Siri ambayo wanaume wengi hawaijui kuhusu wanawake

Siri ambayo wanaume wengi hawaijui kuhusu wanawake

Habari!

Kuna mambo hayabadiliki na hayataweza kubadilika karne na karne. Labda binadamu sisi tuliopo tuondoke duniani na kuja kizazi kingine.

Jambo ambalo wanaume wengi hawalijui ni kwamba " wanaume hawachepuki, hawacheat na hawapaswi kusalitiwa na mwanamke"
Suala la mwanaume kuwa na mke au mpenzi mmoja ni maamuzi yake binafsi ambayo yatachochewa na aina ya elimu aliyonayo, dini au utamaduni wake.

Ila ikitokea mwanaume ameamua kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja basi ijulikane kuwa hakuna mwanamke mwenye mamlaka ya kumkaripia au kumshitaki kwa uamuzi wake huo.

Na ikitokea wewe mwanaume umeingia kwenye mgogoro wa kifamilia eti kisa una mchepuko sijui, sijui umeoa mke wa pili basi wewe mwanaume ni dhaifu, dhaifu, dhaifu wa kiwango cha kimataifa.

Karibu mila na tamaduni zote duniani zinampa nguvu mwanaume ya kumiliki mwanamkee zaidi ya mmoja. Dini karibu zote zinampa mamlaka mwanaume kuwa na mke zaidi ya mmoja.

Nyuma ya shilingi. Mwanamke hapaswi kuwa na mwanaume zaidi ya mmoja. Na ikitokea umepata viashiria vya usaliti huyo ni wa kumfukuza within a minute.

Huu wivu ambao wadada wanauonyesha ni fake na wanatuigizia. Hakuna uchungu mwanamke anaupata anapojua kuwa umekunywa maji ugenini.
Baada ya kuoa kuna mambo niliamua kuyafanya makusudi ili nipime muelekeo wa mke wangu, nilichakata sana nje ila nilikuwa nahakikisha napata pisi kali sana, pia nilichelewa sana kurudi home.

Mwanzo alipata shida sana kunielewa maana hakuamini niliyokuwa nayafanya, kikweli aliumia sana lakini nilishikilia hapo hapo, taratibu alianza kuelewa kuwa wanaume hawezi kuwaacha kuwa na mchepuko alisema naomba usinionyeshe wewe fanya huko huko...nikajua hapa tayari nimesha muwin.
 
Tukidabwa tukachomwa visu,kupigwa koreo la mdomo au kuchomwa moto unafikiri jamaa atakuwepo kututetea..?

Mkuu swala la sisi wanaume kuwa na mwanamke mwengine linategemea sana na utashi wa mtu na pia ndio zoezi linalotakiwa umakini mkubwa!.. zipo familia zinakosa amani kisa mzee kapata mwanamke mwengine,zinaanza Vita za kurogana kukwaruzana n.k

Hii pia huwaathiri watoto katika makuzi yao!. We sheherekea tu kuwa na mwanamke mwengine ila jua hata wewe unakuwa hatarini tena hususani sikuhizi wanawake wengi wapili wanakuja baada ya kukuta umeshatengemaa kiuchumi,Sasa nae huko alipotoka kashapigwa na vitu kwenye moyo wake anachowaza ni mali!.

Kama utafanya hili zoezi hakikisha unakuwa na akili timamu sio uchague kuwa na mwanamke wa pili kisa unauchumi mzuri tu ndugu utaliwa kichwa!

Kuna muhindi huko anahangaika kumtoa binti wa kibongo kwenye moyo wake keshaingia mgogoro na familia yake mpaka mwenyewe kajishitukia anatafuta sangoma amtibie..😂

Moto wa mtu nikichaka mtu wako wa Kwanza atakapojua kuwa unamtu mwengine sijui unapataje hata usingizi wa kulalanae kitanda kimoja na akakupikia na ukafeel good tu!,ukisokomezwa jisu la bichwa je..😂
Mtasema mi muoga.

Better be careful than typing here "yes I support" yes you support but she's going to support you too..😂
 
Wanawake wanajisikia uchungu zaidi wakisikia unatoa pesa nje kuliko wakisikia una-cheat nje.

Kuhusu maumivu nao wanayahisi kwa kiwango cha juu ingawaje maumivu tuyapatayao wanaume ni makali maradufu

Ndio maana ni ngumu Sana mwanamke kunywa sumu kisa mapenzi au kujiua kisa Mapenzi. Lakini Sisi wanaume ndio tunaongoza
 
Habari!

Kuna mambo hayabadiliki na hayataweza kubadilika karne na karne. Labda binadamu sisi tuliopo tuondoke duniani na kuja kizazi kingine.

Jambo ambalo wanaume wengi hawalijui ni kwamba " wanaume hawachepuki, hawacheat na hawapaswi kusalitiwa na mwanamke"
Suala la mwanaume kuwa na mke au mpenzi mmoja ni maamuzi yake binafsi ambayo yatachochewa na aina ya elimu aliyonayo, dini au utamaduni wake.

Ila ikitokea mwanaume ameamua kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja basi ijulikane kuwa hakuna mwanamke mwenye mamlaka ya kumkaripia au kumshitaki kwa uamuzi wake huo.

Na ikitokea wewe mwanaume umeingia kwenye mgogoro wa kifamilia eti kisa una mchepuko sijui, sijui umeoa mke wa pili basi wewe mwanaume ni dhaifu, dhaifu, dhaifu wa kiwango cha kimataifa.

Karibu mila na tamaduni zote duniani zinampa nguvu mwanaume ya kumiliki mwanamkee zaidi ya mmoja. Dini karibu zote zinampa mamlaka mwanaume kuwa na mke zaidi ya mmoja.

Nyuma ya shilingi. Mwanamke hapaswi kuwa na mwanaume zaidi ya mmoja. Na ikitokea umepata viashiria vya usaliti huyo ni wa kumfukuza within a minute.

Huu wivu ambao wadada wanauonyesha ni fake na wanatuigizia. Hakuna uchungu mwanamke anaupata anapojua kuwa umekunywa maji ugenini.
Kosa ni hapa,unapoanza uhusiano na huyo mwanamke unamuahidi kuwa atakuwa peke yake na hutaoa mwanamke mwingine,ila mbele ya safari unakuja kubadili gear eti unataka kuongeza mwanamke mwingine au unachepuka halafu unasema ni halali,hapa lazima patakuwa na mgogoro kwakuwa umekiuka makubaliano,ni heri tokea pale unapolialia kuwa umempenda umwambie wazi kuwa mimi uhusiano wetu nitaongeza mwanamke huko mbele ya safari au kuna nyakati nitakuwa na wanawake wa pembeni hivyo tusiwe tunaingiliana,hapo hata ikitokea umelianzisha hakutakuwa na shida,kinyume cha hapo lazima uitwe mchepukaji,unacheat na msaliti,huwezi kukwepa hilo...
 
Wanawake wanajisikia uchungu zaidi wakisikia unatoa pesa nje kuliko wakisikia una-cheat nje.

Kuhusu maumivu nao wanayahisi kwa kiwango cha juu ingawaje maumivu tuyapatayao wanaume
Hapo sawa.
Sema kinachowaumiza ni pesa tunayohonga.
 
Kwahiyo ni sahihi tu mwanamke aliyeolewa kutoa mzigo nje ya ndoa kwakuwa naye ni binadamu?
 
Why sasa umeumia dogo kumla dame wako uliekuwa na malengo nae?
Wala sijaumia,Wana JF walinishauri nikauchukua ushauri wao nikaufanyia kazi tumeyamaliza Sasa.
Sina nongwa nao tena
 
Kwa nini unasema kwamba hakuna uchungu mwanamke anaupata pindi anapogundua kuwa kasalitiwa? kwani yeye hana moyo? uchungu unaoupata wewe pindi unapogundua kuwa mwanamke amekusaliti na yeye ndio huohuo hupata pindi anapogundua kuwa umemsaliti.

Tena wengine hulia tu bila kusema lolote kwa waume zao, huishia kuumia ndani kwa ndani na ogopa sana kumuumiza mwanamke siku akiamua kukuumiza na wewe ni hatari sana na hasa pale upendo wa mwanzo unapokuwa umeisha kabisa.
Hamna lolote nyie wanawake mnatutisha tu eti ogopa sana akiamua kulipiza, kwani atafanya jambo gani litalokuwa jipya chini ya jua
 
Back
Top Bottom