Sir Isaac Newton alivyoichambua BIBLIA

Sir Isaac Newton alivyoichambua BIBLIA

Leta andiko linalo sema "Mimi ni mungu" awe amesema yesu mwenyewe
yesu kweli ni mungu sijaona giza au uongo au chochote kibaya kwenye habari zake hata jina lake linaokoa na kuponya vipi jina la Allah linaweza kuponya na kuokoa ?
 
yesu kweli ni mungu sijaona giza au uongo au chochote kibaya kwenye habari zake hata jina lake linaokoa na kuponya vipi jina la Allah linaweza kuponya na kuokoa ?
Sasa inakuwaje mungu akasulubiwa msalabani na viumbe alie waumba mwenyewe
 
yeah biblia imechakachuliwa na hata ile ya zamani pia waliyo bahatika kubaki nayo hawaielewi kilicho andikwa
Leta ambayo ni original tufananishe

Ili tuache porojo
 
Sasa inakuwaje mungu akasulubiwa msalabani na viumbe alie waumba mwenyewe
mungu anazonguvu nyingi sana anaweza kufanya chochote na yeye sio nafsi moja kama sisi, yeye anazo nafsi tatu lakini sisi binadamu ndio tuna nafsi moja moja alafu sisi ni tumeundwa na atoms ambazo ni udongo yeye mungu sio udongo na kwasababu anazo nguvu nyingi sana naamini anaweza kuziongeza nafsi zake hata zikiwa mamia kwa mamia yeye ni alfa na omega mwanzo na mwisho.

kama mungu wako hana nafsi zaidi ya moja ni wazi huyo hana tofauti na mwanadamu, sisi ndio tuna nafsi moja lakini mungu nina nafsi tatu
 
Leta andiko linalo sema "Mimi ni mungu" awe amesema yesu mwenyewe
Yohana 8:58

"Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, kabla Abraham hajakuwapo, Mimi niko."

Kauli "Mimi niko" (Ego eimi kwa Kigiriki) inarejelea jina la Mungu alilojifunua kwa Musa katika Kutoka 3:14: "Mimi niko ambaye niko." Wayahudi walielewa kuwa Yesu anadai kuwa Mungu na wakataka kumpiga mawe (Yohana 8:59).


HAYA SWALI JINGINE
 
Yohana 8:58

"Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, kabla Abraham hajakuwapo, Mimi niko."

Kauli "Mimi niko" (Ego eimi kwa Kigiriki) inarejelea jina la Mungu alilojifunua kwa Musa katika Kutoka 3:14: "Mimi niko ambaye niko." Wayahudi walielewa kuwa Yesu anadai kuwa Mungu na wakataka kumpiga mawe (Yohana 8:59).


HAYA SWALI JINGINE
sifa ya mungu ni anaokoa mwenye nguvu hata jina lake linangunvu ukilitamka je Allah na Muhammad wanaokoa na kuponya kwa majina yao ?
 
sifa ya mungu ni anaokoa mwenye nguvu hata jina lake linangunvu ukilitamka je Allah na Muhammad wanaokoa na kuponya kwa majina yao ?
Hilo jina la Allah haliponyi hata mende
 
sasa biblia naiwekaje hapa mkuu biblia sio kotabu kimoja ni mjumuiko wa vitabu vingi sana
Haya hata mtandaoni zipo, taja hapa biblia original ni inapatikana wapi ,ili tujue hii iliyochakachuliwa ni wapi na vipengere gani vimebadilishwa

ili tuache porojo

Maana huwez kusema hii pesa ni bandia bila kuwa na original
 
Haya hata mtandaoni zipo, taja hapa biblia original ni inapatikana wapi ,ili tujue hii iliyochakachuliwa ni wapi na vipengere gani vimebadilishwa

ili tuache porojo

Maana huwez kusema hii pesa ni bandia bila kuwa na original
unafurahisha lakini pia unahuzunisha wewe ndio unasema unajua biblia na unabii je hakuna sehemu kwenye unabii inapozungumzia kubadilishwa kwa biblia ?

unaniuliza kuhusu biblia iliyochakachuliwa ni ipi unalengo la kutaka kubishana kuwa haija badilishwa au kufahamu haya ni masuala yaliyo amriwa kutokea hata unabii unazungumzia hili.
 
Muhammad ni nabii wa uongo

Mafundisho yake yanapingana na manabii wengine waliotoka Yerusalemu,Hadi kwa Yesu,

Muhammad ni nabii wa Uarabuni,ni sawa na mwamposa nabii kutoka Uyole
Imenibidi kucheka tu japo dini zote ni utapeli.
 
Imenibidi kucheka tu japo dini zote ni utapeli.
Ni heri kuamini kuwa kuna mungu kuliko kutoamini kabisa kwani unaweza kuamini alafu ukamkuta baadae lakini itakuwa ni hasara usipo amini alafu ukamkuta hivyo mtu asiye muamini mungu hana maana.
 
kwenye siku zile ambazo yesu atarudi ambapo siku hizo hazijafika bado

mgawanyo wa ufalme wa Alexandra (Greece) ambao ni ufalme ushapita kitambo alafu hapo hapo tunakuja kuona unabii huo unazungumzia kurudi kwa yesu yani siku ambazo hazijafika kwahiyo nimeshindwa kuzipangilia vizuri kwamba utawsla ulikuwa vipi kati ya kaskazini na kusini.
Tatizo unashindwa kuelewa kwa sababu hujui kama Yesu amesharudi, yaani hujui kuwa upo katika Ufalme wa Mungu.

Vitu vingine vyote kwenye kitabu cha Daniel unaona vinakubali, ila unashindwa kuelewa kwenye habari ya siku za Mwisho na kurudi Yesu.

Siku za Mwwisho zilishapita tupo katika Ufalme wa Mungu

Luka 17:20-21 TKU
[20] Baadhi ya Mafarisayo walimuuliza Yesu, “Ufalme wa Mungu utakuja lini?” Yesu akajibu, “Kuja kwa ufalme wa Mungu si kitu unachoweza kuona. [21] Watu hawatasema, ‘Tazama ufalme wa Mungu uko hapa’ au ‘Ule pale!’ Hapana, Ufalme wa Mungu upo hapa pamoja nanyi.”
 
Tatizo unashindwa kuelewa kwa sababu hujui kama Yesu amesharudi, yaani hujui kuwa upo katika Ufalme wa Mungu.

Vitu vingine vyote kwenye kitabu cha Daniel unaona vinakubali, ila unashindwa kuelewa kwenye habari ya siku za Mwisho na kurudi Yesu.

Siku za Mwwisho zilishapita tupo katika Ufalme wa Mungu

Luka 17:20-21 TKU
[20] Baadhi ya Mafarisayo walimuuliza Yesu, “Ufalme wa Mungu utakuja lini?” Yesu akajibu, “Kuja kwa ufalme wa Mungu si kitu unachoweza kuona. [21] Watu hawatasema, ‘Tazama ufalme wa Mungu uko hapa’ au ‘Ule pale!’ Hapana, Ufalme wa Mungu upo hapa pamoja nanyi.”
kwa hakika biblia imechakachuliwa na ile ya zamani isiyo chakachuliwa watu walio bahatika kuwa nayo pia hawaielewi.
 
kama mungu wako hana nafsi zaidi ya moja ni wazi huyo hana tofauti na mwanadamu, sisi ndio tuna nafsi moja lakini mungu nina nafsi tatu
Allah sio tu kuwa na nafsi zaidi ya moja hajazaa wala kuzaliwa na hafanani na kitu chochote katika ulimwengu huu.
 
Back
Top Bottom