki ya milele

Baada ya hiyo miaka 490 kuisha hayo mambo ndiyo yaliyotokea. Makosa yalimalizika, Dhambi Ilikoma, Uovu wote ulisamehewa, Haki ya milele kwa watu wote ilikuja
 
Hebu tupe andiko linalo toka ndani ya biblia yesu akisema "Mimi ni mungu"
Kwamba unataka kusema maandiko mengine yanayomtambua Yesu ni Mungu huyataki?waislamu mna matatizo sana
 
Hili ndio tatizo la makafiri mnadhani kumtukana mtume wetu ndio ushindi wenu
Haiondoi alikuwa mtume mwenye madhambi mengi sana ndio maana anasema hajui atafanyajwe ,hajui itakuwaje ndio maana aliwaachia mzigo mumswalie
 
Haiondoi alikuwa mtume mwenye madhambi mengi sana ndio maana anasema hajui atafanyajwe ,hajui itakuwaje ndio maana aliwaachia mzigo mumswalie
Thibitisha kauli yako aya ya hadith au qur an

Mtume alisamehewa dhambi zake zote na kumshwalia ni kwasababu ya mapenzi tulio nayo dhidi yake,

Yeye ni mtukufu wa daraj kuliko sisi, haingii akilini sisi ndio twahitaji zaidi kuombewa kwa mola kupitia yeye.
 
hiyo hoja ya falme za kusini na kaskazini kwenye danieli nilizisoma lakini sikuzielewa pia zime fupishwa hadi kwenye siku zile ambazo yesu atarudi ambapo siku hizo hazijafika bado lakini pia ukisoma vizuri utaona kuwa falme hizo zimetokea kwenye mgawanyo wa ufalme wa Alexandra (Greece) ambao ni ufalme ushapita kitambo alafu hapo hapo tunakuja kuona unabii huo unazungumzia kurudi kwa yesu yani siku ambazo hazijafika kwahiyo nimeshindwa kuzipangilia vizuri kwamba utawsla ulikuwa vipi kati ya kaskazini na kusini.

lakini unabii unasema falme hizo zilitokea kutoka kwa Alexandra (greece) na huyo Alexandra alichukua ufalme kutoka uyunani ( Persia) na huyo Persia alichukua ufalme kutoka babeli, ambapo falme hizi zote ziliunda dola la roma baadae ambao ni ufalme wa mwisho wa dunia kwa ushahidi ukisoma kitabu cha yohana utaona aliona mnyama mwenye viungo tofauti tofauti ambavyo ni chui, simba, dubu ambavyo kwenye danieli ni falme moja moja ambapo mnyama yule wa yohana mwenye viungo vya wanyama tofauti tofauti ni ufalme wa nne wa roma.
 
Kwamba unataka kusema maandiko mengine yanayomtambua Yesu ni Mungu huyataki?waislamu mna matatizo sana
Matatizo yako kwenu,

Kumuita kwa tafsiri ya jina lake mungu pamoja nasi.

Bado hujajibu swali langu
 
Biblia imechakachuliwa na walio bahatika kuwa nayo ile ya zamani pia wamedanganywa hawaoni hawa ielewi na ile iliyo chakachuliwa pia licha ya kuonekana kabisa kuwa ni copy and paste kila kitu mfano Quran ipo na kila kitu kutoka kwenye biblia watu pia hawaelewi wanaifuata wamechagua uongo
 
Matatizo yako kwenu,

Kumuita kwa tafsiri ya jina lake mungu pamoja nasi.

Bado hujajibu swali langu
Huwez kunipangia sasa,mm siamini biblia kipande ,naamini yote ,yaani unataka nikudokolee kipande ,ila maandiko mengine hutaki si ndio

Hizi sio Hadith
 
Leta hiyo ambayo haijachakachuliwa ,tujue wapi wamechakachukua

Ili tuache porojo na ngonjera
 
Hakika nime muuliza swali futi kashindwa kujibu
 
Huwez kunipangia sasa,mm siamini biblia kipande ,naamini yote ,yaani unataka nikudokolee kipande ,ila maandiko mengine hutaki si ndio

Hizi sio Hadith
Leta andiko linalo sema "Mimi ni mungu" awe amesema yesu mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…