Suhendra
JF-Expert Member
- Nov 25, 2023
- 1,625
- 3,307
Hiyo ambayo haija chaka chuliwa ushawahi kuisoma nikupe swalikwa hakika biblia imechakachuliwa na ile ya zamani isiyo chakachuliwa watu walio bahatika kuwa nayo pia hawaielewi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ambayo haija chaka chuliwa ushawahi kuisoma nikupe swalikwa hakika biblia imechakachuliwa na ile ya zamani isiyo chakachuliwa watu walio bahatika kuwa nayo pia hawaielewi.
Kwahiyo nikisema Mimi niko ina maana mimi ni mungu?Mimi niko" (
Hiyo ambayo haija chaka chuliwa ushawahi kuisoma nikupe swali
hebu sikia discuss na jamaa hapa maana naona hizi threads zako ni negative sana mpaka kuni tag nahitaji mtu positive asante sanaKwahiyo nikisema Mimi niko ina maana mimi ni mungu?
This is an open platform when yo bring ur idea don't think will always find someone yo are thinkin, All the best.hebu sikia discuss na jamaa hapa maana naona hizi threads zako ni negative sana mpaka kuni tag nahitaji mtu positive asante sana
Huo ni mfano.Wewe ulikuwepo before ?
Biblia mnaitafsiri kwa maneno mnayo yapenda nyie,Wewe ulikuwepo before ?
Leta andiko ndani ya biblia linalo dhibitisha umungu wa yesu.Huwez kunipangia sasa,mm siamini biblia kipande ,naamini yote ,yaani unataka nikudokolee kipande ,ila maandiko mengine hutaki si ndio
Hizi sio Hadith
Tupe ushahidi wa jina la yesu linavyo ponya.yesu kweli ni mungu sijaona giza au uongo au chochote kibaya kwenye habari zake hata jina lake linaokoa na kuponya vipi jina la Allah linaweza kuponya na kuokoa ?
Ni kweli kabisa; maana unaweza ukampokeqYesu lakini usimuishiUandishi wako uko deep sana hongera, ila kumbuka huu ni umma wa Muhammad. Ukiwa muislam, haumpotezi Yesu bali una muishi. Karibu.
Nakupa maandiko ,sio andikoLeta andiko ndani ya biblia linalo dhibitisha umungu wa yesu.