Siri iliyofichwa kuhusu BIBLIA

Well narrated
 
Good point, tusomeni dini zeta kwa umakini kama vile tunavyo fuatilia soccer sio kukaa na kuskiliza tu.
 
Sasa ndugu wewe unataka kilichoandikwa na Mathayo kifanane na Yohana. Umeshaambiwa hii ni injili ya Mathayo na hii ni ya Yohana kwa hiyo ni watu 2 tofauti.

Ebu tuwekee Kitabu cha Daniel kinavyokizana na Kitabu cha Ufunuo kama utapata mstali wakati hivi ndo vitabu vigumu sana
 
Na ndio maana nikaleta hii thread humu JF sababu kama ww unaona Yohana kukinzana na mathayo sio dili kisa waandishi kutofautiana mbona Book of Enoch au jasher kukinzana na Genesis hiyo hoja ya kwamba waandishi ni tofauti hivyo vitabu lazima vikinzane haikutolewa??

Alafu kingine ni kwamba vitabu vingi vya new testament vilinakili maandiko ya agano jipya na sometimes hata kuinterprete mambo kivyao ilimradi tu kuonesha unabii ulitimia hivyo kukinzana ni kidogo sana ila ukilinganisha old testament kwa old testament au new testament vs new testament kuna mistari zaidi ya 200 inakinzana

Sasa cha kujiuliza kama kuna baadhi ya taarifa zinakinzana mbona vimeachwa kwenye bible alafu sababu hyo ya kukinzana inatumika kwa book of Enoch??

Hapa ndio mzizi wa hoja
 
Bible ndo constitution pamoja na mpungufu yake ukiifuata naamini utaingia kwenye ufalme wa milele
Yes ni kweli unachosema ila sasa swali linabaki kwanini vitabu vingine viliachwa kwa sababu vinakinzana alafu vitabu vingine vinavyokinzana vikabakizwa kwa bible??

Hapa ndio mzizi
 
Safi ....nilikuwa nawaza hivi pia
 
Mimi binafsi Naamini kuwa Biblia ni kitabu kitakatifu kwa sababu yaliyoandikwa kwenye bible tunayishi na tunayaona na yanatongoza kwenye maisha yetuu.
Kabla dini haijaingia Africa mababu zetu walikuwa wanaongozwa na Nini na kukiishi ?

Hatuhitaji biblia Wala Quran kutuongoza kuishi ...
Mtoto anapozaliwa na mama kumuwekea nyonyo anyonye kile kitendo Cha kufyonza maziwa Yale hafundishwi na yeyote
It's all about nature
 
Nilikuwa nasubiri mtu agusie hapa kidogo .....Asante kwa kuliona hili mkuu ....
Na kila mtu arudi kwenye asili na tamaduni za mababu zake tu ...
 
Swali jingine tujiulize kwanini vimeondolewa kama biblia ni kitabu tu cha story au sio kitakatifu km wasemavyo wengine?biblia ina siri gani ambayo walitoa hawataki tujue....
 
Ndio mnapokimbiliaga hapa

Story ya adamu na Eva Kuna manabii wanasema Lile tunda lilikuwa Ni tendo la ngono na wanaendelea kusisitiza Hadi Leo mungu hapendi Hilo tendo maana ni kujitia unajis hata ukifanya na mume ama mkeo (na Kuna namna ya kujitakasa ili uwe msafi according to Bible )

Kuna manabii wengine wanakuambia Lile tunda lilikuwa Ni tunda la kawaida la mtini halihusiani na tendo la ngono
Swali: story ya adamu na Eva Ni ngumu kueleweka kias hicho kujua maana Yake hata Kama unasoma Kama gazeti ? Kama mungu alikuwa Ana mpango wa kutuficha kuwa Hilo tunda lilikuwa Ni Nini why alituficha na ambao alipanga kuwafunulia Ni watu wenye sifa zipi na aliwapa maana ipi hasa anayotaka tuijue ? Kuwa tunda ni tendo la ngono ama Ni tunda Kama tunda la mtini ?
 
Mwanga na giza vilisha umbws maana vimetajwa kabla ya mianga kwa maana jua mwanga mkubwa kwa ajili ya mchana, na mwezi na nyota mianga midogo kwa ajili ya usiku.
Mwanga ulikuja Baada ya kuumbwa jua ,mwezi na nyota ....kabla ya hapo ilikuwepo nuru (according to biblia)
Swali: walijuaje siku imeisha na ku count kuwa Ni siku ya kwanza ama ya pili kwa uwepo wa nuru na Giza pekee kabla jua halijaumbwa ?

Maana tunajua baada ya jua kuwepo ilikuwa rahisi kutambua mchana na usiku ili kuhesabu siku
 
Unaamini ya wana historia waliozaliwa mwaka 1970 wanataka kukupa historia ya biblia iliokusanywa karne ya 3.

Mbinu za shetani kuuvuruga ulimwengu. Wasomi wangekuwa na akili wangeshaipanga hii dunia kuwa mahala bora pa kuishi, ila neno la Mungu leifanya jamii kuwa bora ya kistaarabu. Spati picha bila biblia kama dunia ingekuwa salama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…