Siri iliyofichwa kuhusu BIBLIA

Siri iliyofichwa kuhusu BIBLIA

Wakristo wana vitu vingi hawavijui...mfano suala la roho mtakatifu nashangaa hapo watu wakihojiwa wanasema isome bible kwa uwez wa roho mtakatifu inamaana bible inatakiwa isomwe na walio amin tu sasa nini maana ya neno la Mungu na huyo roho mtakatifu ni nani anafanyaje kazi?....Yesu alisema kwemye yohana 12-14 nina mengi ya kuwa eleza ila hamuwezi kunielewa sasa ila yeye roho mtakatifu atakapo kuja atawaelekeza kwenye kweki yote na atanitukuza mimi..!

Ila ukiwauliza wakristo yesu alisema ana mengi ya kusema ila hamuwez kumuelewa ila huyo atakae kuja ambae wakristo wote wamekubaliana ni roho mtakatifu kuwa atakuja kuwalekeza mengi ambayo hakuyasema yesu...muulize mkristo yoyote jambo gani jipya kawafundisha roho mtakatifu tangu aondoke yesu miaka 2000 iliyopita... Au huyo roho mtakarifu ndio mnaishi nae kwa hisia bila ushahid kuwa anawaongoza na kuanza kuongea lugha za ajabu na kujiongopea eti una nena kwa lugha..na ukisoma maandiko roho mtakatifu alikuwepo hata kabla ya yesu na alikuwepo na yesu kumsadia kazi zake kama ambavyo alifanya na manabii wengine..ukisoma maandiko roho mtakatifu alikuwepo kwenye tumbo la elizabet mariamu alipomuambia ana ujauzito,na pia yesu alifukuza mapepo kwa uwez wa roho mtakatifu....

Lakin pia kwenye maandiko yesu amasema ni bora kwenu mimi nikiondoka kwa nisipoondoka msaidiz hatokuja ( ambaye wakristo mnasema ni roho mtakatifu) yaana sharti la huyo roho mtakatifu kuja ni yesu kuondoka...lakin ukisoma maandiko kama nilivyo onesha hapo juu roho mtakatifu alikuwepo.!


Hebu niambie kwenu nyie wakristo roho mtakatifu ni nani na anafanyaje kazi...maama mmatuchanganya mkiombwa ufafanuzi mnakimbilia kusema umuombe roho mtakatifu akushukie usome biblia na wakati houo biblia hata Yesu mwenyewe haijui hajawai kuiona wala kuitamka ilikuja miaka 300 baada ya yeye kuondoka dunian ina uhusiano gani roho mrakatifu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu yangu ume fail tena Sana tu! Wewe mwenyew unashuhudia na kusoma kuwa Hao jamaa Walioambiwa Roho mt': Atawaelekeza katik kweli na kuwakumbusha yote Aliyoyafundsha Yesu ....sasa injli iliyoandikwa na Mathayo unapoambiwa imevuviwa na Roho Mt: Hua inamaanisha nn kwa akili zako.?

Kama sio kutimiza jukumu lake la kukumbusha alyoyafundsha Yesu?(Au Pale Paulo anapoifafanua injili huwa unaelewa nini kamasio KUWAELEKEZA WATU KWENYE KWEL?? (Jamani mbona mnasikitsha Ivo? Nimewashauri muiache Biblia kma ilivyo hiyo husomwa na watu waliondani ya kristo tu
 
Ndugu yangu ume fail tena Sana tu! Wewe mwenyew unashuhudia na kusoma kuwa Hao jamaa Walioambiwa Roho mt': Atawaelekeza katik kweli na kuwakumbusha yote Aliyoyafundsha Yesu ....sasa injli iliyoandikwa na Mathayo unapoambiwa imevuviwa na Roho Mt: Hua inamaanisha nn kwa akili zako.?Kama sio kutimiza jukumu lake la kukumbusha alyoyafundsha Yesu?(Au Pale Paulo anapoifafanua injili huwa unaelewa nini kamasio KUWAELEKEZA WATU KWENYE KWEL?? (Jamani mbona mnasikitsha Ivo? Nimewashauri muiache Biblia kma ilivyo hiyo husomwa na watu waliondani ya kristo tu
Una ushahid gani wa wa hao watu kuteremkiwa na rohi mtakatifu so mtu yoyote akisema kashukiwa na roho mtakatifu kama hawa manabii je tuwaamnin?

Rejea maandiko Yesu anasema nina MENGI YA KUWAELEZA ILA HAMUWEZI KUYAELEWA SASA....mengi maana yake zaid ya moja maaba yakw hayapo katika alichofundisha before na pia akasema atawaongoza kwenye kweli yote ...Yote maana yake zaid kitu kimoja tena hebu tujiulize kwanza huyo roho mtakatifu ni nani kimaumbile na kimamlaka? Pili jambo gani alilotaka kusema yesu ambayo wangeshindwa kumuelewa ambayo roh mtakatifu kawaambia yesu kasema Mengi...ila mi nataka moja tu...maama kusema kuna watu waliteremkiwa na roho mtakatifu ni jambo ambalo halina ushahidi wa kimaandiko wala kimantiki hata wewe unaweza kusema umeshukiwa na roho mtakatifu kwa ushahid upi? Zip dalili?..

Itakuwa rahisi kwenu kutetea hoja yenu kama mtatuambia roho mtakatifu ni mtu au ni malaika ama ni nani naona hili mnalikwepa mnaruka ruka tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una ushahid gani wa wa hao watu kuteremkiwa na rohi mtakatifu so mtu yoyote akisema kashukiwa na roho mtakatifu kama hawa manabii je tuwaamnin?

Rejea maandiko Yesu anasema nina MENGI YA KUWAELEZA ILA HAMUWEZI KUYAELEWA SASA....mengi maana yake zaid ya moja maaba yakw hayapo katika alichofundisha before na pia akasema atawaongoza kwenye kweli yote ...Yote maana yake zaid kitu kimoja tena hebu tujiulize kwanza huyo roho mtakatifu ni nani kimaumbile na kimamlaka? Pili jambo gani alilotaka kusema yesu ambayo wangeshindwa kumuelewa ambayo roh mtakatifu kawaambia yesu kasema Mengi...ila mi nataka moja tu...maama kusema kuna watu waliteremkiwa na roho mtakatifu ni jambo ambalo halina ushahidi wa kimaandiko wala kimantiki hata wewe unaweza kusema umeshukiwa na roho mtakatifu kwa ushahid upi? Zip dalili?..

Itakuwa rahisi kwenu kutetea hoja yenu kama mtatuambia roho mtakatifu ni mtu au ni malaika ama ni nani naona hili mnalikwepa mnaruka ruka tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahaha Acha nicheke niendelee kupiga zangu Fegi Msokoto, humu kuna vituko sana asee: ( siku ya Pentecoster Ndio siku rasmi alioshuka Roho Mt: Kulikuza kanisa la kristo kuanzia hapo ndipo kweli ilianza kuhubiriwa.(? Yaani umesoma hapoo hujaona Mstari huuu?
(Yoh 14:17)? Inavomtambulisha kuwa haonekani?? (pia Yesu alipokuwa anawapa tena ahadi ya kuja kwa Roho aliwaambia suburin humu mpewe ule uweza utokao mbinguni( luka 24:49) JE! NGUVU HUONEKANA?

Acheni Kuhoji vitu kwa kuvipinga badala ya kuhoji kwa vijua Na kamwe Biblia huwez kuielewa bila kumpokea Yesu Ili upewe ule uweza utokao juu:

Acha Kuhoji au kusoma vitabu ambavyo vinahitaji kanuni ambazo wewe huwez kuzifuata......
 
Hahahahahaha Acha nicheke niendelee kupiga zangu Fegi Msokoto, humu kuna vituko sana asee: ( siku ya Pentecoster Ndio siku rasmi alioshuka Roho Mt: Kulikuza kanisa la kristo kuanzia hapo ndipo kweli ilianza kuhubiriwa.(? Yaani umesoma hapoo hujaona Mstari huuu??(Yoh 14:17)? Inavomtambulisha kuwa haonekani?? (pia Yesu alipokuwa anawapa tena ahadi ya kuja kwa Roho aliwaambia suburin humu mpewe ule uweza utokao mbinguni( luka 24:49) JE! NGUVU HUONEKANA?? Acheni Kuhoji vitu kwa kuvipinga badala ya kuhoji kwa vijua Na kamwe Biblia huwez kuielewa bila kumpokea Yesu Ili upewe ule uweza utokao juu:

Acha Kuhoji au kusoma vitabu ambavyo vinahitaji kanuni ambazo wewe huwez kuzifuata......
Wakati unacheka ukumbuke kujichekesha rohi mtakatufu alikuwepo hata kabla ya yesu soma

luka 1:41
When Elizabeth heard Mary's greeting, the baby leaped in her womb, and Elizabeth was filled with the Holy Spirit.

Pili yesu alifukuza mapepo kwa uwezo wa roho mtakatifu anasema mwenyewe matayo 12:28


But if I cast out devils by the Spirit of God, then the kingdom of God is come unto you.

Na pia aliwatuma wanafunz wake wakasambaze unjili kwa msaada wa roho mtakatifu..!


Sasa.ukisema ameshuka kutoka wapi na wakati alikuwepo kabla na alikuwa kipindi chote au kuja roho mtakatifu mwingine..!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati unacheka ukumbuke kujichekesha rohi mtakatufu alikuwepo hata kabla ya yesu soma

luka 1:41
When Elizabeth heard Mary's greeting, the baby leaped in her womb, and Elizabeth was filled with the Holy Spirit.

Pili yesu alifukuza mapepo kwa uwezo wa roho mtakatifu anasema mwenyewe matayo 12:28


But if I cast out devils by the Spirit of God, then the kingdom of God is come unto you.

Na pia aliwatuma wanafunz wake wakasambaze unjili kwa msaada wa roho mtakatifu..!


Sasa.ukisema ameshuka kutoka wapi na wakati alikuwepo kabla na alikuwa kipindi chote au kuja roho mtakatifu mwingine..!

Sent using Jamii Forums mobile app
😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆 kasome Matendo 2:17). Japo najua huna Wew Sio Mkristo na niyayokufundsha hayakuhusu ila kama unaupana wa akili utaelewa huo mstari na utakufungua.
 
Mnachanganya sana na roho mtakatiffu ngojencniwape shule roho mtakatifu ni malaika Gabriel ambaue jukumu lake ni kushusha ufunuo kwa mitume wote yeye ndio link kati ya Mungu na wanadamu na amefanyabkqzi hiyo na mitume wote kuanzia Noah had Muhhamad...baada ya kanisa la roma kuanzisha ukristo(ukweli ambao hampend kuusikia) walipachika iman yao ya Tamuzi ambayo ilikuwa inaamin kwenye utatu hata kama ya kuja Yesu waliamua kuuteka ukristo na kuwauwa wanafunzi wa Yesu walikuwa anapigania dini ya Mungu mmoja ili wayapachike haya na vitu tunavyo viongea sio vya kutunga kanisa katolik had leo wanatumia kalenda ya tamuzi sijui ka.ewahi kujiuliza tamuzi ni nini?

Somen sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Punguza jazba mkuu.. Bado maneno yako ni mepesi sana kwa mtu anayedoubt uwepo wa Mungu..

Huyo Yesu au Mungu wa Ibrahim umashuhuri, ufuasi na kukubalika kwake haujazi hata nusu ya dunia ukilinganisha na ilivyo kwa miungu ya bara la Asia pekee..

Kampeni zaidi inahitajika..
Mkuu mimi huwa napuuzia kujibu maswali ya watu wengine sababu wanauliza maswali ya KIJINGA sana. Watu wasioutambua UWEZO wa MUNGU, hao ni wa kuwaacha tu maswali yao ya kijinga jinga.

Mtu anayeuliza swali kama hilo hatambui uwezo wa MUNGU. Hiyo Sayansi anayoizungumzia imewekwa na MUNGU mwenyewe, sisi tumejifunza kile alichokifanya MUNGU kisha tunajiita "Wanasayansi", na kujiona bora kuliko yeye ALIYEUMBA!

Kazi ya uumbaji aliyoifanya BWANA MUNGU ndiyo hiyo wanayojifunza hao wanaojiita "wanasayansi" na mpaka sasa wamejua asilimia 0.99% na kujiona wamepiga maendeleo makubwa wakati bado kuna mengi sana hawayajui na kamwe hawatajua mpaka siku YESU atakaporudi.

  • Mfano, bahari; mpaka leo hii kuna vitu vingi sana vimo baharini na havijulikani.
  • Angani kuna sayari na nyota ambazo hazijulikani.
  • Mwili wa mwanadamu una mengi sana ambayo bado ni fumbo kwa hao wanasayansi.
  • Bara la Antakitika bado ni fumbo kwa wanasayansi.
  • kuna mengi sana ambayo mpaka kesho wanasayansi wanahangaika kuyajua na bado hawajui kitu.
Ifike mahali tukubali kuwa MUNGU yupo na hawezi kulinganishwa na kitu chochote kile, ifike mahali tumpe heshima yake anayostahili BWANA MUNGU.
 
"Judaism has as its holy book the Hebraic Bible.This differs from the Old Testament of
the Christians in that the latter have included several books which did not exist in Hebrew.
In practice, this divergence hardly makes any difference to the doctrine. Judaism does not however admit any revelation subsequent to its own.Christianity has taken the Hebraic Bible for itself and added a few supplements to it. It has not however accepted all the published writings destined to make known to men the Mission of Jesus.

The Church has made incisive cuts in the profusion of books relating the life and teachings of Jesus. It has only preserved a limited number of writings in the New Testament, the most important of which are the four Canonic Gospels. Christianity takes no account of any revelation subsequent to Jesus and his Apostles.

It therefore rules out the Qur'an. The Qur'anic Revelation appeared six centuries after Jesus. It resumes numerous data found in the Hebraic Bible and the Gospels since it quotes very frequently from the 'Torah'[1] and the 'Gospels.' The Qur'an directs all Muslims to believe in the Scriptures that precede it (Sura 4, verse 136). It stresses the important position occupied in the Revelation by God's emissaries, such as Noah, Abraham, Moses, the Prophets and Jesus, to whom they allocate a special position. His birth is described in the Qur'an, and likewise in the Gospels, as a supernatural event."
 
kulikuwa hakuna haja ya kejeli na dharau, unaweza kuwa na hoja ukaileta wote tujifunze bila vitisho.Anyway kwa kuwa utakuja na majibu basi usisahau yafuatayo

Nategemea utakuja na ushahidi kuwa Isaya,wakolosai na nyinginezo ziliandikwa wakati mmoja na sura zingine maana unasema napotosha wakati wanatheolojia wengi wanakubaliana kuwa kuna utata kwenye issue ya waandishi na muda uliotumika kuandaa kitabu husika

pia nategemea uje na jina la alieandika kitabu cha waebrania

Pia uje na ushahidi kuwa source ya KJV ni ya zamani zaidi kuliko NIV na version zingine

Pia uje na taarifa kwanini biblia inaquote Pseudipigrapha zingine kma book of jasher na book of enoch ila kwenye biblia haviwekwi

Pia utanisaidia kwanini baadhi ya taarifa kwenye biblia zinakinzana ama misplaced iwe KJV au NIV....

Ntashukuru kwa hayo
Shukrani kwa bandiko lako..!! kkuu hivo vitabu vya jasher na enoch vimetajwa kwenye mistari gani ya biblia, nisaidie andiko mkuu
 
Shukrani kwa bandiko lako..!! kkuu hivo vitabu vya jasher na enoch vimetajwa kwenye mistari gani ya biblia, nisaidie andiko mkuu
Book of jasher kimetajwa mara 3 kwenye biblia na mara mbili agano la kale kama ifuatavyo

Joshua 10:13

Hayo, je! Hayakuandikwa ndani ya kitabu cha Yashari? Basi jua likasimama kimya katikati ya mbingu, wala halikufanya haraka kuchwa kama muda wa siku nzima.

2 samueli 1:18
18 (kama ilivyoandikwa katika kitabu cha Yashari), akasema,Wana wa Yuda na wafundishwe haya

Kuhusu kitabu cha Enoko sio tu Yuda kaongelea kitabu chake bali kacopy na kupaste mstari kutoka kitabu cha Enoko

Yuda 1:14-15
14 Na Henoko, mtu wa saba baada ya Adamu, alitoa maneno ya unabii juu ya hao, akisema, Angalia, Bwana alikuja na watakatifu wake, maelfu maelfu,
15 ili afanye hukumu juu ya watu wote, na kuwaadhibisha wote wasiomcha Mungu, kwa ajili ya kazi zao zote za upotevu walizozitenda bila kumcha Mungu, na kwa ajili ya maneno magumu yote ambayo hao wenye dhambi wasiomcha Mungu wameyanena juu yake

Kwa English
1:14 And Enoch also, the seventh from Adam, prophesied of these, saying, Behold, the Lord cometh with ten thousands of his saints,
15 To execute judgment upon all, and to convince all that are ungodly among them of all their ungodly deeds which they have ungodly committed, and of all their hard speeches which ungodly sinners have spoken against him.

Book of ENOCH ambacho Yuda kacopy na kupaste inasema hivi

1.9 And behold! He comes with ten
thousand Holy Ones; to execute
judgment upon them and to destroy the
impious, and to contend with all flesh
concerning everything that the sinners
and the impious have done and wrought
against Him.

So unaweza ona Biblia imetambua hivi vitabu ingawa kuna watu leo hii utasikia wanasema hivi vitabu ni vya kishetani ndio maana vimeachwa!! Na sio hivi tu mkuu kuna apocrypha zaidi ya 50 ambazo biblia inazitambua ingawa vitabu hivyo kwenye biblia havijawekwa ila cha kushangaza ukivijengea hoja humu JF wanasema ni vya kishetani ndio maana havitambuliki

I hope nimejibu swali lako vizuri
 
Habari za jioni wana JF mada ya leo pia ni sensitive kidogo maana inagusa imani za watu ila kutokana na kuwepo hitaji la kuweka rekodi sawa nimeona nilete uzi huu ili tujifunze zaidi. Na sababu kubwa ya kuleta uzi huu ni kutokana na mada nazoleta humu nyingi zinatumia pia vitabu nje ya biblia kama source ya taarifa na kumekuwa na wengi wanaokuja na hoja kwamba chochote kilicho nje ya biblia sio kweli yaani quran,midrash,tanakh/torah,zohar,apocrypha,Pseudipigrapha zote ni batili sasa ni kutokana na hoja hiyo imenipelekea kuandaa uzi huu hivyo tuusome kwa makini na tuujadili kwa ustaarabu tu yote kwa yote kujifunza. Nitaugawa uzi huu kwa sehemu mbili ili iwe rahisi kuusoma na ningependa kabla ya kuchangia uusome wote na kuuelewa. Karibuni
View attachment 830330

UTANGULIZI
1. Biblia ni mjumuiko wa vitabu vya manabii walivyoandika kuhifadhi matukio katika historia ya imani yao kwa Mungu na ilikusanywa katika karne ya 3 baada ya Yesu baada ya kuonekana vitabu vya kiimani viko vingi vinakinzana hivyo wakaamua wawe na kitabu kimoja cha kutumika na wote na ilikuwa katika kigiriki na kiebrania. Baada ya karne zaidi ya 10 kupita biblia ya mapema kabisa kutafsiriwa kuingia kwenye kilatin iliyokuwa lugha ya Roma, ilikuwa ''vulgate'' iliyotoholewa kutoka kiebrania na kigiriki kwenda kilatin na padre Jerome karne ya 14 ila tafsiri ya kiingereza ilikuwa king james version karne ya 15 ambayo hata biblia za kiswahili na lugha zingine maelfu zimetoholewa hapo na ambacho wengi hatujui ni kwamba vitabu ambavyo leo tunaviita apocrypha vilikuwepo kwenye KJV ya kwanza ila mataifa mengi yalipotafsiri hayakuvijumuisha hivyo vitabu 14!!! Na leo hii ukivitumia humu JF kujenga hoja utaambiwa ni vya kishetani wakati biblia ya kwanza ya english iliviweka??

Miaka mingi ikapita ndipo yakaja matoleo mengine tofauti ila kwa karne hii biblia inayotambulika kutumika dunia nzima ni NIV yaani New International Version ya 1973, ambayo ilikuja kufanya utafiti na kutumia vyanzo mbalimbali vya nyuma zaidi na kutengeneza tafsiri yake na muhimu hapa tufahamu NIV iligundua makosa kwenye KJV na ikafuta mistari hiyo kwa kigezo kwamba mistari hiyo haikuwepo kwenye vyanzo vya mwanzo ikimaanisha viliongezwa baadae sana. Baadhi ya mistari ilioongezwa na ambayo NIV imeifuta ama kutoitambua Ni Marko 11:26, 15:28,9:44,9:46 Mathayo 23:14,18:11,17:21, Luka 17:36 Yohana 5:3-4, Matendo 8:37 n.k kwa uchache wake ila mingi zaidi iligundulika haikuepo kwenye vyanzo vya mwanzoni kabisa na kwamba vimeongezwa kinyemela.

Simply ikimaanisha biblia ya kiswahili tunayotumia hii ya chama cha biblia iliyotokana na KJV tumepotoshwa?? Je wakristo tumeambiwa haya kanisani?

Je nani mkweli kati ya KJV na NIV??
View attachment 830331
VITABU VILIVYOPUNGUZWA
Baada ya biblia ya nwanzoni kabisa ya kilatin kuwa na vitabu zaidi ya 76 na version zingine hadi 84 kuna vitabu vilitolewa na kina Jerome kwa sababu mbalimbali ikiwemo kughushiwa majina, kutovuviwa na Roho mtakatifu, kukinzana na vitabu vingine vya Biblia,kuandikwa na manabii wa uongo,utata wa maandiko n.k na vitabu hivyo ni kama 4 Maccabees, Assumption of Moses, Ethiopic Book of Enoch (1 Enoch), Slavonic Second Book of Enoch,Book of Jubilees,3 Baruch, Letter of Aristeas,Life of Adam and Eve, Ascension of Isaiah, Psalms of Solomon, Sibylline Oracles, 2 Baruch,Testaments of the Twelve Patriarchs na vinginevyo na hii ndio kitovu cha uzi huu embu basi tuchambue kwa pamoja.
View attachment 830333

TATIZO LA UANDISHI
Kuna hoja zilitolewa kwamba hivi vitabu vilivyoachwa kwenye biblia yaani Pseudipigrapha na Apocrypha mfano book of enoch, Book of Adam & Eve n.k kwamba vilitolewa kwenye biblia sababu kuna utata juu ya waandishi na kwamba kurasa zingine ziliongezwa baadae.... Ila leo hii wanatheolojia wote duniani wanakubali kuwa biblia bado ina pseudipigraphi nyingi mfano Isaya iliandikwa karne 8 kabla ya kristo yaani sura 1-39, ila kipande kuanzia sura 40-55 iliandikwa na mtu ambaye hajatambuliwa mpaka leo huko babeli na sura 56 mpaka 66 imegundulika na wanatheolojia dunia nzima kuwa ziliongezwa baadae yaani miaka mia kadhaa tokea isaya akiandike!!!

Hata jeremia kuanzia sura ya 26 iliongezwa miaka mamia baadae!! Hivyo swali la kujiuliza kwanini basi vitabu vingine vilitolewa kwa hoja hii ilihali biblia bado ina vitabu vyenye kasoro zilezile?? Mfano mingine ni waebrania, Wimbo ulio bora vyote vina utata wa uandishi na mikono zaidi ya miwili imehusika kwa gap la miaka zaidi ya 100!! Je sababu ya kupunguza vitabu vingine kwa kisingizio hiki ni halali au kuna mengine tunafichwa???

cc
mgen,

2013
 
Ndio maana kwenye Qur'an huwezi kuona makosa mengi kama kwenye biblia ambayo ni ya wazi sana kwenye agano jipya,, najiuliza tu kwanini waislam hawana agano jipya inamaana wao hawakuwa na agano before?
Quran ni kitabu kimoja kinachoelezea mambo ya miaka kumi au zama moja kama sijakosea wakati biblia ni zaidi ya vitabu sabini vinavyo cover zaidi ya karne mia na zaidi.Kinaelezea nyakati na zama nyingi sana na matukio mengi yanayoendana na mabadiliko mbalimbali ya kiteknolojia.Kama kitabu cha zama moja kina makosa ya kisayansi na kibaiolojia itakuwa cha zama nyingi?

Kama kitabu cha zama nyingi kina uvuvio wa shetani kwa maana ya some satanic verses itakuwa cha karne zaidi ya mia? Yote yaliyoandikwa na misaafu hii itoshe tu kutuongoza kuwa watu wema na kuachana na maovu. Hili la kuchambua makosa halitatusaidia sana siku ya qiyama
 
Wizi mtupu" uwongo mwingi" mnooo" kuna jamaa yangu mmoja majuzi aliniambia eti Muhammad alikuwa na miujiza hakuwahi kuwa na kivuli" Aisee ilibaki kidogo nimzabe makofi" ila bahati yake tulikuwa tuna chat watsaap"" yaani mtu amedanganywa" Kama chizi kiasi kile
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Aiseeeeeeee
 
Back
Top Bottom